Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Naunga mkono hoja. Samia tumuombee mungu nchi isitekwe na fisadi na mabeberu. Wamerukia na kumzunguka kwa nguvu na kwa papara.
Maskini samia sio hodari na mjuzi wa hila za vibaraka. Tumuombee aweze kutufikisha 2025 salama tuweze chagua magufuli mpya.
 
Mama tupo pamoja na wewe, unafanya kazi nzuri tunaifurahia.

#Tunakupenda sana Mama yetu SSH
 
CCM siku zote w anashinda kwa state apparatus.... Hata magufuli nae hakuwa na mvuto kiasi icho kisiasa
 
Naona Mijadala ni Kati ya sukuma gang Na Urojo gang endeleeni Na mijadala isiyo Na tija. Tunataka maendeleo kila mmoja awajibike kwenye nafasi yake.
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Ccm hawatakuelewa hasa vijana wa mama KAUPIGA MWINGI, ila *TIME HEALS ALL WOUNDS * Urais sio lele mama hasa katika Taifa linalohitaji mabadiliko ya haraka kama Tz, then anakuja mtu kuhitaji Huruma ya wananchi! [emoji12][emoji2957][emoji1787] mama bwana!! uongozi ni uwezo wa 'A' ambao mama hana, afu anatuambia anaangushiwa majumba[emoji849]. 2025 ni mpango wa Allah kwa taifa hili.[emoji871][emoji1824]
 
Kama Kuna mwanasiasa makini ukanda huu wa SADC ni Samia
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Iko wazi!Haipingwi....Sheria!
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
tar 15 sept 2021 alisema "Wameanza kutuchokoza, wameanza kutuchokoza, wanaandika kwenye vigaezeti Samia hatagombea nani kawaambia sitagombea, nitagombea 2025, wanawake hoyeeeee". fadhila za MUngu zikija mikononi mwako usiziache.
Kama kama mpinzani wa Samia atatoka ccm na chama kikasema mama hakupita kwenye mchujo wa nec ya ccm na kushindanishwa na wenzio na sasa wanaruhusiwa kuanza mchakato upya labda atapata upinzani ila akivuka hiyo hatua sioni cha kumzuia asiwe rais 2025 kama mfumo ni uleule uliokuwepo ukiendelea kuwepo
 
Kwani Jpm 2020 alishinda?

Mama anaupiga mwingi

Sukuma gang make kwa kutulia.
Iv wengine hamko Tanzanian yangu nn mbona kipindi cha magu kila kitu lilikua wazi em nipe Sera moja ya upinzani kweny kampen ukiachana na risasi za risu
 
Hapa ndipo nilikuwa napasubiri .

Kwa hiyo mnamsakama sababu ya jinsia yake kuwa ni mwanamke ?

Mnakosea sana kama ni hivyo.

Hivi wewe na wale wote wenye kuathiriwa na mfumodume niwaulize;

Nchi hii tangu ipate Uhuru yapata miaka 60 sasa, Je Viongozi wakuu wa nchi walikuwa wajinsia gani?

Je walikuwa wanaume au wanawake?

Je walotufikisha hapa tukiwa hatuna maji wala umeme ni Viongozi wanaume au wanawake?

Ifahamike kuwa ukosefu wa huduma ya maji na umeme unaathiri maendeleo ya uchumi kwa kiasi kikubwa sana.

Weaknesses nyingine zimekuwa inherited toka nyuma , sasa tumpe muda afanye kazi.

Mwanzo wa ngoma lele.

Huyu kiongozi mwanamke ana miezi michache tu kumhukumu kuwa hatoshi ni kutomtendea haki.

Tumpe muda afanyekazi atumikie waTZ na wasio waTZ kwa mujibu.

Ni afadhali kumjadili na kumkosoa kama mtu/binadamu lakini mkitaka kumhukumu kwa jinsia yake haitakubalika kabisa na si haki.

Go Samia go [emoji123]

Never loose hope Samia ,

Unaweza Samia [emoji123]

Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi!

InshaAllah.

umeona kilichomtokea mbagala? imebidi chopa tatu zije kurescue: unapokua kiongozi unakua upande wa wapiga kura wako mda wote pamoja na kuwatetea, Wananchi wa ndan na nje ya nchi ambao ni raia wa tanzania wanatakiwa kupata faraja kupitia wewe kama raisi, inawezekana vp leo unafukuza watu walio na hali duni ya kiuchumi ili kupata sehem za kupigia picha kuvutuia wazungu ambao hata nchi sio yao
 
Iv wengine hamko Tanzanian yangu nn mbona kipindi cha magu kila kitu lilikua wazi em nipe Sera moja ya upinzani kweny kampen ukiachana na risasi za risu


Elimu bure jamaa aliidesa toka cdm n.k.

An average person hawezi kuubeza uwepo wa vyama pinzani kabisa kabisa hususa bungeni.

Unaona Safari hii bunge limekosa amshaamsha kabisa?!

Mashine zinakosekana!
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Mimi niliwaambia siku nyingi kuwa wanaosema samia 2030 wanachekesha kwa sababu magufuli legacy ni very very very real ,hata akimaliza hii mitano ni bahati tu maana alijitakia mwenyewe kukumbatia WAHUNI dhidi ya LEGACY ZA KIZARENDO
 
Kwani Jpm 2020 alishinda?

Mama anaupiga mwingi

Sukuma gang make kwa kutulia.
Kama hakushinda waulize wapigania chanjo kwanini chanjo zimedoda wakati makada wa chadema ni mamilioni hii inamaanisha magufuli anasikilizwa hadi sasa ,muhulize mbowe kwanini machadema yamefuata mwongozo wa jpm dhidi ya gaidi mbowe aliye sema chanjo iwe lazima
 
Daaah hadi nakuonea huruma sukuma gang!

Na mama anaenda kukata mirija yenu yote mliyojiwekea na Marehemu wenu. Polee sana

Samia ndo Rais wako hadi 2030 kama huwezi vumilia rudi kwenu tu Burundi
Fisadi unamchekelea mama kwa kuwa mmemwona ni zuzu .....lakini mkae mkijua nyinyi wahuni lazima tuwamalize tu
 
Magufuli hakuimarisha CCM bali aliiua kabisa ikabaki kutegemea vyombo vya dola. Ndio maana aliharibu chaguzi zote na ukichaa wake. Mafisadi hajawahi kuisha çcm sema wanapeana zamu. Wakati wa Magufuli mafisadi walipiga kimagufulimagufuli na sasa wanapiga kizenjzenj
Hivi unatumia kichwa kufikiri au?! CCM ya kikwete wanachama walikuwa wakizomewa kila mahali, leo wanachama hawaogopi kuvaa sare zao sehemu yeyote. JPM karudisha Mali zote za chama zilizokuwa zimechukuliwa na wajanja wachache ndani ya chama. Amekifanya Chama kujitegemea kimapato ili kuepuka kuwa omba omba kwa wafanyabiashara.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom