George Simbachawene ni nani hasa?

George Simbachawene ni nani hasa?

Anawasaidia kina nani? Wataje baadhi tu hapa na nikwambie kitu kimoja tu kuwa hujui kitu Jimbo lake lina umasikini mkubwa sana hana msaada wowote barabara hakuna ni jambo la kumshukuru sana huyu Diwani wa Kata ya Galigali ambaye naona kambana kupeleka TARURA kidogo caravats zinatengenezwa barabara za kinusi,Matonya, Galigali maana Vijiji hivi vina utajiri mkubwa sana wa vyakula, madini, uoto wa asili, maporomoko yenye kuvutia utalii wa ndani na nje. Wewe utakuwa chawa ndo maana unatetea upuuzi jimbo la Kibakwa ni moja ya majimbo yenye umaskini mkubwa Nchini kutokana na kutokuwa na miundo mbinu yenye kuridhisha tunaishi Mikoa ya watu nimetembea Wilaya za Nchi nzima hakuna jimbo lipo nyuma kama Kibabwe sasa tafuta lako alafu njoo nalo hapa tujadili.
Kaka Unasema umetembelea wilaya zote hakuna Jimbo masikini kama Jimbo la kibakwe. Nakuomba ukipata muda tembelea na wilaya zilizoko mkoa wa kigoma,tabora,Katavi halafu njoo tena na hoja yako kuwa kibakwe ni Jimbo masikini zaid ya mengine.
 
Tapeli uyo mkubwa,ukifanya naye jambo lazima akuache beach.

Hawa watu wakiwa wanaongea utadhani ni wazalendo lakini kiundani ukijua mambo yao hawana tofauti na Dude yule wa Bongo Dasalamu
Hiyo ni tabia ya wanasiasa wote duniani,siasa ni utapeli na umafia.ukitaka ustaarabu ungana na mapadri,qachungaji na mashehe.
 
Back
Top Bottom