FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Rt
 

Attachments

  • 1723090356595.jpg
    1723090356595.jpg
    302.1 KB · Views: 2
Kesho li Aziz Ki limepania kumpiga tobo Debora, nasikia linasema eti litamfuata kila atakapokwenda mpaka limpige tobo ndiyo linaenda upande wake.

Kuna uwezekano mkubwa mechi ikachezwa dk 45 tu ili simba wajiepushe na dhahama. Maana 1st half watakuwa waaesha chezea 5
Natamani hata huku JF, ikatazwe brah brah, kama TFF walivyo piga biti WASEMAJI WACHEKESHAJI!
 
Kitakuwa ni kiherehere tu bila shaka. Na hii kitu huwa inapoteza kabisa maana ya uzi husika. Imagine mtu anaanzisha uzi saa sita ya usiku, na wakati mechi inachezwa saa moja jioni!!
Sidhani kama ni sahihi kuwaita waanzisha nyuzi za mechi ni viherehere. Wanaanzisha nyuzi mapema ili kupata wasaa wa kujadili mechi husika.
 
Yanga hawataingia vyumban
Tff watalipwa faiiiini

Simba wataingiza basi kinyume nyume

Bet kama ziiko kampun zenu

Hela hizo
 
Back
Top Bottom