Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
-
- #61
Kabla ya kuiset katiba mpya maana mizunguko ishakuwa kwenye katiba mpya kwanza hii sheria irekebishwe mapema.Katiba mpya ikataze mtu kushikiliwa zaidi ya miezi sita vinginevyo jamuhuri iwajibike kumlipa fidia kwa kipindi chote atakacho shikiliwa endapo shitaka halito thibitishwa.
Chuki ni kubwa sana.Naandika hapa kama kumbukumbu utakuja kukumbuka...
Wanaofanya huu mchezo WA kulipua makanisa ili waislam Wengi wakamatwe watafanya tena....
Hiyo script huwa ina kawaida ya kujirudia...kila mara hasa Rais akiwa muislam ...ni set up..
Ingekuwa nchi zenye advanced investigation wangekamatwa na tungeshangaa dini zao halisi ..
Nyie kweli dini yenu lazima iondolewe tu maana ni wauajiHiyo sheria ya ugaidi ni miongoni mwa sheria ovu.. ililenga kuua uislamu...
Mauaji aliyofanya Mackenzie pale Kenya angekuwa amefanya shekh yqngetambuliwa na Dunia nzima km ugaidi.
Kwenye swala la dini kuondolewa sio suluhisho maana hakuna kitu kigumu kama kukiondoa kitu amacho kishaingia.Nyie kweli dini yenu lazima iondolewe tu maana ni wauaji
Nitaiomba mahakama kesi kama hizi zimalizike ndani ya miezi mitatu ili mhusika akishinda awe amekwishapata haki yake. Kinachotakiwa katika kesi kama hizi ni ushahidi kutoka gerezani kuthibitisha kuwa muhusika alikuwa ameshikiliwa na pia kutoka kwa DPP au mahakamani kwamba mdai alishinda kesi au aliachiliwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha kumtia hatiani.Kweli kabisa anatakiwa kudai fidia lakini kesi ya fidia mkuu unachukua mda mrefu sana huyu mtu katoka gerezani juzi tu anapata wapi pesa ya kumlipa wakili.
Na upande wengine ukidai fidia leo hii basi utachukua mda mref sana.
Eg: marehem babu yang alikuwa anapiga kazi kwenye EAC iliyojinjika 1977 . Fidia ilitoka mwaka 1979 lakini babu fidia kaipata 2015 ... Sasa just imagine 1977 alikuwa na miaka 56 mpaka 2015 atakuwa na miaka mingapi
Mfumo wenyewe binafsi ulitakiwa kumlinda raia.
Sio kuwaunganisha na kesi tu hata kuwapeleka mahakamani Huwa hawapeekwi ,ni upumbavu sana unanishikilia miaka 10 mahakamani hunipeleki then what for,ni chuki za hovyosana .Unanikata shambani kwangu nalimia mihogo eti upo chini ya ulinzi wewe Gaidi..,, Tabia za kukamatana usiku mtu akiwa kwenye kinena Cha mkewe zilishamiri sana ,ni tabia za kimama.Chuki ni kubwa sana.
watu wengi wameharibiwa maisha kwa kukaa gerezani miaka mingi bila hatia.
Alaf tangu waanze kukamatwa kwa tuhuma za ugaidi hamna ambae ushahidi wa kuwaunganisha na kesi uliopatikana
Hiyo sheria ya ugaidi ni miongoni mwa sheria ovu.. ililenga kuua uislamu...
Mauaji aliyofanya Mackenzie pale Kenya angekuwa amefanya shekh yqngetambuliwa na Dunia nzima km ugaidi.
huwa wanapelekwa mahakamani kusomewa mashtaka na kupangiwa tarehe za kusikilizwa katika kusikilizwa ndo inabainika jamaa huwa hawana hatiaSio kuwaunganisha na kesi tu hata kuwapeleka mahakamani Huwa hawapeekwi ,ni upumbavu sana unanishikilia miaka 10 mahakamani hunipeleki then what for,ni chuki za hovyosana .Unanikata shambani kwangu nalimia mihogo eti upo chini ya ulinzi wewe Gaidi..,, Tabia za kukamatana usiku mtu akiwa kwenye kinena Cha mkewe zilishamiri sana ,ni tabia za kimama.
Sheria inataka mtuhumiwa akikamatwa apelekwe mahakamani ,unapomshika mtu ukamuweka mahabusu tu unakusudia nini,magereza tunajua kazi kubwa kurekebisha tabia za wafungwa,mahabusu watuhumiwa wanafanya nini ?Uislam sio uchochevu wa vurugu na mauaji,kama ni hivyo kuna waislam wangapi mtaani kwanini wasikamatwe ukiwamo wewe??
Sheria inataka mtuhumiwa akikamatwa apelekwe mahakamani ,unapomshika mtu ukamuweka mahabusu tu unakusudia nini,magereza tunajua kazi kubwa kurekebisha tabia za wafungwa,mahabusu watuhumiwa wanafanya nini ?
Kwanini awachukie walimu wa dini anayoiamini na kuifuata?Kikwete alikuwa shetani sana...sijui kwanini alituchukia mashekhe
Sasa kwann awafungulie kesi feki ambazo mahakama imeshindwa kuthibitisha?Kwanini awachukie walimu wa dini anayoiamini na kuifuata?
Story za kufikirika....nchi hii dini inatumika kama mtaji wa kisiasa pale inapokuwa ni muhimu. Tusianze kuleta hadithi zisizo na facts. Kama unawajua wahusika, si uwataje kwa majina na dini zao?Naandika hapa kama kumbukumbu utakuja kukumbuka...
Wanaofanya huu mchezo WA kulipua makanisa ili waislam Wengi wakamatwe watafanya tena....
Hiyo script huwa ina kawaida ya kujirudia...kila mara hasa Rais akiwa muislam ...ni set up..
Ingekuwa nchi zenye advanced investigation wangekamatwa na tungeshangaa dini zao halisi ..
Na kuzaa kwa kuendeleza familia. Kuacha mke miaka tisa na ukamkuta intact, lazima ufanye sherehe kubwa sana.Biashara zitakuwa hazipo tena.
Watoto huwa flexible hawana shida, baba ni baba tu.
Mke atakuwa aliishaolewa zamani. Wenzetu siyo wapamnanaji, wamezoea kutunzwa
Kweli kabisa...nahisi ni wakristo ndio huchoma makanisa yao wenyeweNaandika hapa kama kumbukumbu utakuja kukumbuka...
Wanaofanya huu mchezo WA kulipua makanisa ili waislam Wengi wakamatwe watafanya tena....
Hiyo script huwa ina kawaida ya kujirudia...kila mara hasa Rais akiwa muislam ...ni set up..
Ingekuwa nchi zenye advanced investigation wangekamatwa na tungeshangaa dini zao halisi ..
Ndo maana Kesi zote unaona ushahidi haupatikanKweli kabisa...nahisi ni wakristo ndio huchoma makanisa yao wenyewe
Kweli...kama ingekuwa kweli basi hata kesi moja wangepata ushahidiNdo maana Kesi zote unaona ushahidi haupatikan
Tukija fika level ya FBI na watu wakawa dedicated na kazi zao bila kujali Imani tutakuja pata ukweli.hadharani na haya matukio yataisha Kabisa...Ila hii style ya polisi kila Kanisa likilipuliwa wanakamata masheikh Tu kisa wanongea Kwa ukali misikitini...haya mambo hayataishaKweli...kama ingekuwa kweli basi hata kesi moja wangepata ushahidi