Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 911
- 1,294
Una fikra kama zanguNinafikiri huyu ni Samia mwenyewe anajipigia promo..maana post zake ni kujikweza tuuu mwanzo mwisho.
Fanya kazi mama, ni wajibu wako. Huna sababu ya kujinadi kiasi hicho.
Kibaya kinajitembeza ila kizuri siku zote hujiuza.
Yaani wewe leo ukope mwenyewe, kesho nikusifie kulilipa deni ulokopa mwenyewe?mimi ntakua Kichaa!!Kesho utasema Rais Samia hajafanya kitu,
Leo fahamu tu mwaka huu atalipa madeni TZS 11T ,ili unapolaumu jua kabisa hili pia lilifanyika
Poleni sana,Una fikra kama zangu
Huyu jamaa ni either samia mwenyewe au msaidizi wake wa karibu huwa anamtuma aje alete uharo wake humu
Kakopa nani mkuu,Ila fahamu mwaka huu mengi yamelipwa so relaxYaani wewe leo ukope mwenyewe, kesho nikusifie kulilipa deni ulokopa mwenyewe?mimi ntakua Kichaa!!
Wewe chawa komaa lakini too late , Magufuli kaondoka kasanua kila kitu ,hayupo mdanganyika yoyote tena nchini,mnaangaliwa tu kwenye bainokla,muda ukifika hamtoamini kitakachotokeaRais Samia Suluhu Hassan kimyakimya anaendelea kulipa madeni mbalimbali kwa watu binafsi au taasisi na kwakuanzia tu mwaka huu pekee analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya fedha TZS11.17623Trilioni.
Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe tu na mumuombee mzigo huu mabegani mwake ni mzito sana na unahitaji neema ya Mungu kuufikisha, Angalia hii
1 . Mama ametoa TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?
2. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?
3. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?
4. Mama ametoa TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?
5. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?
6. Mama ametoa jumla ya fedha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi, Je! hili si jambo jema?
View attachment 2003891
Nimelarax sana mkuu. Kwa ushauri tu.mnakosea sana kusema Mama kalipa hiki ama kile, kwa muktadha huu mnamtwisha mama Mzigo hata usio wake. Kwa mfano kulaumu Rais badala ya Serikali iliyochini ya chama hamuoni kama mnakosea?.Fikililieni Vizuri!!Kakopa nani mkuu,Ila fahamu mwaka huu mengi yamelipwa so relax
Acha kumtaja mpendwa wetu kwenye mambo ya shari na uongo, mwache apumzike,Wewe chawa komaa lakini too late , Magufuli kaondoka kasanua kila kitu ,hayupo mdanganyika yoyote tena nchini,mnaangaliwa tu kwenye bainokla,muda ukifika hamtoamini kitakachotokea
Mbona mambo yakienda vibaya mnamlaumu yeye?Nimelarax sana mkuu. Kwa ushauri tu.mnakosea sana kusema Mama kalipa hiki ama kile, kwa muktadha huu mnamtwisha mama Mzigo hata usio wake. Kwa mfano kulaumu Rais badala ya Serikali iliyochini ya chama hamuoni kama mnakosea?.Fikililieni Vizuri!!
Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya anaendelea kulipa madeni mbalimbali kwa watu binafsi au taasisi na kwakuanzia tu mwaka huu pekee analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya fedha TZS11.17623Trilioni.
Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe tu na mumuombee mzigo huu mabegani mwake ni mzito sana na unahitaji neema ya Mungu kuufikisha, Angalia hii
1 . Mama ametoa TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?
2. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?
3. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?
4. Mama ametoa TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?
5. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?
6. Mama ametoa jumla ya fedha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi, Je! hili si jambo jema?
View attachment 2003891
Pacha hongera sana mkuu,Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya anaendelea kulipa madeni mbalimbali kwa watu binafsi au taasisi na kwakuanzia tu mwaka huu pekee analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya fedha TZS11.17623Trilioni.
Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe tu na mumuombee mzigo huu mabegani mwake ni mzito sana na unahitaji neema ya Mungu kuufikisha, Angalia hii
1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?
2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?
3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?
4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?
5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?
6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi, Je! hili si jambo jema?
View attachment 2003891
Analipa madeni kisha amekopa 1.3t! Uza ubongo huo bro. Hiyo 1Ot aliyotoa kamlipa nani na kaitoa wapi? Kama makusanyo kwa mwaka mwaka ni 23t, na matumizi ni 20t+, hiyo 10t kaitoa wapi wakati hana hata mwaka madarakani? Hivi umetuonaje mpigaji propaganda mfu?bona
Nilishakwambia njoo CCMAnalipa madeni kisha amekopa 1.3t! Uza ubongo huo bro. Hiyo 1Ot aliyotoa kamlipa nani na kaitoa wapi? Kama makusanyo kwa mwaka mwaka ni 23t, na matumizi ni 20t+, hiyo 10t kaitoa wapi wakati hana hata mwaka madarakani? Hivi umetuonaje mpigaji propaganda mfu?
Labda hajui kusoma between the lineMbona kaandika anaendelea kulipa wewe unaionaje hiyo?
Wewe Chadema na ugaidi wako unasumbua sana aise,Huwa naona kama wana ccm Sana matatizo makubwa, hayo madeni makubwa ni yameletwa na chama gani?
Hakika huyu mama anastahili pongezi,Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya anaendelea kulipa madeni mbalimbali kwa watu binafsi au taasisi na kwakuanzia tu mwaka huu pekee analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya fedha TZS11.17623Trilioni.
Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe tu na mumuombee mzigo huu mabegani mwake ni mzito sana na unahitaji neema ya Mungu kuufikisha, Angalia hii
1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?
2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?
3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?
4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?
5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?
6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi, Je! hili si jambo jema?
View attachment 2003891
Wanampinga nadhani hawayajui hayaHakika huyu mama anastahili pongezi,
Tuache maitikadi tujali hiki anachokifanya Rais wetu kipenzi,
10trl madeni ya mwaka khaaa
Hukumu bado tu?Wewe Chadema na ugaidi wako unasumbua sana aise,
Mimi sio mzee au mtaka vya mteremko.Nilishakwambia njoo CCM
Mkuu karibu sna CCM tunahitaji vijana vibrint kama wewe,Mimi sio mzee au mtaka vya mteremko.
Watakuja wote chama kimeshakufaMkuu karibu sna CCM tunahitaji vijana vibrint kama wewe,