GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

Hilo tukio wamelitengeneza maksudi kutuamisha akili katika mauaji ya ndugu yetu mpendwa Ally Kibao. Tumeshawashtukizia.

Hata wakifanikisha mpango wao wa kumtumia mwijaku akirekodiwa anatatuliwa rinda na kunya hadharani bado tuu hatutakubali.
Tupate watu wa Geita wathibitishe maana unaweza kuta walikuwa ni wafungwa wametegeshwa ili kutuhamisha
 

Wangeuwa zaidi wawili hawatoshi
 
Kama Jambo halikuhusu kaa kimya. Unaongea kwa dharau bila kujua kilichotokea kwenye field. Usifanye dhihaka na damu za watu.
Damu za watu zipi wakati upumbavu wao umepelekea vijana kufa! Yani Mimi nibebe mtoto wangu unisuspect na utake kuniua, kwanini usinihoji kwanza!? Haya wamevamia kituo na watu wamekufa what's next?
 
hofu kila Kina kona watu hawaaminiani na polisi hawaaminiki kwa sabab ya matendo yao. Ona sasa hata mtu akimbeba mwanae anahisiwa na mtekaji au mwizi
 
Damu za watu zipi wakati upumbavu wao umepelekea vijana kufa! Yani Mimi nibebe mtoto wangu unisuspect na utake kuniua, kwanini usinihoji kwanza!? Haya wamevamia kituo na watu wamekufa what's next?
Shida ilipoanzia unajua?!!
 

Wasukuma shida Sanaa yaan Kuna muda wanakuaga too emotional

Enzi zile za MANYONYA DAMU huko usukumani walikua wakiona LAND CRUISER linapita shuleni au barabarani wanakimbia au kufuata watoto wao shuleni.

Shida Sana hao WATU wasukuma ILLITERATE ni wazito Sana KUELEWA
 
Watu 800 hawawezi kukosea
Huwajui wabongo kwa kufata mkumbo wewe.
Hata watu 10,000 wanaweza kukosea tu, wangapi wanauawa kwa kuitiwa kelele za mwizi hadi kuuawa na kumbe sio wezi??

Hii tabia ya kupigia watu kelele na kuwashutumu ni wahalifu halafu mnawaua bila uthibitisho wowote ni mbaya sana hii, wengi wasio na hatia wanauawa kwa dizaini hii.

Hao wenyewe wamethibitishwa sio wezi mmoja ni baba wa mtoto, mwingine ni mjomba wa mtoto. Labda kisa hawafahamiki mtaa huo na watoto wanafahamika tayari washaitiwa ni wezi wa watoto.

Ujinga mtupu.
 
Hii inaleta hofu kwa wageni wanaotaka kwenda huko, na mbaya zaidi ni kua mtu huwezi kujitetea wakishakuhusi na huo mtaa hufahamiki.

Utaulizwa maswali mfululizo na kutopewa nafasi ya kujibu zaidi ya kipigo tu.
 
Hii inaleta hofu kwa wageni wanaotaka kwenda huko, na mbaya zaidi ni kua mtu huwezi kujitetea wakishakuhusi na huo mtaa hufahamiki.

Utaulizwa maswali mfululizo na kutopewa nafasi ya kujibu zaidi ya kipigo tu.
Shida inaanzia hapo yaan unauwawa huku unajiona ni pakwenda na tahadhari kubwa au uwe na mwenyeji wa hapo anae fahamika otherwise unaumia kweupee
 
Kazi kweli. Inakuwaje unaona watu wamebeba watoto mnawavamia na kuanza kuwapiga. Hii mihemuko ya makundi itatupeleka pabaya.
 
Mob justice inaanza tuliyasema humu.
Mob justice ipo sana Tanzania, lakini unakuta wengi waliouawa hawana hatia , ni mihemuko tu. Mfano kwa mwaka jana zaidi ya watu 500 wameuwawa sababu hiyo (LHRC report). Watanzania hawawezi kuandamana hata bei ya mafuta au sukari au wizi wa mabilioni inayofanywa na baadhi ya watumishi wa serikali ambavyo kwa asilimia kubwa vinaathiri maisha yao na kupelekea mwananchi kuwa maskini na kuendelea kuwa wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…