P Diddy ni mtoto wa mjini yule sio rahisi kumtia nyavuni kama mnavyofikiria 😂😂😂Hivi P didy bado hujakamatwa tu aiseee? [emoji1][emoji1][emoji1]
Safi bwana chakaza tumemjua hata sisi watu wa mikoaniHuyu hapa
View: https://youtu.be/__Q4M8rGW-g?si=hHAFcWWLolURCKVl
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
DOgo hajawahi kuwa na adabuKuumbe ndo maana huyu dogo hanaga hata maadili ya kiuongozi amejaa dharau na kiburi kumbe anafanya michezo michafu hivi?
Sheria ifuate mkondo wake,
Kwani Jimbo liko JF?KWANI ALIYEPEWA UBUNGE ANAFANYA NINI?
YawezekanaSi walisema ni mjomba Jiwe, labda ndio anatukana Rais
Labda akina taleWataje hao viongozi ambao video zao zilivujishwa
Duh...we jamaa unajua mambo mengi hivi. Ongeza paragraph nyingineHaiitaji akili sana huyu Furaha Dominic ndiye aliyemshinda Gwajima kura za maoni huyu jamaa nyuma ya pazia alitumiwa na Bashite kum blackmail Gwajiboy na huu ni mkakati maalum wa kudhoofishana ila uzuri hizi kete zinasukumwa na Watu wa system wenyewe Kuna Ile ngome imeapa iwe mvua iwe jua kabla 2025 lazma lile kundi la upande wa pili warudi kati tena baada ya ile 12.5.2023.
So hii nguvu yq Makonda siyo yeye ni Kama Cyprian Msiba wao wanatumika Kama kete za drafti hakika mwaka huu wote wameamua na hawapo tayari kurudia makosa ya 17.3.2021 acha wapasuane wamalizane Taifa libaki salama bila haya makundi 4 Makubwa Kama wanavyotaka System uzuri Mama Kizimkazi anajua mstari ulipochorwa tangu mwaka jana aliamua ku step down (Tizi na Jeiwii) wasafishe nyuma japo na yeye ni sehemu ya huo uchafu.
Aunganishwe na yule Mangi kimambo wa Marekani, hawa ndio wanachafua viongozi wetu wa nvchi.Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).
Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.
Chanzo Uhondo Tv
Video iko chini
View attachment 2971429
Lucas anampigania mama huoni nyuzi zake 😄Sasa Lucas anajenga hoja gani mkuu, yaani zile pumba na vioja unaziita hoja?
Mbona mbunge wenu pia anazo filamu za ngono?Kile kichwa nilijua tu Kuna Mambo kinafanya ambayo ni ya ujingaa ,utoto ni mwingi sana eti ndo alitaka apewe ubunge angevulunda tu yule
Hii video ipo wapi?Issue ya Nyalandu au?Ukute anawatuma mademu wajilengeshe kwa viongozi,then anaweka hidden camera.Maana ile Video ya Nyalandu huo ni mpango wa watu kabisa.
Embu reason basi. Kesi ya furaha ni kusambaza video zenye maudhui yasiyofaa. Msome basi taarifa vzuriKwa Nini ujirokodi picha chafu.furaha Hana kosa.mwenye kosa ni yule aliyejirokodi.utajirekodije picha za uchi?ulilenga Nini?
Ni search humu unione kama nimewahi kumfagilia huyu Askofu Feki Gwajima, tapeli wa Biblia. Ukimikuta piga screenshot ilete hapa. Nitajitoa JFHahahaha bila shaka wewe Ni timu gwajima hayo yanatokea Yana mkono was gwajima
Huyu hapa
View: https://youtu.be/__Q4M8rGW-g?si=hHAFcWWLolURCKVl
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile appkamati