Tunamshukuru sana raisi kwa kutuwezesha kupata hoja kama hii. Sera zake za mitandao imeliwezesha hili.Tufungwe ili lawama ziwe za watu wote au tushinde ili asifiwe mama pekee yake?
Mimi naona Tufungwe ili lawama tupewe wote hadi watoto ambao bado hawajazaliwa.
Tunakufaa 3 moyaaaJuhudi binafsi za wachezaji zinaweza kutuvusha siyo kwa uwezo wa kocha.
Kila la heri Taifa stars, mechi ni ngumu kweli kweli, Guinea siyo watu wazuri.
Acha uongo,game na Ethiopia Samatta alicheza na alitoa mchango wa goli moja hasa la pili.Akicheza Samatta tunafungwa, huyo jamaa hamna kitu ana haribu sana mpira wa Taifa Stars
Wabongo😄😆😃😃Uwanja haujaja licha ya kiingilio kuwa bure
Yani nipo kule na huku... 🤣 🤣 🤣 🤣 nimekata nusuHii ndio ikoje
Waabudu matunguri!!!Mpira umeanza Feisal kautoa nje!! Maelekezo kutoka juu??
Na analala kabisa chini akidakaKumbe anadaka Camara...
Familia...