Hapana! Siku hii report inasomwa! Ndiyo siku Magu alisema kwamba watu wasaliti kwa taifa, dawa yao ni kuwapa kipigo! Mchana Lissu akala shabaIla mkuu Kama sikosei hii report ikikabidhiwa na na lisu alikula chuma ila sababu ya huyu bwana kujitoa ilikuwa ndo hilo ulilolieleza hapo mkuu
Kaka Unasema umetembelea wilaya zote hakuna Jimbo masikini kama Jimbo la kibakwe. Nakuomba ukipata muda tembelea na wilaya zilizoko mkoa wa kigoma,tabora,Katavi halafu njoo tena na hoja yako kuwa kibakwe ni Jimbo masikini zaid ya mengine.Anawasaidia kina nani? Wataje baadhi tu hapa na nikwambie kitu kimoja tu kuwa hujui kitu Jimbo lake lina umasikini mkubwa sana hana msaada wowote barabara hakuna ni jambo la kumshukuru sana huyu Diwani wa Kata ya Galigali ambaye naona kambana kupeleka TARURA kidogo caravats zinatengenezwa barabara za kinusi,Matonya, Galigali maana Vijiji hivi vina utajiri mkubwa sana wa vyakula, madini, uoto wa asili, maporomoko yenye kuvutia utalii wa ndani na nje. Wewe utakuwa chawa ndo maana unatetea upuuzi jimbo la Kibakwa ni moja ya majimbo yenye umaskini mkubwa Nchini kutokana na kutokuwa na miundo mbinu yenye kuridhisha tunaishi Mikoa ya watu nimetembea Wilaya za Nchi nzima hakuna jimbo lipo nyuma kama Kibabwe sasa tafuta lako alafu njoo nalo hapa tujadili.
Simbachawene amejiuzulu lini? Humu Kuna majuha mengi sanaUnakumbuka sekeseke lalisu kula chuma nae alijiuzulu
Ila kwa sasa mnataka maafisa bodaboda si ndiyo?Hongera kama ametokea huko
Kipindi cha awamu ya tano kuna waziri hata mmoja aliye jiuzulu?Alijiuzulu kuwajibika?
Kama alijiuzulu ana akarudishwa tena Barazani naamani ana wasifu mkubwa
Majimbo ya Lindi ni masikini mno!Kaka Unasema umetembelea wilaya zote hakuna Jimbo masikini kama Jimbo la kibakwe. Nakuomba ukipata muda tembelea na wilaya zilizoko mkoa wa kigoma,tabora,Katavi halafu njoo tena na hoja yako kuwa kibakwe ni Jimbo masikini zaid ya mengine.
Mkuu upo dunia ya wapi?? Juha ni wewe ambaye unabishana na ukweli!Simbachawene amejiuzulu lini? Humu Kuna majuha mengi sana
Mmeanza nongwa zenu wabongoHuyo ni top kachero
Ukifika Tandahimba,Nanyamba mbona unaweza kughairi,,,,kuna namtumboMajimbo ya Lindi ni masikini mno!
Mhagama hawezi kutoka ktk baraza.Kama kudumu kwenye baraza...visiki na vigogo ni Mkuchika na Mhagama
mmeanza majungu.Ndio kwenye mabasi ya dodoma to kondoa na dodoma to moro
Ipo siku yake tu.Mhagama hawezi kutoka ktk baraza.
Ni ushuhuda mzuri sio majungu.mmeanza majungu.
Labda asiwe mbunge, akiwa bungeni lazima awe waziriIpo siku yake tu.
Japo ulisema amewaweza wapiga kura lkn ipo siku yake
pigia mstari wa kijani tenaHuyo ni top kachero
Pole mkuu, unatukana watu bila utafiti.Simbachawene amejiuzulu lini? Humu Kuna majuha mengi sana
Kila kitu kina mwisho eti coca.Labda asiwe mbunge, akiwa bungeni lazima awe waziri
Hiyo ni tabia ya wanasiasa wote duniani,siasa ni utapeli na umafia.ukitaka ustaarabu ungana na mapadri,qachungaji na mashehe.Tapeli uyo mkubwa,ukifanya naye jambo lazima akuache beach.
Hawa watu wakiwa wanaongea utadhani ni wazalendo lakini kiundani ukijua mambo yao hawana tofauti na Dude yule wa Bongo Dasalamu