Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Ambacho hukijui ni kuwa,aliempindua ni Binamu yake. Anaitwa Brice Oligui Nguema.Na Ali alimwambia Brice amuandae Valentin Bongo aje kuwa Rais.Valentin Bongo ni mtoto wa Ali Bongo.
Naona Brice kaamua yeye mwenyewe awe Rais.Ndo alikuwa mkuu wa ulinzi wa Rais.
Lakini ametoka kwa fedheha whatsoever. Kama ni mchezo wa kifamilia, kwanini asinge stepdown kisha huyo mtoto wake akaandaliwa kuja kuwa rais kwa njia ya ballot box?
 
Nit
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais

Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii

Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.

==========

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.


Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

========

Gabonese President Ali Bongo Ondimba is being detained at home and one of his sons has been arrested for "treason," military officers said Wednesday, hours after announcing they had overthrown the government.

"President Ali Bongo is under house arrest, surrounded by his family and doctors," they said in a statement read out on state TV.

Bongo's son and close adviser Noureddin Bongo Valentin, his chief of staff Ian Ghislain Ngoulou as well as his deputy, two other presidential advisers and the two top officials in the ruling Gabonese Democratic Party (PDG) "have been arrested," a military leader said.

They are accused of treason, embezzlement, corruption and falsifying the president's signature, among other allegations, he said.

Earlier on Wednesday, military officers said they had toppled Bongo, who has been in power for 14 years, hours after he had been declared the victor in Saturday's elections.

In a televised statement, they said the vote results had been cancelled and "all the institutions of the republic" dissolved.

===========

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Nitawalaumu ikiwa wataishia kumsweka ndani Rais mteule na kuacha kufukunyua tume nzima ya uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi.

Hizi zinazoitwa "tume za uchaguzi" ndiyo chanzo kikuu cha migogoro yote hiyo.
Wanapindisha matokeo kwa karatasi ghushi ama kwa rushwa.

Wanalo turufu sasa la kuweza kuupata ukweli wa figisu zinazofanywa na tume hizo za uchaguzi.

Pia wasikubali kubakia madarakani kwa kipindi kirefu kama walivyofanya Sudani mpaka kupelekea machafuko, watawale kwa mpito huku wakiandaa uchaguzi wa kidemokrasia ulio huru na wa haki.

Kama Jeshi la Taifa, wametimiza wajibu wao wa kulinda Katiba mahala ambapo watawala huisigina na kuikojolea kwa mrengo wa kidemokrasia ya bandia iliyojaa figisu na kutumia katiba zenye matundu kuendelea kutawala na kupora demokrasia pamoja na railimali za Taifa.
 
kwa niger kwenyewe ECOWAS wamenywea, Gabon ndio imewavuruga mazima. Soon ukanda wao yatatokea tena mapinduzi mengine tena na watazidi kuvurugikiwa washindwe waingie wapi na kubaki kila mmoja akijipambania nchini mwake. Mapinduzi yanazidi kupamba moto na kuonekana ni mtindo mpya wa kuleta mageuzi ya kisera na uongozi kwa haraka. Kwa mtindo huu zipo nchi ukiziangalia tawala zao unaona ni dhahiri mapinduzi ya kijeshi kutokea wakati wowote. Nchi kama Cameroun, Uganda, Rwanda na zingine zenye demokrasia za magumashi kuna dalili za kutokea mapinduzi ya kijeshi au raia wakaungwa mkono na jeshi kutwaa madaraka
Hata Tanzania ni nchi yenye demokrasia inayohitaji mapinduzi ya kijeshi.
 
Nit

Nitawalaumu ikiwa wataishia kumsweka ndani Rais mteule na kuacha kufukunyua tume nzima ya uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi.

Hizi zinazoitwa "tume za uchaguzi" ndiyo chanzo kikuu cha migogoro yote hiyo.
Wanapindisha matokeo kwa karatasi ghushi ama kwa rushwa.

Wanalo turufu sasa la kuweza kuupata ukweli wa figisu zinazofanywa na tume hizo za uchaguzi.

Pia wasikubali kubakia madarakani kwa kipindi kirefu kama walivyofanya Sudani mpaka kupelekea machafuko, watawale kwa mpito huku wakiandaa uchaguzi wa kidemokrasia ulio huru na wa haki.

Kama Jeshi la Taifa, wametimiza wajibu wao wa kulinda Katiba mahala ambapo watawala huisigina na kuikojolea kwa mrengo wa kidemokrasia ya bandia iliyojaa figisu na kutumia katiba zenye matundu kuendelea kutawala na kupora demokraaia pamoja na railimali za Taifa.
All state institutions have been dissolved.
 
Sasa huyo aliyepewa kuandaa ,ndo kaamua kumgeuka binamu yake na kuamua kusimama mwenyewe.
Hizo ni hisia tu. The dynasty is gone for good. Mbona baba yake hakupinduliwa? Kwanini haujui hata ndugu huweza kugombana, tena cousins? All in all, watu wanataka changes. People are fed up with the old and corrupt regimes.
 
Hizo ni hisia tu. The dynasty is gone for good. Mbona baba yake hakupinduliwa? Kwanini haujui hata ndugu huweza kugombana, tena cousins? All in all, watu wanataka changes. People are fed up with the old and corrupt regimes.
Yap,hawamtaki tena Ali Bongo,na walikuwa wanaimba Oligui président. Ila Oligui mwenyewe ni wa familia ile ile. Ali Bongo alizidi kwa kweli ufisadi akimtumia mke wake na mwanae wa kwanza wa kiume huyo Valentin.
 
Mabeberu wana play part kubwa kwa kuwachochea hao puppets kuendelea kukaa madarakani na kufanya ubadhirifu na uongozi mbovu , ni wanafiki sana .
Huu ni mwanzo mzuri .
Nchi zote ambazo wana masilahi yao mfano Gabon ,Angola ,Nigeria ,Guinea ,Niger NK hizo nchi wananchi wametopea kwenye umasikini wa kutupwa wakati nchi zinazalisha resources zenye thamani kubwa duniani na zinazoendesha uchumi wa dunia mfano Uranium ,Mafuta ,madini nk ,kiongozi hata awe mbovu vipi kwenye hizo nchi huwezi ona wanatoa presha ya kwamba ang'oke .
Mugabe alikuwa ovyo,hiyo nakubali lakini ,muone pia na unafiki wa nchi za magharibi , wao masilahi yao mbele ndio wanatanguliza ,mmeona wafaransa walivyong'ang'ania hapo Niger mpaka sasa ,na Marekani ,France nk wanauwekezaji kwenye resources za madini na mafuta kwenye hizo nchi mpaka sasa ,tumeona Angola yule Dos Santos alivyokuwa gaidi kipindi cha uongozi wake na ubadhirifu wake wa mapato ya serikali aliyoyatumia kuifanya familia yake kuwa mabilionea ,sikuona Mmarekani na wenzake wakihusika kumuwajibisha , Omar Bongo WA Gabon katawala miaka mingi sana na mpaka kamrithisha uongozi mtoto wake pamoja na kufanya ubadhirifu wa pesa za nchi yet Marekani walikuwa kimya , Nigeria corrupt regimes imekuwa kawaida miaka na miaka ,tangia enzi za akina Sani Abacha yule aliyeiba bilioni 42 dollar ,na wengine pia mpaka leo .

Afrika itajengwa na waafrika wenyewe ,ni upumbavu wananchi hawafaidiki na uchumi wa nchi zao ,watu wanaishi kama ngedere vile ,na ukiangalia resources zilizopo zinatosha kubadilisha maisha ya mwananchi wa kawaida ,kuna wapumbavu wachache wamefanya haya mataifa kama mali zao binafsi ,mbwa kabisa hawa . Ni kuanza kudeal nao kibandidu sasa hivi kama hivyo .
Huyo fala aminywe vilivyo na wataifishe mali alizoiba yeye pamoja na baba yake miaka yote hiyo .
Point tupu
 
Kwa hiyo unataka na wakwetu wafanye Mapinduzi.

Wewe ni ndezi na Mjinga sana
Tena ni kama wanajeshi wetu hawajitambui. Hizi chaguzi za kihayawani zinazoendelea kuwafanya CCM wakae madarakani kwa shuruti ilitakiwa ifikie mwisho.
 
Bora waneemeke kuliko Vita,hakuna Mtanzania anapenda huo ujinga kama wewe unapenda kufa mapema kabla ya kutuletea shida sie wengine na Watoto Wetu.
Yaani kila siku nasema huku, yanatakiwa machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ili kutoa hiki chama cha majizi kilichoko madarakani kwa shuruti. Ww kwasababu unafaidika na hiki chama cha majizi lazima uogope mapinduzi, lakini hayo yatatokea tu. Kuliko kuendelea kushiriki chaguzi za kihayawani, ni bora kuwaunga mkono wanajeshi wapindue nchi.
 
Yaani kila siku nasema huku, yanatakiwa machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ili kutoa hiki chama cha majizi kilichoko madarakani kwa shuruti. Ww kwasababu unafaidika na hiki chama cha majizi lazima uogope mapinduzi, lakini hayo yatatokea tu. Kuliko kuendelea kushiriki chaguzi za kihayawani, ni bora kuwaunga mkono wanajeshi wapindue nchi.
Kwani machadomo ndio Yana jipya gani?
 
Back
Top Bottom