Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kabisaa mp
MpwaaKwanini asiruhusiwe kiziweka hadharani akiwa analiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MpwaaKwanini asiruhusiwe kiziweka hadharani akiwa analiwa
Kwa hiyo mtu akijirekodi wewe ndie unaamua kuwa msambazaji?Kwa Nini ujirokodi picha chafu.furaha Hana kosa.mwenye kosa ni yule aliyejirokodi.utajirekodije picha za uchi?ulilenga Nini?
😂 😂 😂 😂Anayefuatia ni Mwashambwa , Hakika Shetani hana rafiki
Uko sahihiNajaribu ku-connect dots,huyu ndie alimshindaga Gwajima kwny uchaguzi wa ndani ya chama(Kawe) ingawa mjomba wake alimkata(Magu) akampa Gwajima.Je huyu ndiye aliyesambaaza connection ya Gwaji boy enzi zile?
Safi sana watu wana vyanzo vya habari mpaka raha...hongera mkuu...🙌🏽Sitaki Kuhoji sana kwanini umekuwa Tajiri ghafla kwani najua Ofisi uliyokuwepo ambayo Mjomba wako alikupigia pande kuwepo pale ( hapo ) ndiyo ilikufanya uwe na Fedha nyingi kwani ulitumika sana Kuficha Udhaifu wa Mapapa wa Dawa za Kulevya waliokamatwa na kuja Ofiisini Kwako kwa Vipimo.
Na najua kuwa umepiga Pesa ndefu hapo ambazo zilikupa Jeuri ya Kulala na Mademu wa kila aina Tanzania na hata Nje ya Tanzania. Kuna Rafiki yako Mmoja mwana CCM yuko Mbezi Beach alishakuonya Siku nyingi kuwa kuwa makini na Nyendo zako kwani uko Mtegoni lakini ulimpuuza.
Pole kwa Kukamatwa Kwako huko japo najua Wafanyakazi wa Redio yako uliyoianzisha ya Furaha FM sasa hawatolala kwani wanajua Taita Wao ( Boss Wao ) kawekwa Nyavuni. Hivi ni kwanini nyie Vijana mkishapata Hela zenu za Magumashi na Ngada ( Cocaine ) huwa hamtulii ili mzitumie kwa Amani na Mnajichanganya nazo?
Hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ama sikijui au nikitaka Kukijua ndani ya dakika chache tu nakijua. Nina Watu Mkuu.Safi sana watu wana vyanzo vya habari mpaka raha...hongera mkuu...🙌🏽
Uchunguzi wa ile video ya Gwajima walisema alirekodi kwa malengo gani vile? Au ilifurahisha ulimwengu?
Sasa mbunge aliyepo, si ndo alijirekodi akifanya ngono? Au tumesahau Video ya Gwajima bila aibu anasema siyo yeye, huyo ana mkono wa baunsa .......Kile kichwa nilijua tu Kuna Mambo kinafanya ambayo ni ya ujingaa ,utoto ni mwingi sana eti ndo alitaka apewe ubunge angevulunda tu yule
Unaweza kuweka hapa background profile yake na utendaji wake katika Siasa mpaka sasa?Huyu furaha Dominic, anaweza kuwa mgombea uongozi kwenye chama chochote cha kisiasa , na akashinda kwa kishindo.
Hii ni hazina na sio hasara.
Hata Urais, akigombea wengi watamuunga mkono.
Habari yako Cleopa mfuasi wa Gwajima! Hujambo mwanangu!Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).
Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.
Chanzo Uhondo Tv
Video iko chini
View attachment 2972182
---
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linachunguza tukio la mauaji ya watu wawili, Japhari Mwinyimvua (40) mlinzi na Richard Nonyo (65) baba mzazi wa mtu anayedaiwa ni mganga wa kienyeji wa eneo hilo.
Tukio hilo limetokea Aprili 21, 2024 majira ya saa 3 asubuhi maeneo ya Kigogo fresh, Pugu, Ilala ambapo mlinzi huyo alikutwa ameshambuliwa na baadae kupoteza maisha. Hata hivyo katika mtiririko huo kundi la watu lilimshambulia baba mzazi wa mganga huyo na baadae akapoteza maisha wakimtuhumu mtoto wake kuhusika na kifo cha mlinzi huyo.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam wanachunguza kwa kasi tukio hilo na wahusika wote wa tukio hili watakamatwa haraka iwezekanavyo na kufikishwa mahakamani kwa hatua zaidi za kisheria .
Katika hatua nyingne, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Furaha Dominick Jacobo (32) mkazi wa Masaki na Mustafa Kihenga (28) mkazi wa Mwenge TRA kwa tuhuma za uhalifu wa kimtandao kwa kusambaza picha chafu za video za watu zisizo na maadili kwa lengo la kujipatia fedha kwa vitisho.
Watuhumiwa hawa wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani leo kujibu tuhuma zanazowakabili.
Imetolewa na ;
Muliro J. MULIRO - SACP
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
View attachment 2972184
Kama anaweza kupata picha za utupu za watu maarufu na vigogo huko Serikalini, basi huyo ni "Kachelo" mzuri, amefuzu vyema katika tasnia ya Sexipionage.Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing).
Furaha Dominic ni yule kijana ambaye Magufuli alimkata jina na kusisitiza kuwa hafai kuwa mbunge wa Kawe. Magufuli huenda alikuwa anajua shughuli za huyu kijana na namna anavyojipatia pesa.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi, kanda maalumu ya Dar es Salaam Inspk Murilo amesema ushahidi wa awali umekamilika na mtuhumiwa atafikikishwa mahakamani.
Chanzo Uhondo Tv
Video iko chini
View attachment 2972182
---
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linachunguza tukio la mauaji ya watu wawili, Japhari Mwinyimvua (40) mlinzi na Richard Nonyo (65) baba mzazi wa mtu anayedaiwa ni mganga wa kienyeji wa eneo hilo.
Tukio hilo limetokea Aprili 21, 2024 majira ya saa 3 asubuhi maeneo ya Kigogo fresh, Pugu, Ilala ambapo mlinzi huyo alikutwa ameshambuliwa na baadae kupoteza maisha. Hata hivyo katika mtiririko huo kundi la watu lilimshambulia baba mzazi wa mganga huyo na baadae akapoteza maisha wakimtuhumu mtoto wake kuhusika na kifo cha mlinzi huyo.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam wanachunguza kwa kasi tukio hilo na wahusika wote wa tukio hili watakamatwa haraka iwezekanavyo na kufikishwa mahakamani kwa hatua zaidi za kisheria .
Katika hatua nyingne, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Furaha Dominick Jacobo (32) mkazi wa Masaki na Mustafa Kihenga (28) mkazi wa Mwenge TRA kwa tuhuma za uhalifu wa kimtandao kwa kusambaza picha chafu za video za watu zisizo na maadili kwa lengo la kujipatia fedha kwa vitisho.
Watuhumiwa hawa wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani leo kujibu tuhuma zanazowakabili.
Imetolewa na ;
Muliro J. MULIRO - SACP
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
View attachment 2972184
Hahahahaha...walau wewe umeiweka vzr...DCEA hivi wamekamata kilo ngapi ?Sitaki Kuhoji sana kwanini umekuwa Tajiri ghafla kwani najua Ofisi uliyokuwepo ambayo Mjomba wako alikupigia pande kuwepo pale ( hapo ) ndiyo ilikufanya uwe na Fedha nyingi kwani ulitumika sana Kuficha Udhaifu wa Mapapa wa Dawa za Kulevya waliokamatwa na kuja Ofiisini Kwako kwa Vipimo.
Na najua kuwa umepiga Pesa ndefu hapo ambazo zilikupa Jeuri ya Kulala na Mademu wa kila aina Tanzania na hata Nje ya Tanzania. Kuna Rafiki yako Mmoja mwana CCM yuko Mbezi Beach alishakuonya Siku nyingi kuwa kuwa makini na Nyendo zako kwani uko Mtegoni lakini ulimpuuza.
Pole kwa Kukamatwa Kwako huko japo najua Wafanyakazi wa Redio yako uliyoianzisha ya Furaha FM sasa hawatolala kwani wanajua Taita Wao ( Boss Wao ) kawekwa Nyavuni. Hivi ni kwanini nyie Vijana mkishapata Hela zenu za Magumashi na Ngada ( Cocaine ) huwa hamtulii ili mzitumie kwa Amani na Mnajichanganya nazo?
Huyu hapa
View: https://youtu.be/__Q4M8rGW-g?si=hHAFcWWLolURCKVl
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
HUYUU JAMÀ SI NDIO ANAREDIOO 90.9 FURAHA FM NA KUNA MCHUNGAJI ANAITWA KIBOKO WA WACHAWI ANAHUBIRI HUKOO DOH INABIDI AJITAFAKARII
Kwani kumiliki kituo Cha kurusha matangazo ya redio unatakiwa uwe na umri kuanzia miaka mingapi?Furaha Dominic si mpwa wa JIWE? Anamilike Redio kweli huyo? 32 yrs?? Au alikwapua pesa kipindi cha jiwe akainvest? Ubunge alikosa.
Ilikuwa ni swala la muda tuu...kijana amejaa..ila katesa watu sana..Hahahahaha...walau wewe umeiweka vzr...DCEA hivi wamekamata kilo ngapi ?