Ishu sio mass production! Umeshawahi kuendesha high end Toyota car? Hata kama ni ya zamani kidogo?Your strategy shows how well you believe in your product.
Toyota ni mass production car company. Kwao attention to detail hawana.
Sitaki nikulazimishe uamini katika ninachoamini. Ila experience ya watumiaji hata watanzania wenyewe wanakuambia.
Endesha gari ya mjerumani na mjapani. Utofauti utauona kwenye stability, handling, comfortability. Hata features unaziona kabisa jinsi zilivyo tofauti.
Wanajua hali za kiuchumi kwa ukanda wetu huu. Wakileta vyuma vyenyewe wachache wana aford. Ila wana vyuma haswaaa ukikaa ndani unaona kweli umekaa kwenye gariNi kweli kuna gari tunaletewa huku Tanzania ukiingia kwenye website ya Toyota hata huzikuti yaani sio official (Noah, brevis, progress, opa, raumu, Ist, Sienta, Porte, Vitz). Ila wametoa na sisi tuishi humo.
Sio uoga, sema pesaaaaNi kweli mkuu, Lexus ni mashine, hizo ulaya, uarabuni kote wanatumia, zina standard. Huku kwetu Lexus ni chache kwa sababu ya uoga.
Mkuu mendex crown ni mashine sipingani na wewe, lakini hizi crown za bongo hata hazishtui.Jamaa mwenye hizi thread anaijua crown au anaisikia. Akaangalia crown athlete ya 2010 ni bei gani na bmw series 5 ya the same year ni bei gani. Crown inauzwa bei ghali kuliko bmw. Na ina sensors za kutosha
Sio uoga mkuu bei yake ni hatari, kuna moja jamaa kaipandisha hapo inauzwa 350M+ hapo bado kodi!Ni kweli mkuu, Lexus ni mashine, hizo ulaya, uarabuni kote wanatumia, zina standard. Huku kwetu Lexus ni chache kwa sababu ya uoga.
LEXUS:Lexus ni Luxury version ya Toyota...LEXUS inakua na options nyingi zaidi ya zilizopo kwenye Toyota pia hii walitumia kama mbinu ya kuingilia kwenye masoko duniani i.e Europe,America etc...
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
Halafu ananunua ist, akienda road trip anataka ajipime uwezo na Nissan Fuga.Mtu anaogopa kumiliki Nissan Fuga au Nissan Majesta sijui lenye CC buku nne na engine ya v6
Wanajivuna na dashboard πππ... assume ingine kama ya 2JZ-GTE, ingekuwa ya wazungu wa Jf tusingelala ila wajapan tumesitiaha hiyo ndio wajua kwamba viwangi vyao bado sanaaaHiki ndio kitu pekee mjerumani anaweza mtambia Toyota Japan. Ukiondoa hio speed limiter hio BMW itaachwa uchi mapema sana na Toyota yenye engine sawa na hio.
Ila pia kwa kukabiliana na hili Toyota ana Division inayodeal na Luxury cars za kupambana na hao Europeans makes i.e Lexus ambaye ana extension ya Speed zaidi ya 250KPH
Mkuu nimeangalia rate za Kenya, asee hawatofautiani na sisi.Nakubali mkuu.
Hapo haina masika moja π ikimaliza masika moja lazma tuungane kwenye bolt!Mti wa x-mas bado haujawaka hapo?
Mtu analinganisha Carina Ti na BMW X5 . Alafu anakuja tukana Toyota zote.. ni sawa na mie nikaendesha ki mini bmw alafu nilinganishe na Crown Royalsaloon πππIshu sio mass production! Umeshawahi kuendesha high end Toyota car? Hata kama ni ya zamani kidogo?
Tatizo mnaendesha Low end Cars mnazifananisha na High-ends za Mjerumani. Halafu mnaleta ushabiki mandazi usio na maana!
Unaijua Toyota Celsior?
Sasa watz wenzangu hasa hapa JF wanachukua gari iliyopo kwenye Homepage kabisa ya BMW / AUDI /VW halafu wanapambanisha na gari ambayo TOYOTA hawajaiweka hata kwenye website yao yaani hata ukisearch hakuna viashiria kama wanatengeneza hiyo gari . Ndio wanazishindanishaa π π πWanajua hali za kiuchumi kwa ukanda wetu huu. Wakileta vyuma vyenyewe wachache wana aford. Ila wana vyuma haswaaa ukikaa ndani unaona kweli umekaa kwenye gari
Sio makampuni tofauti bro, Lexus ni division tu! Ni sawa uwe na kiwanda chako uzalishe bidhaa ya kuuza mkoa mzima halafu uwe na nyingine classic zaidi ya kuuza Oysterbay, Masaki, Mbezi na Mikocheni tu!Lexus ni Lexus na Toyota ni Toyota.
Hayo ni makampuni mawili tofauti na yana objective tofauti.
Ongelea bidhaa za Toyota na sio za Lexus.
Na wajerumani wa Jf ukitoa chombo kule kama Toyota Tundra wana kukatalia wanasema hiyo ni ya usa πππ.. kama ni toleo la usa imebadilika na kuwa brand ingine πππ wanachekeshaga sana hawa wajerumani wetu.. ila tuishi nao tuSasa watz wenzangu hasa hapa JF wanachukua gari iliyopo kwenye Homepage kabisa ya BMW / AUDI /VW halafu wanapambanisha na gari ambayo TOYOTA hawajaiweka hata kwenye website yao yaani hata ukisearch hakuna viashiria kama wanatengeneza hiyo gari . Ndio wanazishindanishaa π π π
Jini mnyonya damu, asee jina jipya nimesikia π π π π .Hasira za kumiliki Brevis ( Jini mnyonya damu) alafu unaliuza bei ya kitonga na bado wateja huwaoni!
Unaamua kuzitolea JF....
Unaskia haiko stable barabarani, sasa gari ina shockup za bei rahisi itakuwaje sawa na gari yenye air-suspension? πππMtu analinganisha Carina Ti na BMW X5 . Alafu anakuja tukana Toyota zote.. ni sawa na mie nikaendesha ki mini bmw alafu nilinganishe na Crown Royalsaloon πππ