Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

Kwa hiyo Mbowe muda wote amekuwa Rais sawa na hao uliowataja? Mandera alikaa jela na aliendelea kuwa kiongozi wa ANC, Nyerere aliongoza Taa na ikabadilika kuwa Tanu na bàadaye ccm huko hamshangai. Ccm ipo madarakani miaka 60 Toka uhuru linganisha na Singapore iliyopata uhuru 1965 mahali ilipo leo na wewe kikongwe. Unajiskia kumchoka Mbowe kuwa kiongozi wa Chadema ila unainjoi kukaa na ccm!!
Rais Samia amesema ataanza kusikiliza kero za mtu mmoja mmoja, mnashangilia, badala ya kushangaa kurudi nyuma miaka ya 1985 ambacho ndicho alichoanza Mzee Ruksa mpaka Nyerere, akamshtua nchi haiendeshwi hivyo.
Kwenye wasafi mtu akiongea angalau unaona logic ni Oscar tu, wengine labda muongelee mpira.
 
Huyu ni mamluki wa ccm na hana nafasi CDM. Mbowe ndio kwanza CDM inazaliwa sasa na anahitajika kwa angalau miaka 10 ijayo.
 
Chama cha familia hicho🤣🤣🤣
 
Upo nje ya mada
 
Mbowe ana mapigo ya Mobutu sese seko kuku Ngbendu Wa za Banga

Kama tu kuachia kiti cha chama hataki siku akishika nchi si ndo imetoka hiyo
Huyu siku akiwa Rais tusahau hatoki hadi afe
 
Mimi naona wewe ndio una tatizo
Maana yeye kaongea ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…