Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

Ni mpwa wa Magufuli alishinda Kura za maoni jimbo la Kawe Kwa support ya Magufuli halafu Magufuli huyohuyo Kwenye vikao vya juu akamchangia akamchagua Gwajima .
Yaani kichaa Magufuli aliifanya hii nchi kama mali yake binafsi
LOoooh. Kumbe!
Sasa mkuu wangu 'mnengene', unasema "...kichaa Magufuli aliifanya hii nchi kama mali yake binafsi", kwani wewe sasa hivi bila ya uwepo wa huyo Magufuli, unaona unafuu, au tofauti yoyote; au kwa vile wakati huu watu hawapigi kelele nyingi na mabavu makubwa kutimiza wanayoyataka ndiyo unayoiona kuwa ni nafuu?

Siku hizi mambo hayo hayo yanafanyika kwa kutumia lugha laini laini, udanganyifu na ulaghai mwingi kufubaza hisia za watu, lakini matokeo ya matendo hayo ni mbovu zaidi hata kuliko yale ya kichaa Magufuli.

Siku hizi mambo yanafanyika kimya kimya, yakigundulika, lugha nyororo na kuhimiza lugha za "staha" na "ustaarabu" huku uchafu ukionekana kufanyika hata zaidi ya ule wa Magufuli katika maeneo mengi serikalini.
kilicho badilika ni mtindo tu. Yule 'jambazi' wa mwanzo (Magufuli) alikuwa akitumia unyang'anyi kwa maguvu, silaha, n.k.
Hawa 'majambazi' wa sasa wanavaa masuti na vilemba vya hariri na kutumia lugha nyororo, huku wakikunyonga vilevile.
 
Broo CCM nI Mafiya c mchezoo kukutoa mhanga ni dakika sufuri tu kama huna timu kali hotoboi CCM ni kama GININGI ukifanya mchezo unatolewa kikoa kazi kwenu.
 
Kwanini asiruhusiwe kiziweka hadharani akiwa analiwa
 
Sitaki Kuhoji sana kwanini umekuwa Tajiri ghafla kwani najua Ofisi uliyokuwepo ambayo Mjomba wako alikupigia pande kuwepo pale ( hapo ) ndiyo ilikufanya uwe na Fedha nyingi kwani ulitumika sana Kuficha Udhaifu wa Mapapa wa Dawa za Kulevya waliokamatwa na kuja Ofiisini Kwako kwa Vipimo.

Na najua kuwa umepiga Pesa ndefu hapo ambazo zilikupa Jeuri ya Kulala na Mademu wa kila aina Tanzania na hata Nje ya Tanzania. Kuna Rafiki yako Mmoja mwana CCM yuko Mbezi Beach alishakuonya Siku nyingi kuwa kuwa makini na Nyendo zako kwani uko Mtegoni lakini ulimpuuza.

Pole kwa Kukamatwa Kwako huko japo najua Wafanyakazi wa Redio yako uliyoianzisha ya Furaha FM sasa hawatolala kwani wanajua Taita Wao ( Boss Wao ) kawekwa Nyavuni. Hivi ni kwanini nyie Vijana mkishapata Hela zenu za Magumashi na Ngada ( Cocaine ) huwa hamtulii ili mzitumie kwa Amani na Mnajichanganya nazo?
 
Shida ni uchaguzi,,kwa hiyo huwa anaitwa kwenda kuwAzoom wakiliwa Uroda? Hapana , polisi watuwekee picha hizo za video tuzione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…