Furaha Dominic: Askofu Gwajima ndiye kiongozi wa kundi linalomkwamisha Rais Samia

Furaha Dominic: Askofu Gwajima ndiye kiongozi wa kundi linalomkwamisha Rais Samia

Kimsingi, yaliyosemwa na mtoto aliyekuwa mgombea wa ubunge Jimbo la kawe kwa maana ya furaha Dominick nimeshangaa Sanaa Huyu kijana ameongea mambo ya ajabu Sanaa...
Kwahiyo umefunga code, hebu fungua basi hii code
 
Yule dogo alishinda kwa kura nyingi Kawe wengi wakashtuka kura za kuwapitishwa akakatwa jina na kupitisha jina la Gwajima . Ilikuwa kumweka mazingira ya kujulikana ili cheo atakachopewa isionekane kabebwa ila ndo hivo boss alitangulia mbele ya haki
Hakuna alichoshinda ni kwamba watu walijipendekeza kwake sababu ni mpwa wa marehemu. Hana quality ya kushinda sema anatakuta political milleage aonekane au asikike yupo relevant japo akimbukwe kwa chochote.

Pamoja na haya anayoyafanya sasa anapaswa kufahamu there's new sheriff in town asijiingize kwenye mabishano na mabingwa wa siasa chafu kama gwajiboy ataumia jamaa Hana simile Yule atambutua balaa na anajikuta anapoteza kila alichojenga kwa muda wote japo nae alibebwa na wajumbe maana alikuwa hajulikani na mtu hata mzee wake aliona bado asubiri kwanza.
 
Atafurahi kama hilojina lake la I ke. Wamekula mema ya nchi sana asijitoe akili kwamba yeye alishinda kihalali,

Hapo jimboni aliyeoaswa kupata kura ni Yule mama mshindi wa pili amekuwa Mjumbe wa CC ya wilaya na anajulikana sana ukiacha kwamba alikuwa anapasuliwa na mdee waziwazi maana watu wa Kawe hawaeleqi CCM.

Mwaka jana hakukuwa na uchaguzi bali uchafuzi mkuu. Dogo alipenya na hakuulizwa maswali zaidi ya kujitambulisha na wakampitisha sababu wengi walitegemea akipita nao watapata feva ya mkulu.

Walidanganywa eti dogo ametumwa na mkulu Magu na ndio maana magu alimchomoa hakuwa anamkubali.
 
Anaongeackwa hasira za kukosa ubunge. Kinachomuuma watu kumdthibiti umbeya wake,na kumcontrol mzee.Pia anakiri mzee alikuwa ana kakikundi ka uhalifu ka kuteka teka!
 
Kwenye interview ya Furaha, amemchanachana Askofu Gwajima kwa kusema kuwa ni MNAFIKI na MUONGO. Kazungumzia vipi alivyowatapeli wananchi wa Kawe kwa kudai kuwa ndani ya siku 100 atawajengea wana Kawe Barabara na kuwapeleka Birmingham...
Kwan Furaha ni mbwa au Kunguru ya wapi?
 
Huyu Furaha Dominic amuulize Makonda ameishia wapi alipopambana na Gwajima!
 
Furaha Dominic ndio kale kachalii kalicholiwa kichwa kugombe ubunge Kawe?
 
Gwaniboy alimuahidi dogo chopa ya kampeni badae akachange gia angani akaamua kugombea mwenyewe
 
Kwenye interview ya Furaha, amemchanachana Askofu Gwajima kwa kusema kuwa ni MNAFIKI na MUONGO. Kazungumzia vipi alivyowatapeli wananchi wa Kawe kwa kudai kuwa ndani ya siku 100 atawajengea wana Kawe Barabara na kuwapeleka Birmingham...
Nimeisikiliza ile clip mwanzo mwisho, umemlisha maneno.

Hakuna mahala ametamka kwamba Gwajima ni kiongozi wa Sukuma gang!

Amemtaja Gwajima kama mnafiki na muongo (kwa maoni yake). Amesema alipokuwa anataka kuanza kuchukua fomu za kugombea ,kwanza alimfuata Gwajima na kumuomba ushauri wake, ambapo alimshauri tena akimpongeza huku akimuahidi kumpa helikopta ya kumsaidia kufanya kampeni.

Lakini kilichofuatia baadae, ndio kilichomfanya Furaha asimuamini tena.

Maoni yangu kwako mtoa Post.

Tujaribu kuwa wakweli na msiwe mnatoa post zenye uongo bila kujua kwamba huko mitandaoni hamko peke yenu na hili kundi lenu la visasi kutoka huko mnakopewa maelekezo.

La hasha, tuko wengi tuatizama na inatuudhi tunapoona wapuuzi wachache wazandiki na mafedhuli kama wewe mkitumika kama toilet paper kila uchao, kuchafua na kuwalisha maneno watu.

Ndio maana hata Mh rais aliwaumbua juzi kuhusu Lukuvi.

Hii clip iko wazi na mtu anaweza kuipata huko Facebook.

Ntozi nyanda-The Big Agenda on Star TV.

Na bado itaendelea wiki hii, with the same Guest Furaha Dominic.
 
Nimeisikiliza ile clip mwanzo mwisho, umemlisha maneno.

Hakuna mahala ametamka kwamba Gwajima ni kiongozi wa Sukuma gang!

Amemtaja Gwajima kama mnafiki na muongo (kwa maoni yake). Amesema alipokuwa anataka kuanza kuchukua fomu za kugombea ,kwanza alimfuata Gwajima na kumuomba ushauri wake, ambapo alimshauri tena akimpongeza huku akimuahidi kumpa helikopta ya kumsaidia kufanya kampeni.

Lakini kilichofuatia baadae, ndio kilichomfanya Furaha asimuamini tena.

Maoni yangu kwako mtoa Post.

Tujaribu kuwa wakweli na msiwe mnatoa post zenye uongo bila kujua kwamba huko mitandaoni hamko peke yenu na hili kundi lenu la visasi kutoka huko mnakopewa maelekezo.

La hasha, tuko wengi tuatizama na inatuudhi tunapoona wapuuzi wachache wazandiki na mafedhuli kama wewe mkitumika kama toilet paper kila uchao, kuchafua na kuwalisha maneno watu.

Ndio maana hata Mh rais aliwaumbua juzi kuhusu Lukuvi.

Hii clip iko wazi na mtu anaweza kuipata huko Facebook.

Ntozi nyanda-The Big Agenda on Star TV.

Na bado itaendelea wiki hii, with the same Guest Furaha Dominic.
Mkuu wapi nimeandika kuwa Furaha kadai kuwa Gwajima ni Kiongozi wa Sukuma Gang ...!!?

Rudia kusoma heading na post zangu zote. Hiyo uliyoniquote haina hicho unachokisema. Naona mode kabadili heading au kaunganisha thread yangu na ya mwingine. Thread yangu ilikuwa inasema "Furaha Dominic amchanachana Gwajima. Adai ni Muongo na Mnafiki.
 
Nimeisikiliza ile clip mwanzo mwisho, umemlisha maneno.

Hakuna mahala ametamka kwamba Gwajima ni kiongozi wa Sukuma gang!

Amemtaja Gwajima kama mnafiki na muongo (kwa maoni yake). Amesema alipokuwa anataka kuanza kuchukua fomu za kugombea ,kwanza alimfuata Gwajima na kumuomba ushauri wake, ambapo alimshauri tena akimpongeza huku akimuahidi kumpa helikopta ya kumsaidia kufanya kampeni.

Lakini kilichofuatia baadae, ndio kilichomfanya Furaha asimuamini tena.

Maoni yangu kwako mtoa Post.

Tujaribu kuwa wakweli na msiwe mnatoa post zenye uongo bila kujua kwamba huko mitandaoni hamko peke yenu na hili kundi lenu la visasi kutoka huko mnakopewa maelekezo.

La hasha, tuko wengi tuatizama na inatuudhi tunapoona wapuuzi wachache wazandiki na mafedhuli kama wewe mkitumika kama toilet paper kila uchao, kuchafua na kuwalisha maneno watu.

Ndio maana hata Mh rais aliwaumbua juzi kuhusu Lukuvi.

Hii clip iko wazi na mtu anaweza kuipata huko Facebook.

Ntozi nyanda-The Big Agenda on Star TV.

Na bado itaendelea wiki hii, with the same Guest Furaha Dominic.
Nyie timu Sukuma Gang tunawafahamu sana njama zenu za kutaka kumkwamisha mama asifanikiwe kuwaletea watanzania maendeleo endelevu. Mungu anawaona. Stress zenu za 2025 hazitawaacha salama.
 
Back
Top Bottom