Usisisimkwe mkuu,hii ndiyo dunia yetu na haya ndiyo maisha tunayoishi...Eiyer.... Had nasisimuka navozisoma hizi mambooo zako daah.. Dunia ina siri sana
Kweli mkuu.wanafunzi wako tupo wengi endeleaaa kushusha nyundo mkuuUsisisimkwe mkuu,hii ndiyo dunia yetu na haya ndiyo maisha tunayoishi...
Hatupaswi kuogopa bali kumjua adui na kujipanga kukabiliana naye tu maana hakuna namna....
Mkuu mafia watoe hapo,wao wapo against government system which is oppressivejesuits
freemson
illuminat
pindar
skull n bones
mafia
boss wao nani haya makundi ya kidunia??....na malengo yao ni tofauti au lengo lao ni moja....
wanataka hii dunia iweje sasa..???..mpaka sasa wamefanikiwa kiasi gani na malengo yao.?
Mkuu danganya yote ila si kutuambia kuna mji chini ya ardhi na treni zinazotembea kwa spidi ya light hiyo hapana, hamna kitu kama hichoKupinga ni rahisi sana lakini kuelezea ni kwanini unapinga ni jambo gumu kwawengi...
Bahati mbaya umesema huamini na mimi siwezi kushindana na imani ya mtu labda aweke hoja ndipo nitahangaika na hoja lakini mambo ya kuamini hayo ni yako binafsi mkuu,siwezi kuyaingilia...
Unaweza kutupa sababu inayokufanya upinge mji kutokuwepo chini ya ardhi?Mkuu danganya yote ila si kutuambia kuna mji chini ya ardhi na treni zinazotembea kwa spidi ya light hiyo hapana, hamna kitu kama hicho
nami nasubiri jibuUnaweza kutupa sababu inayokufanya upinge mji kutokuwepo chini ya ardhi?
Kuna fix hapaMkuu danganya yote ila si kutuambia kuna mji chini ya ardhi na treni zinazotembea kwa spidi ya light hiyo hapana, hamna kitu kama hicho
huo uchafu una mafuvu ya watu ofisini kwakeBujibuji ndio uchafu gani huu
Kuna fix hapa
"Hii dunia tunaishi ila kuna watu
wanaiendesha na kupanga
matukio mbalimbali. Kuna watu
wanaamua nani awe rais na kwa
sababu zao wao. Ni mambo
machache sana ambayo yanatokea pasipo watu flan kuwa
wamepanga yawe."
Unafikiri watu hao hawajakupangia hata kile unachokiabudu..?
Tuletee makala ya iyo pindar bas tupate kufahamUmepapasa tu kuhusu ukweli wa dunia na anayeiendesha....
Endelea kujifunza na utajua hao Skull and Bones ni sisimizi tu,hata Freemason na Illuminati ni sisimizi tu...
Jifunze kuhusu Pindar utapata mwanga kidogo....
Nataka nikushauri tu...Tuletee makala ya iyo pindar bas tupate kufaham
Wengi waliuawa kama Phil Schneider na wengine waliishia kuishi maisha ya kukimbia kimbia tu wakihofia usalama wao....Mkuu Eiyer kama mambo haya ni siri ni nani aliyefanikiwa kufichua siri hizi na kutoa maandiko kama haya ?Na je nn kilimpata baada ya kutoa siri hizi?