Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

Kwa hiyo Yesu alimsaidia mama yake apate mimba yake mwenyewe?
 
πŸ˜‚ Weka pdf humu tunaopenda kusoma tusome hizo simulizi
 
Kwa hiyo Yesu alimsaidia mama yake apate mimba yake mwenyewe?
Yaan maana yake Yesu alimtia mama yake mimba maana yeye si ndio Mungu au imekaaje hii ifafanuliwe?

Alafu Yesu alikua anaita sana Baba alipokua mdogo wakiwa sokono akapotelea hekaluni wakamsaka alipopatikana akaanza kung'aka "hamkujua ilinipasa kua kwenye nyumba ya Baba yangu?!"

Kwa hio Yesu ndio Baba au imekaaje hii? Yesu kafanikisha utiwaji mimba wa mama yake ili azaliwe Mungu anazaliwa? Mungu ana mama? Ukisikia wapi? Mungu anachalazwa mijeredi? Ulisikia wapi? Hivi ndio yule alietenganisha Bahari ya Shamu au mwingine? Hivi ndio yule Mungu aliewaokoa Meshack, Shedrack na Abednego kwenye shimo la Moto? Hivi ni yule Mungu aliemuokoa Daniel kwenye zizi la Simba? Mungu anatundikwa uchi msalabani km mjusi au panya msumbufu sio na kichupi bali ni uchi uchi uchiii km alivyozaliwa? Ulisikia wapi? Mkanganyiko mkubwa huu
 
Yaan maana yake Yesu alimtia mama yake mimba maana yeye si ndio Mungu au imekaaje hii ifafanuliwe?
Kwa hiyo mungu alikamatwa na wanadamu wakamtemea mate na kumsulubisha.... Asee haya mambo hayahitaji elimu kubwa kutofautisha
 

Tatizo linalo kusumbua uwezo mdogo wa kuelewa hayo mambo ya simple logical urguemnt, logical proposition and so and so, yanini?
mimi nilikutaka UTHIBITISHE kama unazo akili wewe ukajibu kuwa HUNA AKILI na ikawa ndio hoja yako ya kumkana Mungu. Na kudai kama angekuwepo ungekua na akili
Kwahiyo ukashindwa kuthibitisha. labada nilikupeleka ktk upeo wa juju sana ukawa ni mzito kuelewa hebu tuone dai lako
Unadai Wanao dai kuwepo kwa MUNGU MWENYE ENZI WATHIBITISHE
dai hilo halitakua na tofauti na dai langu kwako kua NAWE UNITHIBITISHIE KAMA HUNA AKILI ILI NAMI NIKUTHITISHIE KUWEPO WA MUNGU

SIMPLE LOGICAL.
 
Ta
Mathayo 3:16, 17 inakuumbua, inawezekana vip mungu huyo ajisemee mwenyewe huyu ni mwanangu mpendwa kwanini asengesema Mimi mungu wenu mpendwa nipokeeni.....?!!
Tatizo lako hujui kwamba!; Huyu Yesu ni MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI!
Sasa unahoji Yesu Akiwa ktk Hali yake ya Ubinadamu KAMILI!

Ref!; John.1:1-3 than John.1:14
 
Ta

Tatizo lako hujui kwamba!; Huyu Yesu ni MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI!
Sasa unahoji Yesu Akiwa ktk Hali yake ya Ubinadamu KAMILI!

Ref!; John.1:1-3 than John.1:14
Kwa hiyo biblia ni fumbo, haieleweki? Yani ww unaijua kuliko alieiandika? Imetosha boss
 
Nikutibitishie ww nani??
Umejitengeneza mwenyewe?? Au sio dogo!
 
Kwa hiyo mungu alikamatwa na wanadamu wakamtemea mate na kumsulubisha.... Asee haya mambo hayahitaji elimu kubwa kutofautisha
Yaani panahitajika akili kubwa sio akili ya upigaji kuelewa hili jambo, wakamtundika uchi mchana kweupe Mungu kasulibiwa na wanadamu, Mungu alimwezesha Daudi kumuua Goliath alimwezesha Samson kuwamaliza wafiristi kwa mkono wake ashindwe kuwafyeka mafarisayo na masadukayo, Mungu anakufa kifo cha aibu, ulisikia wapi Mungu anakufa?
 
Kwa Sasa hapa duniani Kuna Yesu wawili Yesu fake ambae ni garasa halijawahi kuwepo na Yesu original

YESU ORIGINAL

Mathayo 2:6 (KJV)
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 15:24 (KJV)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Quran 61:6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,

Hao ni manabii 3 wa Mungu wote kauri zao zinaringana kuwa Yesu ametumwa na Mungu kwa ajili ya wana wa Israel

YESU FAKE

Tito 2:13 (KJV)
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;


Kwa bahati mbaya mliyonayo wakristo mnafuata mafundisho ya Yesu fake ni garasa ambalo halijawahi kuwepo hapa duniani Paulo amekuingizeni chaka
 
Haya mambo hayapo kwa akili za kibinadamu... Ndo maana hata Jina Yesu kwa kiingereza ni Jesus.. Lakini Imani yako ndo itafanya mapepo yatoke hata ukimuita kwa kiluga chenu.. [emoji23][emoji23]

Sasa kama unataka kufananisha haya mambo na zile laws za Newton utajikuta unaanza kuchanganyikiwa hivi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…