rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Hawawezi kukosea nini? Wameshakosea kudhani Kila mwanaume ataeonekana na mtoto basi ni mtekaji. Wamesababisha vifo vya vijana wawili wadogo kabsa. Wasukuma wapumbavu kabisa haoWatu 800 hawawezi kukosea
Lakin baada ya kufa hao watu wawili wengine 798 wakakimbia, walichukia nini sasa kama sio matumizi mabaya ya chukiAcha akili zako za ajabu.Watauawa wote?Unawajua waru wakichukia na kuhamasishana wafanye jambo?Wewe baki nyumbani tu unachambua maharage mabovu.
Lakin baada ya kufa hao watu wawili wengine 798 wakakimbia, walichukia nini sasa kama sio matumizi mabaya ya chuki
Tupate watu wa Geita wathibitishe maana unaweza kuta walikuwa ni wafungwa wametegeshwa ili kutuhamishaHilo tukio wamelitengeneza maksudi kutuamisha akili katika mauaji ya ndugu yetu mpendwa Ally Kibao. Tumeshawashtukizia.
Hata wakifanikisha mpango wao wa kumtumia mwijaku akirekodiwa anatatuliwa rinda na kunya hadharani bado tuu hatutakubali.
Vijana wawili wamefariki dunia hii leo Septemba 11, 2024 baada ya wananchi 800 kuvamia na kufanya vurugu katika kituo cha polisi Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita vurugu zilizoanzia katika eneo la mnada wa Lulembela baada ya watu wawili kuonekana wakiwa wamebeba watoto wawili na wananchi waliokuwa katika mnada huo kuwahisi kuwa ni wezi wa watoto na kuanza kuwashambuilia, ndipo akatokea Mtendaji wa Kata akawabeba kwenye pikipiki na kuwakimbiza katika kituo cha Polisi Lulembela.
Ambapo baada ya watu hao kufikishwa katika kituo cha polisi, wananchi hao walifika katika kituo hicho na kuwataka askari polisi wawakabidhi watuhumiwa hao ili wawaue na Askari walijaribu kuwaelimisha na kuwaeleza ni kosa na si vizuri kujichukulia sheria mkononi lakini walikaidi na baada ya askari kuona hali hiyo ya kuhatarisha maisha ya watu na mali za serikali walitumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya watu hao na iliposhindikana walitumia silaha za moto kwa kupiga risasi juu ili watu hao watawanyike
"Mbali na kushambulia kituo hicho kwa mawe na kutaka kuingia kwa nguvu ndani ya kituo hicho, wananchi hao walichoma moto gari moja lenye namba za usajili T.440 ATW aina ya Toyota Cardina lililokuwa limeegeshwa nje ya kituo hicho na katika vurugu hizo watu wawili wamepoteza maisha, mmoja ni mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 18 hadi 20 na wa pili ni msichana aitwaye Teresia John mwenye umri wa miaka 18, mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela ambaye nyumba yao inatazamana na kituo hicho cha Polisi," imeeleza taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini
Aidha taarifa hiyo imeongeza kuwa, "Hata hivyo, ilibainika kuwa watu waliokuwa wamebeba watoto hao ni Emanuel John (33) mkazi wa Kigamboni Lulembela ambaye alikuwa amembeba mtoto wake aitwaye Ikram Emanuel mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi na moja na wa pili anaitwa Ng'amba Leonard (24) ambaye alikuwa amembeba mtoto aitwaye John Emanuel mwenye umri wa miaka miwili na miezi nane, Mama wa watoto hao aitwaye Rachel Luhende (22) amethibitisha kuwa watoto hao ni wakwake na walikuwa kwa wifi yake ambapo baba yao mzazi na mjomba wao walikwenda kuwachukua,".
#EastAfricaRadio
View attachment 3093573
Mkuu inahusianeje?Ukombozi wa Nchi hii utatoka Kanda ya Ziwa. Hizi ni salaam kuelekea uchaguzi mkuu 2025 hawataogopa Cha police Wala mabomu
Damu za watu zipi wakati upumbavu wao umepelekea vijana kufa! Yani Mimi nibebe mtoto wangu unisuspect na utake kuniua, kwanini usinihoji kwanza!? Haya wamevamia kituo na watu wamekufa what's next?Kama Jambo halikuhusu kaa kimya. Unaongea kwa dharau bila kujua kilichotokea kwenye field. Usifanye dhihaka na damu za watu.
Kwa hiyo unategemea kila siku watakimbia?Jidandanye ulale porini.Lakin baada ya kufa hao watu wawili wengine 798 wakakimbia, walichukia nini sasa kama sio matumizi mabaya ya chuki
We mshangazi kuna msiba unacheka,!Kokorikooooo ..!
Shida ilipoanzia unajua?!!Damu za watu zipi wakati upumbavu wao umepelekea vijana kufa! Yani Mimi nibebe mtoto wangu unisuspect na utake kuniua, kwanini usinihoji kwanza!? Haya wamevamia kituo na watu wamekufa what's next?
Vijana wawili wamefariki dunia hii leo Septemba 11, 2024 baada ya wananchi 800 kuvamia na kufanya vurugu katika kituo cha polisi Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita vurugu zilizoanzia katika eneo la mnada wa Lulembela baada ya watu wawili kuonekana wakiwa wamebeba watoto wawili na wananchi waliokuwa katika mnada huo kuwahisi kuwa ni wezi wa watoto na kuanza kuwashambuilia, ndipo akatokea Mtendaji wa Kata akawabeba kwenye pikipiki na kuwakimbiza katika kituo cha Polisi Lulembela.
Ambapo baada ya watu hao kufikishwa katika kituo cha polisi, wananchi hao walifika katika kituo hicho na kuwataka askari polisi wawakabidhi watuhumiwa hao ili wawaue na Askari walijaribu kuwaelimisha na kuwaeleza ni kosa na si vizuri kujichukulia sheria mkononi lakini walikaidi na baada ya askari kuona hali hiyo ya kuhatarisha maisha ya watu na mali za serikali walitumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya watu hao na iliposhindikana walitumia silaha za moto kwa kupiga risasi juu ili watu hao watawanyike
"Mbali na kushambulia kituo hicho kwa mawe na kutaka kuingia kwa nguvu ndani ya kituo hicho, wananchi hao walichoma moto gari moja lenye namba za usajili T.440 ATW aina ya Toyota Cardina lililokuwa limeegeshwa nje ya kituo hicho na katika vurugu hizo watu wawili wamepoteza maisha, mmoja ni mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 18 hadi 20 na wa pili ni msichana aitwaye Teresia John mwenye umri wa miaka 18, mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela ambaye nyumba yao inatazamana na kituo hicho cha Polisi," imeeleza taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini
Aidha taarifa hiyo imeongeza kuwa, "Hata hivyo, ilibainika kuwa watu waliokuwa wamebeba watoto hao ni Emanuel John (33) mkazi wa Kigamboni Lulembela ambaye alikuwa amembeba mtoto wake aitwaye Ikram Emanuel mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi na moja na wa pili anaitwa Ng'amba Leonard (24) ambaye alikuwa amembeba mtoto aitwaye John Emanuel mwenye umri wa miaka miwili na miezi nane, Mama wa watoto hao aitwaye Rachel Luhende (22) amethibitisha kuwa watoto hao ni wakwake na walikuwa kwa wifi yake ambapo baba yao mzazi na mjomba wao walikwenda kuwachukua,".
#EastAfricaRadio
View attachment 3093573
Shida ilipoanzia haifanyi wewe upate uhalali wa kuua mtuShida ilipoanzia unajua?!!
Huwajui wabongo kwa kufata mkumbo wewe.Watu 800 hawawezi kukosea
Ni ngumu zaidi watu 800 kusema uongo labda Kama wali be MANIPULATEDKwann? Una uhakika Gani watu 800 wote waseme uongo?
Hii inaleta hofu kwa wageni wanaotaka kwenda huko, na mbaya zaidi ni kua mtu huwezi kujitetea wakishakuhusi na huo mtaa hufahamiki.Wasukuma shida Sanaa yaan Kuna muda wanakuaga too emotional
Enzi zile za MANYONYA DAMU huko usukumani walikua wakiona LAND CRUISER linapita shuleni au barabarani wanakimbia au kufuata watoto wao shuleni.
Shida Sana hao WATU wasukuma ILLITERATE ni wazito Sana KUELEWA
Shida inaanzia hapo yaan unauwawa huku unajiona ni pakwenda na tahadhari kubwa au uwe na mwenyeji wa hapo anae fahamika otherwise unaumia kweupeeHii inaleta hofu kwa wageni wanaotaka kwenda huko, na mbaya zaidi ni kua mtu huwezi kujitetea wakishakuhusi na huo mtaa hufahamiki.
Utaulizwa maswali mfululizo na kutopewa nafasi ya kujibu zaidi ya kipigo tu.
Unajua maamuzi ya mihemuko ya kundi ambalo uelewa wao ni mdogo?Hapa Kuna maswali mengi kuliko majibu!! Watu 800+ wasingizie watu wawili kweli?
Mob justice ipo sana Tanzania, lakini unakuta wengi waliouawa hawana hatia , ni mihemuko tu. Mfano kwa mwaka jana zaidi ya watu 500 wameuwawa sababu hiyo (LHRC report). Watanzania hawawezi kuandamana hata bei ya mafuta au sukari au wizi wa mabilioni inayofanywa na baadhi ya watumishi wa serikali ambavyo kwa asilimia kubwa vinaathiri maisha yao na kupelekea mwananchi kuwa maskini na kuendelea kuwa wajinga.Mob justice inaanza tuliyasema humu.