Anawasaidia kina nani? Wataje baadhi tu hapa na nikwambie kitu kimoja tu kuwa hujui kitu Jimbo lake lina umasikini mkubwa sana hana msaada wowote barabara hakuna ni jambo la kumshukuru sana huyu Diwani wa Kata ya Galigali ambaye naona kambana kupeleka TARURA kidogo caravats zinatengenezwa barabara za kinusi,Matonya, Galigali maana Vijiji hivi vina utajiri mkubwa sana wa vyakula, madini, uoto wa asili, maporomoko yenye kuvutia utalii wa ndani na nje. Wewe utakuwa chawa ndo maana unatetea upuuzi jimbo la Kibakwa ni moja ya majimbo yenye umaskini mkubwa Nchini kutokana na kutokuwa na miundo mbinu yenye kuridhisha tunaishi Mikoa ya watu nimetembea Wilaya za Nchi nzima hakuna jimbo lipo nyuma kama Kibabwe sasa tafuta lako alafu njoo nalo hapa tujadili.