Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ngoja tukutane siku mojaHahaha, ume nikumbuka story ya faroukh karin yule itv alikuwa baharia huwa nacheka Sana...
Keep telling me mkubwa, Hata iwe ndefu vipi, huwa Nina sikio la kusikilizwa turning point za Watu.
Bila wasiwasi anapenda vitu vya kijinga km hiyo phoenix πππasante sana kwa kumbe naweza muopoa huyu dada daah ila tu asije anza niletea hadith zake za .....anaona kitu usiku
ππππ Ya kwangu iko wapi? πHapa kuna 2 za watoto moja ya wife moja ya mzee sio mtoto
Utapiga ramli nani anamiliki nini hapo View attachment 2960988
π€£π€£π€£π€£bora umetoa tahadhari mapema, hawachelewi kutuletea funguo za gavooMadereva wa STL na STK hatuwataki hapa π€£π€£
bas nimeopoa ngoja nisubirie kimasiharaππ€£π πBila wasiwasi anapenda vitu vya kijinga km hiyo phoenix πππ
Naachaje kutembea broNajua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japann.
Funguka Mkuu..!
Wewe hangaika ili watoto wako wafaidiππππ Ya kwangu iko wapi? π
Watoto wangu unao wewe πWewe hangaika ili watoto wako wafaidi
Mimi mda umeenda na nimeishagawa kwao
Au nikuandike uwe mjukuu? π π€£
Ila G Wagon ntachukua nikistaafu soon au unasemaje maana kwa 150m ya bongo ntaimudu ni Β£50,000 tu ila ya miaka 10 iliyopita kama Porsche hiyo ina 13 years
ngoja nilale zangu nisijianza vuta picha zisizoπ€π€£π€£π€£π€£ dada Joannah wahi shemeji anakusubiri akupe funguo ya mkangafu
Kwa Mungu mbona madogo sanaMiaka 28. nilipofikisha 30 vyuma vikakaza. Nikaisukuma. Hadi sasa imeshindikana tena. But inshallah, 38 haitanikuta nikiwa hivi tena. Naiwe.
Naona umeshakwapua π π π π hukawiiiππππ Ya kwangu iko wapi? π
Mimi nilipewa na baba mwaka 2007 nikiwa naenda first year udsm,21 yrsNajua humu sio kila mtu anagombania Daladala/Mwendokasi, niambie usafiri wako wa kwanza ulinunua ukiwa na umri wa miaka mingapi..?
Mimi 25 niliagiza Mkoko toka Japann.
Funguka Mkuu..!
π wana bahati sana usijali tutaongeza na wengine πWatoto wangu unao wewe π
πππ haya niandalie funguo yangu ya gari kwaajili ya clinic π€°π wana bahati sana usijali tutaongeza na wengine π
Maisha yenyewe haya
π€£π€£π€£π€£ hatarii bff mapema sana, nimechoka kero za dungadunga kwenye mwendokasiNaona umeshakwapua π π π π hukawiii
Range Rover ila inasumbua gear umeiharibu acha nikutafutie nyingineππππ Ya kwangu iko wapi? π