Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

Haiitaji akili sana huyu Furaha Dominic ndiye aliyemshinda Gwajima kura za maoni huyu jamaa nyuma ya pazia alitumiwa na Bashite kum blackmail Gwajiboy na huu ni mkakati maalum wa kudhoofishana ila uzuri hizi kete zinasukumwa na Watu wa system wenyewe Kuna Ile ngome imeapa iwe mvua iwe jua kabla 2025 lazma lile kundi la upande wa pili warudi kati tena baada ya ile 12.5.2023.

So hii nguvu yq Makonda siyo yeye ni Kama Cyprian Msiba wao wanatumika Kama kete za drafti hakika mwaka huu wote wameamua na hawapo tayari kurudia makosa ya 17.3.2021 acha wapasuane wamalizane Taifa libaki salama bila haya makundi 4 Makubwa Kama wanavyotaka System uzuri Mama Kizimkazi anajua mstari ulipochorwa tangu mwaka jana aliamua ku step down (Tizi na Jeiwii) wasafishe nyuma japo na yeye ni sehemu ya huo uchafu.
 
Duh...we jamaa unajua mambo mengi hivi. Ongeza paragraph nyingine
 
Aunganishwe na yule Mangi kimambo wa Marekani, hawa ndio wanachafua viongozi wetu wa nvchi.
 
Kutafta pic na video za watu wakubwa inaitaji connection kubwa sana uyo kijana ni geneus ni bas tu chuki zetu.
Kumjua tu mchepuko wa baba yako ni kaz sasa uyu kijana anauwezo wa kupata ad pic za viongozi wakiwa faraga yuko vizuri na wapelelezi wake wako vzr kwa ufupi anamtandao mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…