Gerald Hando amuuliza Januari, Dkt. Kalemani aliweza vipi umeme haukukatika?

Alikuwa hajalewa pombe? Maana huwa analewa mpaka analala kwenye meza za baa, wakati mwingine anabebwa mzegamzega kupelekwa nyumbani hajitambui
Duh kumbe huyu ngiri ni chapii hivyo basi watakua wanamtafuna kama analewa hadi anazima
 
"It no longer matters what is true or false – what matters is who controls the discourse" - Yaun Peng

Welcome to 1984, Orwellian Ministry of Truth.
 
Hando hivi ni Nani haswaaa??!
 
Hakukuwa na mgao kipindi cha Magu kila mtu anajua huu ukweli kasoro wewe tu. Ila umeme kukatika kama nilivyosema awali ulikuwa unakatika.

Elewa nilichoongea...kila mwaka kuna mgao kipindi cha ukame...wakati wa Magu walikuwa hawatangazi mgao...wanatangaza kuna matengenezo...elewa hiko nilicho ongea ...na mgao haukuwa mkali kama wa mwaka huu...so unaweza sema wakati wa Magu hakukutangazwa mgao...lakini usiseme haukuwepo ulikuwepo...zipo hata threads humu watu wanauliza kuna mgao WA kiimya kimyaa wakati wa Magu...labda Chige akupe link
 
Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...

Kwani kitu wanachohoji ni cha kweli au wanamsingizia?
 
Tutajie wafanyabiashara 5 tu na biashara zao mahali zilipo na TIN no zao ambao wamefilisika ?

Huo uwongo na kutunga mambo ya hovyo vinawasaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…