Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] tulia muda si mrefu atajua hajui.Kuna staff mwenzangu kaagiza BMW 3 kwa mkopo na anaishi Singida, kwa kweli nimeishia kumpongeza kwa ujasili. View attachment 1696955
Tunasubiria milio kama yotee[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] tulia muda si mrefu atajua hajui.
Nimemuuliza yeye Maybach au G Wagon hazipendi? Si azilete tumuone nazo πππ maana kauliza swali la ajabu kidogo!Mjerumani wetu mtata tu, ila kuna mzee namjua ni Tajiri sana, na utajiri wao umeanza toka utotoni.. kwake pamejaa gari za Europe, kwake gari sio shida. Ila kuna siku tulikuwa nae tumeenda kununua gari flani, wakati tunarudi akashika Crown sikuwa vizuri kuendesha, njia nzima anaisifia kuanzia mwendo na ile luxury yake ya ndani.. mzee alikuwa kama mgeni kwenye magari, lakini ukifika kwake parking yake kuna machine za kweli.. ila huyu mjerumani wetu kaamua tu kugoma kutupa nyota zetu, hadi atuone tunamiliki Lexus Ls600h wakati yeye hata BMW M4 hawezi kutuletea hapa.. anatunanga tu πππ
Germany Machine hio inatafutiwa mtu wa kumuua na Presha π
Mwambie aanze kuchanga hela ya sensor na shockups! La sivyo masika moja ikipita atalipaki πππKuna staff mwenzangu kaagiza BMW 3 kwa mkopo na anaishi Singida, kwa kweli nimeishia kumpongeza kwa ujasili. View attachment 1696955
ππππ huenda zipo kwenye parking, mtu wa kuita hata Crown ni taka taka.. yupo vizuri. Hapo alipo huenda anaendesha BMW M3 ya mwaka 2020Nimemuuliza yeye Maybach au G Wagon hazipendi? Si azilete tumuone nazo πππ maana kauliza swali la ajabu kidogo!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] na tena atamvimbia jamaa wa Crown huku akiongea kwa kibesi unaijua germany machine wewe?Germany Machine hio inatafutiwa mtu wa kumuua na Presha [emoji16]
Nilikaa kimya tu, ukitoa ushauri unaonekana mchawi. Nilimwambia hiyo ni ndege ya chini. ππππMwambie aanze kuchanga hela ya sensor na shockups! La sivyo masika moja ikipita atalipaki πππ
Nakunya hapa mpaka Mwaisela πππππππ huenda zipo kwenye parking, mtu wa kuita hata Crown ni taka taka.. yupo vizuri. Hapo alipo huenda anaendesha BMW M3 ya mwaka 2020
Haha. Crown.Umeishazoe mjerumani ,mjep huwezi kumkubali. Kuna mzee mmoja yeye wankishua toka udogoni na wanatumia kwao Europen car toka kitambo, kuna siku akashika crown alishangaa njia nzima anaisifia [emoji3][emoji3][emoji3]
Singia ataweza maana ni mjini mdogo sana, kwa mizunguko ya siku haizidi hata km 40. Ila ikizingua ataita maji mma. Hakuna garage za kueleweka.Kuna staff mwenzangu kaagiza BMW 3 kwa mkopo na anaishi Singida, kwa kweli nimeishia kumpongeza kwa ujasili. View attachment 1696955
Hata tokea miaka ya 2005 nimekuwa nafuatilia, ukitaka datails za magari yetu pita wikipedia na sio Toyota global, huzikuti. Hizo Mark II sijui Chaser, balloon, Mark X sijawahi ziona mpaka leo.Dan DTI gari tunazonunua tz hazipi kwenye website ya TOYOTA .Nikipata bundle nitaangalia kudhibitisha kama hii kauli ni kweli.
Ila na sis tumezidi magari mengi yana zaidi ya miaka 15 inawezekana yashafutwa kwenye kuyazalisha na kuuza.
Temea mate chini mkuu ππππ.. mtu mzito huyo. Angalia usitupe kazi ya kuzoa kinyesi cha mtu mzima πππ. Parking yake imejaa pale BMW M4, BMW M3, S CLASS 650 hataki utani, Crown ya kubebe maziwa ya paka wake ndani ...Nakunya hapa mpaka Mwaisela πππ
Sasa haiwezekeni kwenye Website zikawepo gari zote mkuu πππ.Haha. Crown.
Ongeleeni hizo Lexus.
Achaneni hizo gari za vichochoroni hata kwenye website ya kampuni haipo.
Nasikia mnaziita ndege za ardhini. Haha.
Ila wajerumani wameweka zote kwa sababu zinatosha π π π πSasa haiwezekeni kwenye Website zikawepo gari zote mkuu πππ.
Atakuwa Billionea flani basi πTemea mate chini mkuu ππππ.. mtu mzito huyo. Angalia usitupe kazi ya kuzoa kinyesi cha mtu mzima πππ. Parking yake imejaa pale BMW M4, BMW M3, S CLASS 650 hataki utani, Crown ya kubebe maziwa ya paka wake ndani ...
Model chache, pia kwenye website design hawashauri kujaza kila kitu, ndio maana kuna sehemu ya kuulizia unachotaka. Hayo ni mambo ya user interface ili website isiwe ngumu kwa mtembeleaji piaIla wajerumani wameweka zote kwa sababu zinatosha π π π π