Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Umetia

Inshort hakuna sehemu kwny uislam unasema

unasema tabaka fulani au mtu asisilimu kutokana sifa yake mbaya..mfano kipindi cha Mtume Muhammad (S.AW)..kuna watu walisimu wakiwa walifanyia unyama mauji makubwa waislam..mfano Omar bin khatab (R.A.)..qmbaye baadaye alikuja kuwa khalifa wa pili katika uislamu alikua katili kweli kweli kwa waislam ...jambo jema unaposilimu dhambi zako zote unasamehewa..kwa mfano Tank hapo atokee shekhe aseme haiwezekani awe muislam sababu ana Tattoo kwa kigezo kipi?..hakuna au Tyson sio muislam kwa vitendo vyake kwa kigezo kipi hata huyo shoga...mnachoshndwa kuelewa wagalatia sie waislam tunaamini siku ya mwsh Akhera..Allah ndo mwny kuhukumu..asa sahv waislam tuwe na taharuki na Tyson kwa kipi?...ukitaka waislam wawe na taharuki utoe matamko ya kiimani tofauti hapo hakuna ataye kaa kimya..tofauti na daily...mnaoteshwa kuongea na Yesu matamko ya kiimani hayaishi...Juzi tuu hapa Manabii kutoka Marekani wamesema wanaona status za Yesu...how come namna hii kutoa matamshi ya imani?..na hii ndo tofauti yenu na yetu.
Mimi sio mkristo we nipe hoja tu mitakuelewa.

Nimeelewa hona yako kuwa Uislamu haumzuii muovu kuwa muisilamu.

Hilo nakubaliana na wewe

Hoja ambayo tunashindwa kukubaliana ni baada ya huyo muovu kujiunga na uislamu na kuendelea kuyafanya hayo maovu.

Mtu aliyekuwa akila nguruwe akisilimu kuja kwenye Uislamu halafu baadae akaendelea kula nguruwe, ataendelea kuhesabika kuwa ni muislamu?

Je itakuwa ni pride kujivunia kuwa na mtu huyo kwenye Uislamu?
 
Dini zote zinafanya kazi sambamba na zote ni za uongo tu hakuna ukweli wowote ni upigaji tu
 
View attachment 2852055

Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"

Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.

Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.

Pongezi nyingi kwake zimfikie.

Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.

Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.

Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.

Video hii hapa akitamka shahada.

View attachment 2852053
Kawaida tu hiyo....hakuna jipya hapo
 
Dini zote zinafanya kazi sambamba na zote ni za uongo tu hakuna ukweli wowote ni upigaji tu
 
Kitu kikiwa kwny vyombo vya habari sio siri tena..kama humu naona mnashndw kutofautisha misingi ya dini na sheria za nchi..mfano hapo Zanzibar tuu mwezi mtukufu migahawa inafungwa yote ni amri ya nchi lkn sio dini..mfano muislam akisilimu mana'ke umeritadi..mana'ke umemkataa mtume na mwenyezimungu hivo hukumu yako kwnz ni motoni..na huwezi kurudi ktk uislam hata hapo baadaye
Ficha ujinga wako. Amri ya nchi wapi. Kwanini waislamu wengi mnakuaga wajinga? Nile mimi uharibu swaumu wewe?
 
Hakuna kitu kizito hapo weeh ukristo unakurusu uchore tattoo...nakusisitiza ukitaka kuukera uislam weeh njoo na matamko ya ajabu kama wale manabii wenu waliotoka Marekani wanasema wanaona status za Yesu daily...uislam hautaki ujinga huo..na wala uislam haudili na maisha binafsi ya mtu
Unajisifia ujinga. Maimamu mashoga wamejaa tele. Mmewafanya nini.?
 
Yanii hata imam akiwa shoga hakuna sehemu ambayo hata dini yako inaruhusu ushoga..ndo mana'ke kelele ni nyng cha msingi imani ya dini inakutaka uishi na uiamini vipi..sasa huo ushoga ni imani au mtindo wa maisha?
 
Mimi sio mkristo we nipe hoja tu mitakuelewa.

Nimeelewa hona yako kuwa Uislamu haumzuii muovu kuwa muisilamu.

Hilo nakubaliana na wewe

Hoja ambayo tunashindwa kukubaliana ni baada ya huyo muovu kujiunga na uislamu na kuendelea kuyafanya hayo maovu.

Mtu aliyekuwa akila nguruwe akisilimu kuja kwenye Uislamu halafu baadae akaendelea kula nguruwe, ataendelea kuhesabika kuwa ni muislamu?

Je itakuwa ni pride kujivunia kuwa na mtu huyo kwenye Uislamu?
Ataendelea kuwa muislam ndugu yangu sababu ameshathibitisha kumuamini Allah na mtume wake. Sasa kawa muislam lkn matendo yake ni yale yale tunayaona hata humu mitaani..sasa hapo uislam ndo unapojimbambanua kwmb waja wote ni Allah yeye ndo atakaye kuhumu..na tutakuzika kwa taratibu zote. Nakusisitiza jaribu kutofautisha imani ya dini na mtindo wa maisha ya mtu..mfano Mwamaleki ..hajui hoja zake zipo kwny misingi ipi?mtindo wa maisha au imani ya dini...
 
Hapo ndo wagalatia wanaposhndwa kutofautisha kiimani kiitikadi kisiasa ipo tofauti kubwa kati ya Iran na Saudi..kwnz muiran ni Muhindi sio mwarabu..Mfano juzi

Hakuna nchi iliyozuiliwa kuweka sheria kifo kutegemea na madhumuni yake..hakuna nchi inayoingiliwa mfano China Fisadi hukumu yake kifo..ila Saudia hakuna nchi zingine ukikamatwa na madawa kifo..Tanzania wenyewe sheria ya kifo ipo ingawa haitekelezwi..hivo Saudia imewawekea wana nchi wake sheria kifo ukibadili dini...sasa tuje kwny misingi ya dini ya kiislam ndo inavyotaka ivoo?..lah hasha..utakua umeelewa kutofautisha imani ya dini na sheria za nchi
Kwahiyo wew huamini mafundisho ya Mtume Muhammad? Kuna verses nyingi kwenye hadith tofauti especially in Sahih Al Bulhari inayosema Apostles wauawe mtu akitoka kwenye uislam kwenda kweny dini nyingine adhabu ni kifo. Hizi sheria hazitungwi tu ni Sheria ambazo ziko katika mafundisho ya dini kaka
 
Nampa pongezi nyingi kujiunga na dini ya Watu na Majini.
Sio mbaya akipata Kajini kamoja kamfumdishe Aya za Qurani.

Jami` at-Tirmidhi 18

Abdullah bin Mas'ud narrated that :

Allah's Messenger said: "Do not perform Istinja, with dung, nor with bones. For indeed it is provisions for your brothers among the Jinn."
 
View attachment 2852055

Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"

Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.

Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.

Pongezi nyingi kwake zimfikie.

Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.

Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.

Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.

Video hii hapa akitamka shahada.

View attachment 2852053
Safi sana
 
Boxer mwengine huyu anasilimu na wenzake:

All praises belong to Allaah! Professional heavyweight boxer, JARRELL MILLER, has embraced Al-Islam along with his cousin & his trainer. May Allaah guide them and make them firm upon this religion.
View attachment 2852064
Waislamu dini sio ligi .kitu chochote kibaya huwa ukijiunga nacho members wanakuwa na kelele sana .mfano mtu akiamua kuwa mlevi habari zitasambaa sana ila akiamua akasome masters hutasikia ikisambaa.
 
Ataendelea kuwa muislam ndugu yangu sababu ameshathibitisha kumuamini Allah na mtume wake. Sasa kawa muislam lkn matendo yake ni yale yale tunayaona hata humu mitaani..sasa hapo uislam ndo unapojimbambanua kwmb waja wote ni Allah yeye ndo atakaye kuhumu..na tutakuzika kwa taratibu zote. Nakusisitiza jaribu kutofautisha imani ya dini na mtindo wa maisha ya mtu..mfano Mwamaleki ..hajui hoja zake zipo kwny misingi ipi?mtindo wa maisha au imani ya dini...
Mbona kama sijakuelewa?

Dini sio mtindo wa maisha?.... Kivipi?

Kwani yale makatazo ya dini kuhusu haram huoni kuwa yanagusa life style ya mtu?

Kwamba dini imekataza vitu Haram lakini haijakataza tabia za mitindo ya maisha ya waumini wao.

Kwamba muumini amekatazwa asile nguruwe, lakini ikitokea muumini huyo anakula nguruwe basi haitohesabika kuwa ni kosa ikiwa tu itabainika ni sehemu ya mtindo wake wa maisha?

Sijui ndio hivyo ulivyomaanisha??
 
Back
Top Bottom