Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

Tofautisha mfanya biashara mwekezaji na na mtawala, France anachukua tu anavyotaka usilete mifano ya ajabu hapa. Hakuna mtu kakushikia bunduki ufanye naye biashara wewe mwenyewe umemuomba aje awekeze kama kuwajibisha serikali yetu kwenye uchaguzi kapige kura usituletee nuksi kwenye nchi yetu. Kwa taarifa yako huku CCM wapo mpaka kwenye nyumba unayokaa.
We ni takataka
 
Tanzania sio Nchi ya wajinga kama huyo ukiyemtaja,ndio maana hayupo asingekubaliwa kuleta upuuzi wake
Watu wajinga kama nyie hamuwezi kuzuia mabadiliko.Jpm Alijaribu na lakini mabadiliko yataendelea.hamuwezi kuendesha nchi kama ni ya familia zenu kama yanayofanyika hapa Tanzania kuingia mikataba mibovu ili Watu wachache wafaidishe familia zao.jiandae mabadiliko yanakuja hata hapa Tanzania.watu wa ovyo kama nyie mtahama nchi.
 
Nilipo mimi,kwanza wanapasua matofali kwa vichwa(ila matofali hayo,sharti yawe yametengenezwa na wao wenyewe,usiulize kwanini),wanapiga raia ambao hawana mafunzo yoyote rasmi ya kupigana(na hao raia wanaopigwa,ndiyo waliolipa kodi,ili WAO wakapate mafunzo,waje wawalinde).
Kuna kipindi chama flani cha upinzani kilitangaza maandamano,WAO wakatangaza kua siku hiyo WAO watafanya usafi.
Kwetu inasikitisha.
Vifaru vilitiwa mitaani Visiwa fulani.
 
Habari hii imeandikwa na Martin Maranja Masese kupitia akaunti yake ya twitter:

Inasomeka hivi:

Rais wa Gabon aliyepinduliwa na jeshi la Gabon leo, Ali Bongo Ondimba na kuwekwa kizuizini, Disemba 2021 aliagiza theluji (snow) kutoka Ulaya, ikasambazwa katika kasri la Ikulu, Libreville ili familia yake ipate mandhari ya “Christmas when it snows”

Rais aliyepinduliwa Ali Bongo Ondimba alitaka Krismasi yenye theluji (snowy Christmas) Gabon kwa ajili yake na familia yake, hivyo aliingiza theluji ambayo iliwekwa mahali ambapo familia yake ilisherehekea sherehe yao ya Krismasi, Libreville.

Rais Ali Bongo alikosolewa vikali kwa kitendo hiki cha kifahari; kwa sababu katika hali halisi, wastani wa 40% ya raia wa Gabon hawana ajira, wakati karibu 60-70% ya wakazi wa Gabon wanaishi chini ya mstari wa umaskini wa chini ya US$1 kwa siku.

Gabon imejaliwa kuwa na utajiri wa maliasili, ikiwa ni pamoja na miti mikubwa kwa ajili ya mbao, madini ya manganese, gesi asilia, na mafuta ghafi. Katika miaka 22 tangu 2000, mafuta yalichangia, kwa wastani, 50% ya Pato la Taifa, 60% ya mapato yote ya serikali, na 80% ya risiti zote za mauzo ya nje.

Misitu inachukua 85% ya ardhi ya Gabon, na kuifanya kuwa eneo la pili la misitu kwa ukubwa barani Afrika. Gabon inachukua karibu 25% ya biashara ya kimataifa ya manganese. Akiba ya gesi asilia iliyothibitishwa ilikadiriwa kuwa takriban mita za ujazo bilioni 33 mnamo 2008.

Huku akiba ya mafuta ikikadiriwa mwaka 2011 kuwa mapipa bilioni 3.7, ikiwa ni hifadhi ya saba kwa ukubwa barani Afrika, wakazi wa Gabon wapatao milioni 2.3, theluthi moja yao wakiishi katika umaskini mkubwa. Ndiyo sababu Jeshi limeamua kumpindua Ali Bongo Ondimba.

Pamoja na kwamba Gabon ni nchi inayochimba na kuuza mafuta yake hadi kuwa mwanachama wa OPEC lakini leo raia wa Gabon wananua lita 1 ya petroli kwa US$1.004 (sawa na Tsh. 2,515.02). Bei sawa na ambayo KIPARA alikuwa anauza Tanzania mwezi Julai, 2023.

Ali Bongo Ondimba anaonekana alipenda kuagiza sana vitu vyake kutoka Ulaya. Mke wa
@PresidentABO ni raia wa France amezaliwa Paris. Ni mtoto wa Édouard Valentin, CEO of the Omnium gabonais d’assurances et de réassurances (OGAR)
 
Uchaguzi wa nchi za kiafrika umeshaonekana ni magumashi na si demokrasia. Afrika mashariki wale jamaa wawili wakae mguu sawa hata kama ni gorilla war wa msituni wamechokwa bora wakajimalize kwenye sanduku la kura waondoke kwa heshima kuliko kuondolewa kwa nguvu
Nakazia,Africa hamna demokrasia, uhuni tu
 
kwa niger kwenyewe ECOWAS wamenywea, Gabon ndio imewavuruga mazima. Soon ukanda wao yatatokea tena mapinduzi mengine tena na watazidi kuvurugikiwa washindwe waingie wapi na kubaki kila mmoja akijipambania nchini mwake. Mapinduzi yanazidi kupamba moto na kuonekana ni mtindo mpya wa kuleta mageuzi ya kisera na uongozi kwa haraka. Kwa mtindo huu zipo nchi ukiziangalia tawala zao unaona ni dhahiri mapinduzi ya kijeshi kutokea wakati wowote. Nchi kama Cameroun, Uganda, Rwanda na zingine zenye demokrasia za magumashi kuna dalili za kutokea mapinduzi ya kijeshi au raia wakaungwa mkono na jeshi kutwaa madaraka
Viongozi uliowataja wakae mguu pande[emoji4]
 
Kikundi cha Wanajeshi 12 kimechukua uamuzi huo ikiwa ni siku chache tangu Tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa Rais Ali Bongo ameshinda tena Kiti cha Urais

Wanajeshi hao wametangaza kupitia Televisheni ya Taifa kuwa wanafuta matokeo yaliyoyangazwa na kuzifuta Taasisi zote za Umma pamoja na kulinda amani, kuondoa utawala usiowajibika uliochangia kuvuruga umoja katika jamii

Mapinduzi haya yatakuwa yanamaliza Utawala wa familia ya Bongo iliyotawala Nchi hiyo kwa takriban miaka 53.

==========

Jeshi la nchi hiyo limesema limechukua madaraka baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Ali Bongo kama mshindi kwa kipindi cha tatu.


Katika tangazo hilo maafisa wa jeshi waliojitokeza kwenye televisheni ya taifa walisema wamefuta uchaguzi uliofanyika Jumamosi ambao ulizusha malalamiko na wamefunga mipaka yote ya nchi hiyo pamoja na kusimamisha utendaji wa kazi wa taasisi zote za kiserikali.

========

Gabonese President Ali Bongo Ondimba is being detained at home and one of his sons has been arrested for "treason," military officers said Wednesday, hours after announcing they had overthrown the government.

"President Ali Bongo is under house arrest, surrounded by his family and doctors," they said in a statement read out on state TV.

Bongo's son and close adviser Noureddin Bongo Valentin, his chief of staff Ian Ghislain Ngoulou as well as his deputy, two other presidential advisers and the two top officials in the ruling Gabonese Democratic Party (PDG) "have been arrested," a military leader said.

They are accused of treason, embezzlement, corruption and falsifying the president's signature, among other allegations, he said.

Earlier on Wednesday, military officers said they had toppled Bongo, who has been in power for 14 years, hours after he had been declared the victor in Saturday's elections.

In a televised statement, they said the vote results had been cancelled and "all the institutions of the republic" dissolved.

===========

--
Television announcement came shortly after state election body announced incumbent Ali Bongo had won a third term as president.

A group of senior military officers have gone on national television in Gabon saying they have seized power because elections held over the weekend were not credible.

The officers, appearing on Gabon24 in the early hours of Wednesday morning, said they had cancelled the elections, dissolved all state institutions and closed the country’s borders.

They said they represented all security and defence forces of Gabon.

The announcement came shortly after the state election body said President Ali Bongo Ondimba had won a third term in office in Saturday’s disputed elections.

“In the name of the Gabonese people … we have decided to defend the peace by putting an end to the current regime,” the officers said.

The Gabonese Election Centre said Bongo had secured 64.27 percent of the vote compared with 30.77 percent for his main challenger Albert Ondo Ossa, after a process beset by delays.

On Saturday, the opposition camp said the election was a “fraud orchestrated by Ali Bongo and his supporters” after the internet was cut and a curfew imposed. French media outlets France 24, RFI and TV5 Monde were also banned, accused of “a lack of objectivity and balance … in connection with the current general elections”, the government said.

Bongo was the candidate for the Gabonese Democratic Party (PDG), the party founded by his father, Omar Bongo, who ruled Gabon with an iron fist from 1967 to 2009. After his death, his son, then the defence minister, took his place as president and has been in power ever since.

Tensions had been running high amid Saturday’s vote with the opposition pushing for change and an end to the Bongo family’s dominance of Gabon.

Following the military announcement, the Reuters and AFP news agencies reported the sound of gunfire in the Gabonese capital, Libreville.

Source: Gabon military officers claim power, say election lacked credibility
Afrika magharibi wanajitambua.hapakwetu waom(mboga mboga FC) wameongoza sasa yakaribia miaka 70 bilabila jeshi Lina Shangaan tuu.🤣🤣🤣🤣🪑
 
Back
Top Bottom