HahahahaaaJamaa ameuchezea ujana wake,wakati yuko mbichi anawaka, wanawake walikuwa wanamhusudu,kuanzia kule Mwanza na yule mke ya muzungu mpaka akaja huko Dar,akawa yeye ni mtu wa Ganda la ndizi,alikuwa hajui uzuri una mwisho,pia kuna kuzeeka,sasa wanawake wote wanataka ving'asti wenye damu moto wavifuge,sio mizee iliyopoa kama bia ya tusker.
Ana maana gani kujuta wakati mke alimuacha mwenyewe kwa hiyari yake kwa tamaa za mali za jide? matokeo yake kaondoka na boxer tu *****, jide mbayaHakuna kitu kibaya katika maisha (hasa ya kimapenzi/ndoa) kama majuto.
Jambo likishatokea (kuachana) kubali na uangalie namna nyingine.
Kulikubali tatizo na kuangalia namna ya kulitatua huishia katika furaha.
Majuto huvunja moyo.
Maisha ni mafupi sana kwa majuto.
Tafadhali naomba km una picha yakeKama yule Dada kaolewa bora maana aliadhirika sana hadi kwenye magazeti Gardner alisema si mke wake wamezaa tu Leo kasahau anadai alikuwa mke kweli dunia hii TENDA JEMA UTENDEWE
Amechakaa nilimuona anahojiwa majuzHalafu ni wazi G amekuwa mlevi sana!
Kwa hisani ya wanaume wa kanda ya ziwa.
Maji yes hizo ndinga si zakeNdi ndi ndi
Yote yanawezekana pekupeku ama na viatu...1.tusigombanie vicheche huo ni urithi wa kwetu.
2.kicheche akinikimbia mwache tu atarudi analia.
Sina picha mkuu zilitoka kwenye magazeti ya Shigongo japo si msomaji wa hayo magazeti hii habari nilikuwa nikiiisoma iliniumiza sana, binti aliumia sana akiangalia mume kanyang'anywa na mwenye pesa, sio siri nimefurahi kusikia kaolewaTafadhali naomba km una picha yake
Yahaya unaishi wapi!ndi ndi ndii
...yuko juu kwa sekta gani..? be specific , maana mwenzio katema mzigo inamaana kuna mahali anapataka yeye pamepungua,...jide yupo juu akae akijua