George Simbachawene ni nani hasa?

George Simbachawene ni nani hasa?

NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri

View attachment 2551539

Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu

Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.

Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Mshamtibulia mtu mbio zake za sakafuni
punguzeni ufuku fuku maana mnatukosesha namba moja ajaye
😂
 
NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri

View attachment 2551539

Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu

Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.

Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Awamu ya JK alikuwa waziri wa Nini?
 
NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri

View attachment 2551539

Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu

Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.

Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Uwaziri hugawiwa kwa Kanda na makabila,Dodoma hawana mtu baada ya mzee malecela,so huyo anapetiwapetiwa
 
Kama sikosei Nishati, utanisahihisha
Huyo jamaa hakuwahi kuwa waziri wakati wa JK.
Uwaziri wake aliuanzia Kwa JPM akiwa nishati na alidumu Kwa miezi 10 tu kwenye hiyo wizara, akatumbuliwa baada ya mwezi akaenda akawa waziri ofisi ya raisi.

Kwa kifupi hakuna wizara huyu jamaa amekaa zaidi ya miaka 2. Labda awamu hii
 
Huyo jamaa hakuwahi kuwa waziri wakati wa JK.
Uwaziri wake aliuanzia Kwa JPM akiwa nishati na alidumu Kwa miezi 10 tu kwenye hiyo wizara, akatumbuliwa baada ya mwezi akaenda akawa waziri ofisi ya raisi.

Kwa kifupi hakuna wizara huyu jamaa amekaa zaidi ya miaka 2. Labda awamu hii
Alikua waziri wakati wa jakaya,nakumbuka jiwe akimnyooshea kidole wakati wa kampeni
 
Back
Top Bottom