MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
-
- #81
Sio kweli, Chukwani na Mbweni kumejengeka na kupangiliwa angalauNickweli sehemu nyingi Zanzibar papo hovyo hakuna mipango miji yani ukichukua Kijitonyama na Sinza ndiyo Masaki ya Zanzibar, Zanzibar mitaa yao imejengeka kana ilivyo Magomeni, Manzese Mburahati, Vingunguti, kigogo, keko, Sema wao uswahilini
kwao hakuna watu wengi kumetulia lakini kupo hovyo.
Hotelini hakuna kujinafasi kama kwenye Villa mkuuNjoo Nungwi/Kendwa brother, $50 unapata hotel yenye pool, terrace, king size bed plus breakfast.
Unaruhusiwa ila kama pesa zako za mawazo jiandae kuzimia baada ya kutajiwa bei ya kiwanjaNataka kwenda kujenga lodge ya kawaida self contained safi sana kule Zanzibar. Je nitaruhusiwa?.
Kwa kijana anaejitafuta na asie na tamaa namshauri aje Zanzibar, Pesa zipo nje njeFursa hizo sasa vijana pelekeni matunda, mbogamboga na hata mifugo
Yaani fursa nje nje mnasema ndizi buku 2
Kweli kabisa ila vijana wengi wana bet tu mikeka ndio wanadhani itawatoaKwa kijana anaejitafuta na asie na tamaa namshauri aje Zanzibar, Pesa zipo nje nje
First time nimekuja uku nilianzia 6 degrees pale Stone town savannah moja 5$, kilimanjaro kubwa 3$ , baked pork chops with potatoes (kitimoto)30$ nilitamani kurudi Bongo kesho yakeπ ilibidi nihame locationMishikaki ya pweza elfu 8 pale forodhaniπππ.nilinunua sababu nilipiga hela za freemason. Ila ingekuwa hela zangu nisingenunua
Acha ujinga.Hao ndugu zao wanaowatumia hivyo vitu sio waislamu?Mbona wanafanyakazi na kuwasaidia ndugu zao.Wanadai ni mji wa kitalii!
Kuna jamaa alinidokeza kuwa wenye ndugu majuu huwa wanawatumia ndugu zao mchele, mafuta ya kupikia, sukari, beans, nyanya za kopo nk nk !
Nilishangaa mno! Je wenyeji wavivu? Au ndio uislamu imewadhoofisha wasilime, kufanya kazi au ?!
Very embarrassing aiseee....
Na hili litakimbiza watalii wengi sana.na sasa hivi wametambulisha ujinga wa kulipa dola 44 kama inbound insurance kwa kila kichwa kimoja cha mtalii. wanasiasa hopeless..in long run utalii utajifia hapo zanzibar kutokana na upumbavu wa serikali na gharama zisizoendana na ubora/uhalisia ukilinganisha na sehemu zingine za visiwa.
Wiki iliyopita ninunua mshikaki wa samaki elfu nane, juisi ya miwa elfu 5. Yaani maisha kule hapana aisee. Ukienda nje kidogo ya stone town watu wanaishi maisha ya tabu sana. Wamedhoofika hatari.Mishikaki ya pweza elfu 8 pale forodhaniπππ.nilinunua sababu nilipiga hela za freemason. Ila ingekuwa hela zangu nisingenunua
Gesti ya elfu 25.Wiki iliyopita ninunua mshikaki wa samaki elfu nane, juisi ya miwa elfu 5. Yaani maisha kule hapana aisee. Ukienda nje kidogo ya stone town watu wanaishi maisha ya tabu sana. Wamedhoofika hatari.
Mkuu, Wasalimie hapo Jambiana nilikua pande hizo za Paje Holiday ya 2022.Mkuu Mimi Niko Paje uku Villa Moja nalipia 90$, soon narudi Bongo
Jambiani sijafika mkuu, niko hapa Paje barabara ya Michamvi, Johnnie walker kubwa (Red Label) sehemu nyingi wanauza 50$, nimeanza kujifunza kitesport (40$ kwa saaπ ) nikishajua ndo nitoke uku maana nimeona ni fursa nzuri sana next time nikija sitosumbuka sehem ya kureplace gharama za kustay uku.Mkuu, Wasalimie hapo Jambiana nilikua pande hizo za Paje Holiday ya 2022.
Nilifanikiwa kuingia pale Colar Rock Hotel kulikua na live show. Hapo tots moja ya John Walker Red Label ni 10K, imagine hadi uje kuwaka umeacha kiasi gani nilikuja kushtuka nipo tots ya 12 halafu bado sielewi nikaona hawa wana masihala na pesa zangu na hata saa 7 usiku sijatoboa.
Huku Paje supu kavu hawauzi na wanauza kuanzia 1$ af kidunchu hatari πMishikaki ya pweza elfu 8 pale forodhaniπππ.nilinunua sababu nilipiga hela za freemason. Ila ingekuwa hela zangu nisingenunua
π kuna wazungu waswahili usikariri wazungu wengine ma beach boy tu!,sasa mtu ananyumba hukuhuku ulitaka akanunue nyanya gunia..?Watalii wanaenda Zanzibar wengi wao ni Wazungu wa uchumi wa chini, Zanzibar unaenda generic kununua mahitaji utakutana na Mzungu ananunua kiting Kimora na fungu la Nyanya na mchicha.
kwani konyagi hukuziona..?? Zanzibar kodi za vilevi ni kubwa usiwalaumu wauzaji serikali ndio tabu.. mkuu ungetafuna hata jagermaister ile tot haiwezi kufika 10000...πMkuu, Wasalimie hapo Jambiana nilikua pande hizo za Paje Holiday ya 2022.
sawa
Nilifanikiwa kuingia pale Colar Rock Hotel kunyikua na live show. Hapo tots moja ya John Walker Red Label ni 10K, imaginb uje kuwaka umeacha kiasi gani nilikuja kushtuka nipo tots ya 12 halafu bado sielewi nikaona hawa wana masihala na pesa zangu na hata saa 7 usiku sijatoboa.
Hapo Michamvi usikose kuhudhuria swimming part kama sijakosea ni kila Jumanne usiku. Usisahau kupita na hapo chuoni kwa watasha wanaojifunza kiswahili.Jambiani sijafika mkuu, niko hapa Paje barabara ya Michamvi, Johnnie walker kubwa (Red Label) sehemu nyingi wanauza 50$, nimeanza kujifunza kitesport (40$ kwa saaπ ) nikishajua ndo nitoke uku maana nimeona ni fursa nzuri sana next time nikija sitosumbuka sehem ya kureplace gharama za kustay uku.
thumb up π
Mkuu Konyagi haipiti ila hizo tot za Jagermaister haziwezi kuwa chini ya hiyo 10K πππππkwani konyagi hukuziona..?? Zanzibar kodi za vilevi ni kubwa usiwalaumu wauzaji serikali ndio tabu.. mkuu ungetafuna hata jagermaister ile tot haiwezi kufika 10000...π
Lodge nawaelewa wanafanya hivyo ilikuepusha ufuska na pia kupromote hotels inawasaidia sana,lodge ya elfu 40/35 bara 10k,pia kumbuka 95% ya vyakula vinatoka baraZanzibar pa kijinga sana, niliuziwa ndizi moja buku 2 nikabaki mdomo wazi, tena hapo ni pale forodhani!
Ukija kwenye bei za lodge ndo utachoka, lodge ya 70k kwa dar ni 20k!
nungwi 5000 tot ya jagermaister.Mkuu Konyagi haipiti ila hizo tot za Jagermaister haziwezi kuwa chini ya hiyo 10K πππππ