Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Mkuu yaonesha umeguswa vilivyo. Siyo kwa makasiriko haya!

Matusi ya nini kama kweli una hoja?

Bei ni kubwa kwa misingi hii hapa:

"Wasiwasi wetu ni kuwa bei zinazotozwa ni kubwa mno kwa watu au mfuko wowote wa bima kutokufilisika."

Mfano gharama ya MRI kwanini kuwa zaidi ya 350,00/- wakati kimsingi hakuna consumables zozote tuseme zinakuwa zimetumika?

Anayebweka bweka haitakuwa ni wewe ndugu?

Tunasema utaratibu huu wa bei kwa kuchukua "a fraction of a replica" kutokea "private hospitals" siyo sahihi. Hii haijalishi aliyeridhia hayo ni nani.

Zingatia:

1. Tunaolipa ni sisi na mifuko hii ni yetu, hatutaki tufilisike!

2. Tumepewa bei za huduma. Haturidhiki nazo. Tunahitaji kujua kipengele kwa kipengele ndani ya huduma hizo, kujua gharama halisi ili nasi kama wateja tujiridhishe na bei za huduma.

3. Mchango wa umma kwenye hospitali za umma.

Matatu haya kwa nini kukukera wewe hivyo?

Hatuna tatizo na wahudumu wa afya. Tunajua wao ni wahanga tu kama sisi, ila (bila shaka) ninyi kwenye ule mhimili uliojichimbia zaidi matatizo yetu hayahuwasu.

Tangu lini mwenye shibe akawajua wenye njaa?
Una miaka mingapi binti?
 
Juzi mwanangu ana bima NHIF lkn nikaambiwa nitoe 250000 kwa ajir ya ctscan aisee kidogo nizimie lkn shukran kwa wanandugu walisapot sana within a minute ilipatikana [emoji1545]
Kwanini bima haikulipa CTScan?
 
Una miaka mingapi binti?
FpKL8ABWcAANyqU.jpeg
 
Bima ilikwisha muda nikampeleka Mzazi hapo Hospital ya Rufaa Mbeya aisee kuandiaka andika tuu na Dr bado hatujamuona zilitoka Bill utadhani tupo India...nikasema sawa sawa..hao jamaa wanachaji aisee...
 
Bima ilikwisha muda nikampeleka Mzazi hapo Hospital ya Rufaa Mbeya aisee kuandiaka andika tuu na Dr bado hatujamuona zilitoka Bill utadhani tupo India...nikasema sawa sawa..hao jamaa wanachaji aisee...

Ndivyo wanavyoichaji mifuko ya bima na hapo bado wanavyo bambikiwa bima. Mifuko ya bima itaacha kufilisika?

Kumbuka ni hospitali za umma. Gharama za malipo hayo ni kwa vigezo gani?
 
Ndivyo wanavyoichaji mifuko ya bima na hapo bado wanavyo bambikiwa bima. Mifuko ya bima itaacha kufilisika?

Kumbuka ni hospitali za umma. Gharama za malipo hayo ni kwa vigezo gani?
Hata sielewi Mkuu hizi sio Hospital za Umma kama watu wanavyoaminishwa...
 
Hata sielewi Mkuu hizi sio Hospital za Umma kama watu wanavyoaminishwa...

Inataka kujitoa ufahamu kwanza kupata ujasiri wa kutetea uhalali wa bei hizi.

Hili si jambo la kuachia hewani.

Kupitia matibabu Pana wajanja wamejipanga kuwafukarisha watu na kujineemesha wao kupitia hospitali za umma.

Bima ni kama conduit kwenye kufanikisha hilo.

"Muhimu kwao ni pesa."

The end justifies the means.
 
Inataka kujitoa ufahamu kwanza kupata ujasiri wa kutetea uhalali wa bei hizi.

Hili si jambo la kuachia hewani.

Kupitia matibabu Pana wajanja wamejipanga kuwafukarisha watu na kujineemesha wao kupitia hospitali za umma.

Bima ni kama conduit kwenye kufanikisha hilo.

"Muhimu kwao ni pesa."

The end justifies the means.
Ukija kwenye bei ya hizo dawa utadhani nazo zina Kodi au kikokoteo kama cha magari huwa nashangaa tofauti kubwa ya bei...pana mwaka mmoja mjomba angu alikua na maradhi ya Moyo daah hapo Bongo ilikua kama mrija wa kujipatia pesa sijui kipimo mara Aga Khan mara dozi ya mwezi mmoja karibu laki nane nilipowasiliana na madaktari huko Cape Town Groot Skill hospital walisema mlete aje na passport yake muhuri uwe valid tuu atatibiwa bure kweli alivyofika nilidhani ni ishu ya muda mrefu alikaa hospital siku tatu walimpa dawa na gharama zote buree kabisa mpaka kesho karudi kwenye kazi zake ngumu wakati Tanzania walisema asifanye kazi ngumu na atakua anapewa dozi kila mwezi...Matibabu Tanzania ni ghari sana sana
 
Ukija kwenye bei ya hizo dawa utadhani nazo zina Kodi au kikokoteo kama cha magari huwa nashangaa tofauti kubwa ya bei...pana mwaka mmoja mjomba angu alikua na maradhi ya Moyo daah hapo Bongo ilikua kama mrija wa kujipatia pesa sijui kipimo mara Aga Khan mara dozi ya mwezi mmoja karibu laki nane nilipowasiliana na madaktari huko Cape Town Groot Skill hospital walisema mlete aje na passport yake muhuri uwe valid tuu atatibiwa bure kweli alivyofika nilidhani ni ishu ya muda mrefu alikaa hospital siku tatu walimpa dawa na gharama zote buree kabisa mpaka kesho karudi kwenye kazi zake ngumu wakati Tanzania walisema asifanye kazi ngumu na atakua anapewa dozi kila mwezi...Matibabu Tanzania ni ghari sana sana

Angalia huyu:

Screenshot_20230215-122803.jpg


Kwenye hospitali kama hiyo uwezakano wa kupona ulikuwa mkubwa na bei isingefika huko.

Kuuvaa ujasiri wa kuwakomalia watu hawa si jitihada mfu.
 
Angalia huyu:

View attachment 2521351

Kwenye hospitali kama hiyo uwezakano wa kupona ulikuwa mkubwa na bei isingefika huko.

Kuuvaa ujasiri wa kuwakomalia watu hawa si jitihada mfu.
Nchi ina watu wenye laana hii unawezaje kuwadai wananchi wako kwa kukaa na mwili faida ya wao kuwa Watanzania ni nini wakati wao wabatibiwa Nje kwa kodi zetu...inakera sana kwa kweli..
 
Hospitali za umma investment cost 100% kutoka kwa umma. Mishahara ya wafanyakazi ni 100% kutoka kwa umma. Zinapata pia allocation ya operation costs kutokea kwa umma.

Kwa Nini bei hIzi?

Angalia hata ufanisi wao:

"Kwenye hospitali kubwa hizi kama Muhimbili siyo tiba kupona, bali ka transition to death huku wakiifilisi mifuko ya bima au familia inayolipa."

Ukiiona ankara, terminologies na jargons kibao na za kubambikiana humo humo.

Nani ataweza kuwa na ujasiri wa kufanya verifications hizo ndani ya changamoto za kuuguliwa au kufiwa?
 
Back
Top Bottom