nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Leo mtaongea lugha zote, kipigo kiko pale pale...Almaru walbanuna ziinatul lhayaati ddunia walbaqiyatu swalihati inda rabbihi thawaba wakhairu amala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo mtaongea lugha zote, kipigo kiko pale pale...Almaru walbanuna ziinatul lhayaati ddunia walbaqiyatu swalihati inda rabbihi thawaba wakhairu amala
Na wewe umekoment hapa, umepewa posho?Majamaa hua mnaniacha hoi, nimeshaona nyuzi kama 5 hivi suley, kiwatengu, cute wife sijui na nani, hua Kuna posho?
acha kelele #HATUSAFIRISHI palepale kwenye mshono sanda mmeshavaa!.😂Nasema hivi hatufungwi mara tatu mfululizo.
hatuna shida na vizazi vyako sisi,tunataka hiyo roho utavaaje sanda uombe ukatwe kende! hapo ni kutaifisha uhai kabisa!..😁Nasisitiza Yanga wakipata hata goli moja nikatwe korodani.
Natamani hata huku JF, ikatazwe brah brah, kama TFF walivyo piga biti WASEMAJI WACHEKESHAJI!Kesho li Aziz Ki limepania kumpiga tobo Debora, nasikia linasema eti litamfuata kila atakapokwenda mpaka limpige tobo ndiyo linaenda upande wake.
Kuna uwezekano mkubwa mechi ikachezwa dk 45 tu ili simba wajiepushe na dhahama. Maana 1st half watakuwa waaesha chezea 5
Sidhani kama ni sahihi kuwaita waanzisha nyuzi za mechi ni viherehere. Wanaanzisha nyuzi mapema ili kupata wasaa wa kujadili mechi husika.Kitakuwa ni kiherehere tu bila shaka. Na hii kitu huwa inapoteza kabisa maana ya uzi husika. Imagine mtu anaanzisha uzi saa sita ya usiku, na wakati mechi inachezwa saa moja jioni!!
Nimeshangaa aisee 😂😁😁😁 Cc ephen_Cute alimuwahi lakini jamaa ni Admin si unaona amempandia kwa juu??
Nilijua hili 🤣🤣🤣.
Hayo ni marupurupu ya uongozi. 😂😂😂Nimeshangaa aisee 😂😁😁😁 Cc ephen_
Naunga mkono hoja Cc ephen_Sidhani kama ni sahihi kuwaita waanzisha nyuzi za mechi ni viherehere. Wanaanzisha nyuzi mapema ili kupata wasaa wa kujadili mechi husika.
Muda wote anacheza makidamakida na Hamisa mpira ataweza kucheza kweli ?Subutu tobo atapigiwa yy
Ila huyu mdau Kuna siku nilimuotea ila jamaa ana kasi sana afu haeleweki ni timu Gani 😂😁 Cc ephen_Hayo ni marupurupu ya uongozi. 😂😂😂
Utakula Ban huu mpira una mambo mengi sana aisee..Simba akishinda nipigwe ban la mwaka