Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Sawa, ila kwa barabara zetu za tz andika urithi mapema kwa hayo ma-speed.
 
Kwani wewe unajua kesho utakuwepo kufa utakufa tu hata kama sio kwa speed
Wewe ni kiazi , hakuna wa kusifia ujinga wa member mpya!,Andaa magongo ukinusurika!Pia na mganga wa jadi wa kukupigia ramli,mchawi wa Kwanza Mimi.
 
Usilete uzi tena jf kama hutaki tuchangie mada siku nyingine tutakulamba makofi
Kuchangia mada umechangia kijinga kama ng'ombe na hujaitwa na naleta uzi hunitishi
 
Hahaha nina Subaru XT usijaribu kunifata mkuu
 
Kuna sredi jf muwe mnazifuta tu. Hii habar nayo inahitaji id feki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…