Msishangae
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 363
- 267
Naona cv hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigogo kaingia chaka aiseeHivi kigogo yuko???sijamsikia siku nyingi
Ni wazi hana marafiki wala mtandao NDANI ya CCM.Katibu Mkuu Mstaafu CDM Kapata Ngapi Jamani?
Yaani alivyokuwa anaomba kura 100% full confidence alijua kabisa kuwa anatoboaWekeni speech yake ya kuomba kura.
Haya yatakuwa na uhalali kama undugu wake utambeba. Lakini kwa sasa zaidi ya kubahatisha hakuna anayejua kwa hakika nini kitatokea. Ni hekima kusubiri kuliko kutoa hukumu mapema.Ni kweli huwezi kunyimwa nafasi kisa ww ni ndugu wa mtu fulani. Lakini jiwe sio mtu anayeheshimu box la kura, hivyo matokeo ya uchaguzi iwapo huyo dogo ndio atakuwa mgombea, yatakuwa ni yale ayatakayo jiwe. Hapo ndio tatizo lilipo.
Huyu atasumbua sana, ni sampuli za Bashite, sentensi moja imenipa picha juu yakeInasemekana kamwaga hela za kutosha.
Kwani Halima alishinda vipi mara ya kwanza? Mbona hakujulikana? Mwanzo wa 10 ni 1, go figure, ...
Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Haya yatakuwa na uhalali kama undugu wake utambeba. Lakini kwa sasa zaidi ya kubahatisha hakuna anayejua kwa hakika nini kitatokea. Ni hekima kusubiri kuliko kutoa hukumu mapema.
What if anachowaza kisitokee? Kuna mtu atamuomba msamaha? Hiyo ndiyo iliyokuwa hoja yangu. Innocent until proven guilty
Mama Lwakatare alikuwa Mbunge alimgawa naniBora kakosa. Gwajboy angepata angeligawa kanisa la Bwana. We unadhani kwa siasa zetu za bongo jinsi wabunge wanavyowananga wenye itikadi tofauti nao, unadhani ni mwanachamaa gani wa upinzani angebaki muumini wake!!?? Angebaki na waccm wenzake tu!!!
Kumbe ni wa hom chatoCV YA FURAHA
dogo ni Mlokole., Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yake.
Dogo yupo kwenye mahusiasno.
Dogo mchapa kazi.View attachment 1512894
- Reseach Technician at
International Institute of Tropical Agriculture (IITA) Kazi Kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na Mpwa kwa Kinjekitile
![]()
Studied at
DIT
![]()
Studied at
makongo jkt high school
![]()
Went to
chato secondary school
![]()
Lives in
Dar es Salaam, Tanzania
![]()
From
Chato, Kagera, Tanzania
Dogo hata hajaomba kura.. ametaja tuu jina na kusepa.. hawa wajumbe wote walipewa jina la kuandika sio bure.
Nami sina swali wajumbe walipangwa kitambo,unaweza kukuta hata kumfahamu wajumbe hawamjui walipiga kura tu[emoji16][emoji16]Basi dogo kumbe ni mgombea maalum. Nimejiuliza sana hiyo influence kaipata wapi ?Basi sina swali tena. Na huyu ndo mgombea rasmi wa CCM kupitia kawe. Hapa mkakati ulisukwa aisee.
Kijana hata kura hakuomba.....!! Kuna mahali kwenye social media wanadai ni Mtoto wa Dada.... Ni mdogo wake Dotto James, Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha.Wekeni speech yake ya kuomba kura.
Naomba link ya uzi huoKwani Leo Jumuiya nzima ya wana JamiiForums tumeombwa Msamaha na nani Mkuu? Hebu acha Kunipotezea muda kama humjui Kafie Mbele!
Koromije alienda mnyeti ikabidi aende kigamboniMwanzoni alitaka Kawe ?
Yani unaweza kujua furaha ni mmama flani[emoji16][emoji16][emoji16]majina mengine kwikwiMdee.
Huyo Furaha sijui Happy wabaki naye.
Mdee tupo nawe.
Hizo kelele ndiyo zinazotweza kuzuia. Ugumu ulipo dogo kaishinda kura za maoni kama alivyoshinda Ridhiwani, Salma, January, Nape n.k. Itakuwa ngumu kumtema. Mchezo umepangwa vizuri.Haya yatakuwa na uhalali kama undugu wake utambeba. Lakini kwa sasa zaidi ya kubahatisha hakuna anayejua kwa hakika nini kitatokea. Ni hekima kusubiri kuliko kutoa hukumu mapema.
What if anachowaza kisitokee? Kuna mtu atamuomba msamaha? Hiyo ndiyo iliyokuwa hoja yangu. Innocent until proven guilty