Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Wanazikubali sana. Sema ni shingo ngumu tu 😀😀Japo watapinga vikali ila ndio ukweli 😁!
Toyota looks like a boring car to some people but sells like a hotcake! Reliability ndo kila kitu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazikubali sana. Sema ni shingo ngumu tu 😀😀Japo watapinga vikali ila ndio ukweli 😁!
Toyota looks like a boring car to some people but sells like a hotcake! Reliability ndo kila kitu!
Na pesa kwenye mfuko wa shati naambiwa BMW 1 series na TOYOTA Corolla 110 bado nitapeleka pesa TOYOTA na uhakika wa kutumia bila stress na kwenye mazingira yetu bila mawazo. Na ndio utofauti wa Mjapani na Mzungu huko hapo. Na bado kuna watu wataniita mshamba yaani 😆 😆 😆Japo watapinga vikali ila ndio ukweli 😁!
Toyota looks like a boring car to some people but sells like a hotcake! Reliability ndo kila kitu!
Mkuu kwani gari ni sienta tu mzee, si kuna gari za viwango tu kama ES300 ya mwaka huo still ni gari ya uhakika ukiachilia hizi common cars kama GX110 au Verossa mbona ziko comfortable tu kama hio Benz unayotambia? Au ukipanda benz haikanyagi lami 😂😂😂Huyo mtu anasifia gari ambayo hawezi hata kumiliki miaka 20 ijayo.
Bora wale wanaomiliki german cars za miaka 20 iliopita wana enjoy kidogo.
Njoo kwa hao Lexus fan boys ambao wanaendesha Sienta au Raum ya 2003 huku wanaiponda C class ya 2003.
Kwenye stability hawapo, handling ndo hakuna kabisa, comfort wanaishia isikia kwingine.
Chuma chakavu cha mjerumani kina taa karibu mia pale kwenye dashboard,zikianza kuwaka waka zile lazima uvurugwe 🤣Na bora ya chuma chakavu cha mjapan kuliko chuma chakavu cha mjerumani.. kinaweza kukuua kabla ya wakati wako
Hahahaaa.. daahWengine ni mafundi garage. uwe na amani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀😀 mjerumani kawakaaa. Gari zipo za madaraja tofauti tofauti kwasababu hali za kiuchumi za watu pia zipo tofauti hivyo hivyoMkuu kwani gari ni sienta tu mzee, si kuna gari za viwango tu kama ES300 ya mwaka huo still ni gari ya uhakika ukiachilia hizi common cars kama GX110 au Verossa mbona ziko comfortable tu kama hio Benz unayotambia? Au ukipanda benz haikanyagi lami 😂😂😂
Inakuwa kama Disco 😀😀Chuma chakavu cha mjerumani kina taa karibu mia pale kwenye dashboard,zikianza kuwaka waka zile uvurugwe 🤣
Casino 🤣Inakuwa kama Disco 😀😀
Kingine unajua wabongo tuna ile kasumba sijui ulimbukeni wa kutaka kujitutumua tuonekane tunazo ila matokeo yake ni msiba 😂😂😂!!!Na pesa kwenye mfuko wa shati naambiwa BMW 1 series na TOYOTA Corolla 110 bado nitapeleka pesa TOYOTA na uhakika wa kutumia bila stress na kwenye mazingira yetu bila mawazo. Na ndio utofauti wa Mjapani na Mzungu huko hapo. Na bado kuna watu wataniita mshamba yaani 😆 😆 😆
View attachment 1696737View attachment 1696738
Wenyewe wanapenda hayo ma stress hadi mioyo inaanza wauma 😀😀😀Casino 🤣
Tutakutana garage, bill yangu inakuja 120,000/- na ninaondoka na gari Wajerumani wanapakishwa garage na bado bado ana subiri spare ya kuagizwa na bill ya 3.5m juu😀😀😀😀 mjerumani kawakaaa. Gari zipo za madaraja tofauti tofauti kwasababu hali za kiuchumi za watu pia zipo tofauti hivyo hivyo
Watu wanataka kuishi juu ya vipato vyao.Kingine unajua wabongo tuna ile kasumba sijui ulimbukeni wa kutaka kujitutumua tuonekane tunazo ila matokeo yake ni msiba 😂😂😂!!!
Hamna fedhea kama kupaki gari ati imeharibika fuel pump, unaenda kudandia mwendokasi na majirani zako 😁😁😁! Ukiangalia bei ya pump unajisemea tu wacha ikae tu kwanza ila mwenzio anaenda Ilala analokota pump na fundi wa kuja kuifunga. Kesho yuko barabaran na GX110 yake
Na bado ataomba lift, na kuanza isifia toyota, huku kamasi linamtoka akilia gharama za gari lake la ujerumani.. 😀😀Tutakutana garage, bill yangu inakuja 120,000/- na ninaondoka na gari Wajerumani wanapakishwa garage na bado bado ana subiri spare ya kuagizwa na bill ya 3.5m juu
Unakutwa wajerumani wanafungana mota 😂😂😂 wakati anaeshauri yeye kipato cha uhakika kuna wale wana kondoo wanaswagwa tu na upepo,,,Tutakutana garage, bill yangu inakuja 120,000/- na ninaondoka na gari Wajerumani wanapakishwa garage na bado bado ana subiri spare ya kuagizwa na bill ya 3.5m juu
Mimi kuna siku kama jini kisirani alinipitia,gari iliua bearing ya compressor na za fan belt zote 2,nikasogea urafiki wanapokata magari nikazipata kwa kama ya kuokota vile 🤣,bei niliyoambiwa ilala kwa bearing ya ac nusu yake nikapata bearing zote 3 pale urafiki 🤣,mjini kweli mipangoKingine unajua wabongo tuna ile kasumba sijui ulimbukeni wa kutaka kujitutumua tuonekane tunazo ila matokeo yake ni msiba 😂😂😂!!!
Hamna fedhea kama kupaki gari ati imeharibika fuel pump, unaenda kudandia mwendokasi na majirani zako 😁😁😁! Ukiangalia bei ya pump unajisemea tu wacha ikae tu kwanza ila mwenzio anaenda Ilala analokota pump na fundi wa kuja kuifunga. Kesho yuko barabaran na GX110 yake
Hayana hata bei kuzidi toyota, bei ni kama sawa tu, Audi A4 showroom haipishani sana na hiyo IST. Cha kujiuliza kwa nini watu hawayanunui sana? Na wanao zimiliki wanazimudu kwa kiasi gani?Ishu hapa ni uwezo wa kununua hayo magari mazuri, na ndio maana hata hapa wenye hayo magari ni watu wenye fedha zao.
Baadhi yetu tunafahamu hayo magari mazuri lakini tunaendesha ist kwa sababu hatuwezi kuyanunua hayo
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kweli kabisa East Africa sisi ndio tunamiliki vigari cheap, mara utasikia Nissan spare ghali kamwe huwezi kuta gari za maana km Peugeot, Renault, BMW ,Volkswagen, Audi Jeep,Toyota tundra nk tumekalia kuigana tu kila mtu ni 1st ,Wish Harrier na Rav4 ,uki cross mpk hapo Kenya wenzetu hawana ujinga km wetu mtu ananunua gari yeyote ya choice yake sio kufata mkumbo.Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
![]()
![]()
![]()
Mimi kuna siku kama jini kisirani alinipitia,gari iliua bearing ya compressor na za fan belt zote 2,nikasogea urafiki wanapokata magari nikazipata kwa kama ya kuokota vile 🤣,bei niliyoambiwa ilala kwa bearing ya ac nusu yake nikapata bearing zote pale urafiki 🤣,mjini kweli mipango