Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Hatupandi ndefe,tunapanda ndege,hizo ndio hasira Sasa!Tunapokusoa Wazee shukuru,sio kuwa mjinga kila Siku.Hapo ulipo hujala ungekuwa na maisha mazuri usingekuwa na hasira na uzi huu sasa umefuata nini si uende huko kwa wanaopanda ndefe
We endelea kujifunzia mbio za magari ni uchizi, hakuna aliekuunga mkono, mtumba huo utakuua,! Tafuta hela umuchia Mzee wako sio umuachie tuta la kaburi kwa ujinga wa mbio!Baba lako ndiyo limekufundisha kuleta chuki humu jf
Sio kusoa kukosoa libaba jinga kubwa hata aibu huna itakuwa ni mchawi wewe huko kwenu hata gari hunaHatupandi ndefe,tunapanda ndege,hizo ndio hasira Sasa!Tunapokusoa Wazee shukuru,sio kuwa mjinga kila Siku.
Hapa nimeamini wewe ni maskini kweli huna kitu mchawi mkubwa kufa utakufa tu hata kama huendeshiWe endelea kujifunzia mbio za magari ni uchizi, hakuna aliekuunga mkono, mtumba huo utakuua,! Tafuta hela umuchia Mzee wako sio umuachie tuta la kaburi kwa ujinga wa mbio!
Umejiunga jana jf alafu unaanza kufukuza uliowakuta?kweli wewe unafaa fb sio huku
Sasa kama humiliki brevis umefuata nini kama sio kubwa jinga ukizingua unazinguliwaUmejiunga jana jf alafu unaanza kufukuza uliowakuta?
Asubiri uzi wake wa baiskeliAcha makasiriko dogo huu uzi kwa walio na brevis tu kama huna kaa mbali
Cha kushangaza waliodandia uzi hawamiliki brevis sijui wamefuata nini yaani wajinga ni wengi sanaAsubiri uzi wake wa baiskeli
Uchawi nao ni sifa, Sasa endelea na mbio nikuroge,nimekuonya mapema,mbio acha, utakuja humu JF kukili nilikuona hukusikia,Sio kusoa kukosoa libaba jinga kubwa hata aibu huna itakuwa ni mchawi wewe huko kwenu hata gari huna
Mkuu wewe mbona una miliki majeneza?Sawa mleta mada tushajua unamiliki Brevis acha sisi tunaomiliki miguu na makalio peke yake tupite kimya kimya ngoja wamiliki wa "Vieite" waje hapa wakute huu utumbo!
Kwenda huko huwezi kumpangia mtu maishaUchawi nao ni sifa, Sasa endelea na mbio nikuroge,nimekuonya mapema,mbio acha, utakuja humu JF kukili nilikuona hukusikia,
Wewe brevis lako usitulee ujinga,sio gari la kujisifia humu!Hata huko south Africa wanatengeza gari za kijapan under licence,Cha ajabu hakuna brevis,tatizo hazina Soko,wanazotz washamba,(wboss)kubwa lao.Cha kushangaza waliodandia uzi hawamiliki brevis sijui wamefuata nini yaani wajinga ni wengi sana
Unapanic jf? Utapasuka kwa kupanic na gari yako iliyopitwa na wakati hiyoSasa kama humiliki brevis umefuata nini kama sio kubwa jinga ukizingua unazinguliwa
Sijakupangia hizo mbio ndio,nakuonya kwamba sio sifa ni ushamba!Ulitaka nikusifie kwamba uko sahihi,hapana sio wivu sio uchawi,acha ushamba barabarani.Kwenda huko huwezi kumpangia mtu maisha
Soko la nini tafuta mjinga mwenzio mbishaneWewe brevis lako usitulee ujinga,sio gari la kujisifia humu!Hata huko south Africa wanatengeza gari za kijapan under licence,Cha ajabu hakuna brevis,tatizo hazina Soko,wanazotz washamba,(wboss)kubwa lao.
JF sio Mali Yako,za uso utakumbana nazo, brevis ni kiUzi huu ni wenye brevis tu mtakaozikosoa hamtutishi brevis ni gari nzuri sana kama una uwezo wa kuweka mafuta kwa safari utalipenda
Dogo, akidhani tutasifu mbio zake na brevis lake!Unapanic jf? Utapasuka kwa kupanic na gari yako iliyopitwa na wakati hiyo