Its match day!!
Ni Tanzania Vs Guinea katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia Saa 10:00 Jioni.
Ni mchezo wa kufuzu AFCON ya mwaka 2025 pale Morocco ambapo kundi H Taifa Stars inahitaji ushindi wa namna yoyote ili ifuzu wakati Guinea wao wakihitaji ushindi au droo ili waweze kufuzu.
Saa 10:00 jioni kupitia Azam Sports 1HD, DStv pia kupitia Chaneli 225.
Mliopo Dar muende kwa wingi uwanjani, Kiingilio Bure.
Live updates zitakujia hapa..
Mpira umeanza ikiwa dakika 3
Dakika, 5 Taifa Stars wametengeneza nafasi nzuri sana hapa