Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Katika Uchaguzi mkuu wa 2020 ACT Wazalendo walitembea na kaulimbiu ya " Kazi na Bata" katika kumnadi mgombea wao wa uRais Kamilius Membe rip

Nadhani 2025 hawatarudia tena kufuatia yaliyomkuta Bongo huko Gabon
 
This is a new dawn for Africa.Tawala zote kandamizi ambazo zimeibia watu wao rasilimali wakae chonjo,I mean zote,without exception,ikiwemo Tanzania.

Haiwezekani baada ya miaka sitini na tatu ya Uhuru tukiwa na rasilimali nyingi kiasi hiki,bado watu wetu wengi hawana maji,na hata hao wachache wanaopata maji si safi na salama;watu wanakufa kwa sababu hawana huduma za afya;watoto wengine hawasomi kwa kuwa wazazi wao hawawezi kuwapeleka shule kwa kuwa hawana michango,madaftari na kalamu au uniform; Elimu inayotolewa ni chini ya kiwango,shule hazina mazingira mazuri ya kusomea na vitendea kazi;watu wetu hawana nyumba bora za kuishi ;watu wetu wanapata mlo mmoja tu kwa siku na wengine hawapati kabisa nk.nk..

No, lazima kama Watanzania tufike mahali tuseme hapana hii haivumiliki tena inatosha,na tufanye kitu ambacho kitatutoa kwenye uonevu huu.
Sahihi
 
SPECIAL MESSAGE TO ALL ALKIBULANS(AFRICANS)
Alkibulans arise and take your rightful position on earth.They are subjugating you because they know you are a superior race.Jesus was black,King Solomon was Black,king David was Black,the tribe of Juda was black.the Hebrews were black.History is being untold and re-written.

Yes, Alkibulans,they hate you because they know you are a superior race and so superior to them in everything,say no to subjugation and take your rightful position in the World.They changed you continent's name to Africa because they wanted to erase your history.Your continents name is not Africa,it is Alkibulan,yes you are Alkibulans,not Africans.Once more,arise Alkibulans and take your rightful position in the World
 
Back
Top Bottom