Gari yangu inakimbia sana!

Gari yangu inakimbia sana!

Kaka una premio old model?
Tupe hints za hyo gari kweny spare na wese...naikubali hyo chuma sanaa
Ziko aina tatu Premio F, X na G

F ina cc 1490
X ina cc 1790
G ina cc 1990.

Inategemea na matumizi yako, kama ni mtu wa masafa marefu ya mkoa kwa mkoa nunua X imetulia sana barabarani na fuel consumption yake sio kubwa sana.
Kama ni route za karibu karibu basi F inakufaa.

Kuhusu Spare ondoa shaka kabisa, spare zake nyingi zinaingiliana na baadhi ya toyota cars. Mfano Toyota Allion inaingiliana spare na premio kwa asilimia kubwa sana.

Nnayo mwaka wa tatu sasa, sina plan ya kuuza wala kupaki.
 
Ziko aina tatu Premio F, X na G

F ina cc 1490
X ina cc 1790
G ina cc 1990.

Inategemea na matumizi yako, kama ni mtu wa masafa marefu ya mkoa kwa mkoa nunua X imetulia sana barabarani na fuel consumption yake sio kubwa sana.
Kama ni route za karibu karibu basi F inakufaa.

Kuhusu Spare ondoa shaka kabisa, spare zake nyingi zinaingiliana na baadhi ya toyota cars. Mfano Toyota Allion inaingiliana spare na premio kwa asilimia kubwa sana.

Nnayo mwaka wa tatu sasa, sina plan ya kuuza wala kupaki.
unayo F au vp kuhusu consumption yake?
 
Unamiliki passo afu unatangaza hadharan!!! Kuendesha passo ni aibu kubwa mno na fedheha!!!

Passo sio gari,, passo ni bajaji yenye tairi nne,,, passo ikichoka inatapikaga na kutema piston kama mama mjamzto!!! Utashangaa ka piston kameruka kuleeee!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wengine uliwapa taarifa kuwa mnashindana?? Au ukiwapita tu tayari una assume gari lako linakimbia kuliko wao??
 
Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.

Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?

Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.

Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:

A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
  • IST zote
  • Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
  • Premio na mwenzie Allion
  • Nissan Dualis na X-trail
  • Rumion
  • RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)

B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
  • Subaru Forester (model karibu zote)
  • Ford Ranger (hii gari noma)
  • Toyota Hilux
  • Landcruiser (VX na jamii yake)
  • ALPHARD (toleo jipya)
  • Toyota Fortune
  • Discovery
  • BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
  • Toyota Crown
  • Brevis
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
  • Harrier na Vanguard
  • Range Rover
  • Subaru Impreza

Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.

Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).

View attachment 2738606
Acha hiyo tabia! Endesha kwa mwendo Kasi pale tu kunapokuwa na uhitaji huo. Kamwe usifanye hivyo kwa lengo la kushindana na wengine. Ni ushauri tu lakini.
 
Kwanza ujue unaendesha mabati tu yenye Matairi manne, ndugu mtoa Mada! [emoji23][emoji23][emoji1787]
 
passo ni bajaji iliyochangamka njoo tukimbizane hii carina Ti uone utakacho ambulia
 
Uw
Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.

Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?

Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.

Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:

A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
  • IST zote
  • Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
  • Premio na mwenzie Allion
  • Nissan Dualis na X-trail
  • Rumion
  • RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)

B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
  • Subaru Forester (model karibu zote)
  • Ford Ranger (hii gari noma)
  • Toyota Hilux
  • Landcruiser (VX na jamii yake)
  • ALPHARD (toleo jipya)
  • Toyota Fortune
  • Discovery
  • BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
  • Toyota Crown
  • Brevis
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
  • Harrier na Vanguard
  • Range Rover
  • Subaru Impreza

Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.

Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).

View attachment 2738606
uwe vizuri kwenye control la sivyo utakuwa mgeni wa mortil!
 
Back
Top Bottom