Fursa/ kazi watu wanapiga pesa ndefu na hazijastukiwa na wengi

Unaweza kuzungumzia uzuri wa biashara ulizoanisha bila kuzishusha taaluma za watu.

Acha ujuha kudhalilisha taaluma za watu, yani unadhalilisha walimu na madaktari kisa hawapati hela nyingi kama wafanyabiashara na still unatumia huduma zao.
Stupid
Mimi mwenyewe degree holder hao madaktari wanatumia walimu taaluma yangu pia, as a business administrator
 
An expert's answer
 
Powa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…