Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Wewe ungekuwa na afya ya akili ungenionea wivu wakati hunijui! Lazima nikuchambe tu ili twende sawa na hukulazimishwa kuchangia chochote umejileta tu
 
Dr, mwaka 1990 ulikua Chuo tena mwaka wa 4? Shikamoo Dr 🙌.

Btw Ushauri mzuri kwa kijana mwendokasi unaua
 
Unaacha Prado unachukua Brevis si ndio?
 
Siku Ukipata Ajali uje Pia Utuambie..
BTW Brevis ni gari Iliyopitwa na wakati na Wengi wanaziuza sana siku hizi..

Nowdays Kupata Brevis Namba DZ au DX au DY Kwa Shilingi Milioni 4 au Tano ni Kitu cha kawaida sana..

Ukitaka Sports Car Jaribu Crown
Kweli mkuu Mimi ni dalali gari aina ya Brevis haziuziki
 
Mkuu, ondoa hii mentality. Malengo ya madereva timamu si kushinda mbio unless upo kwenye michezo ya kulipwa.
Mimi sikuongelea mbio watu ndiyo wanakurupuka walio wajinga humu sijui wametoka fb nimesema nimetoka nayo dar mpaka mwanza na hii gari nilinunua mpya kabisa kwahiyo nimetumia muda mrefu lazima niwe nimewahi kukimbiza speed zote maana wakati mwingine unakuwa na haraka ila majinga mengi mengi humu yanapenda kudakia tu na kurefusha mambo
 
Mkuu, jaribu na Toyota Mark X (DBA-Grx 120), ni chuma kwelikweli. Kina comfortability ya maana, acceleration ya kufa mtu na stability ya kutisha barabarani. Tofauti na Brevis, Mark X haili mafuta kijini jini na pia ina umbo au sura yenye mvuto.

NB: Maneno yote yenye utata ni kwa lengo la kusifia na sio vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…