Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

Kwa Nini ujirokodi picha chafu.furaha Hana kosa.mwenye kosa ni yule aliyejirokodi.utajirekodije picha za uchi?ulilenga Nini?
Kwa hiyo mtu akijirekodi wewe ndie unaamua kuwa msambazaji?

Sheria ya kulinda taarifa binafsi ilishapitoshwa .Mtu kajirekodi ya kwake hayo wewe unasambaza kama nani?
 
MULIRO CHUNGUZA NA HII REDIO 90.9 KAMA WANALIPA STAHUKI ZA SERIKALI NA FWATILIEN VIPINDI VYAKEE USANII MTUPU MWANZO MWISHO
CC
TRA
....NK
 
Safi sana watu wana vyanzo vya habari mpaka raha...hongera mkuu...🙌🏽
 
Kile kichwa nilijua tu Kuna Mambo kinafanya ambayo ni ya ujingaa ,utoto ni mwingi sana eti ndo alitaka apewe ubunge angevulunda tu yule
Sasa mbunge aliyepo, si ndo alijirekodi akifanya ngono? Au tumesahau Video ya Gwajima bila aibu anasema siyo yeye, huyo ana mkono wa baunsa .......
 
Huyu furaha Dominic, anaweza kuwa mgombea uongozi kwenye chama chochote cha kisiasa , na akashinda kwa kishindo.

Hii ni hazina na sio hasara.
Hata Urais, akigombea wengi watamuunga mkono.
Unaweza kuweka hapa background profile yake na utendaji wake katika Siasa mpaka sasa?


Nimekua interested maana naona hapa kuna hoja za pande mbili zaidi, upande mmoja unamkataa (CCM + CDM) na upande mwingine unamkubali (CDM + CCM).

Pia hint ya jina lake kukatwa uchaguzi mkuu 2020 licha ya kupita kura za maoni.

Hebu muwekeni hapa tumsome vizuri hizo alama zake .
 
Habari yako Cleopa mfuasi wa Gwajima! Hujambo mwanangu!
 
Kama anaweza kupata picha za utupu za watu maarufu na vigogo huko Serikalini, basi huyo ni "Kachelo" mzuri, amefuzu vyema katika tasnia ya Sexipionage.
 
Hahahahaha...walau wewe umeiweka vzr...DCEA hivi wamekamata kilo ngapi ?
 
Swali la kwanza = Hakuna
Swali la pili=Hakuna
Swali la tatu=Hakuna

Muulizaji anauliza kutimiza itifaki tu ama?
Waitikiaji nao?

Hizo swing wakati na kushika kipaza sauti na total body motion yake ni attitude ama?

Huyo jamaa mwenye Ndevu na upara kamuangalia mshika kipaza sauti kichwani mpaka miguuni, mara mbili! Sampling ama?!

Inaonekana Chaguzi za ndani na kura za maoni CCM ni ngumu kuliko G.E.
 
HUYUU JAMÀ SI NDIO ANAREDIOO 90.9 FURAHA FM NA KUNA MCHUNGAJI ANAITWA KIBOKO WA WACHAWI ANAHUBIRI HUKOO DOH INABIDI AJITAFAKARII

Furaha Dominic si mpwa wa JIWE? Anamilike Redio kweli huyo? 32 yrs?? Au alikwapua pesa kipindi cha jiwe akainvest? Ubunge alikosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…