mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Mbona Ndugai yupo Maana naye alimtabiria kuwa atakufa?Alitabiri atafia madarakani kwa uonevu wa kukatilii uhai wa wengine!! Na Mungu akamchomoa roho kweli,
Katili pumzi ya mwisho akaivuta, hatimaye akaenda kuwa kiongozi wa mashetani!!
Angeendelea kukalia kiti aone moto wake!!Mbona Ndugai yupo Maana naye alimtabiria kuwa atakufa?
Kwaiyo kwenye kiti ndio kulikuwa na tego.Yeye Lema alisema Ndugai hakaage mapema Maana nda si mrefu atakufa, hayo ya kuachia kiti ni yako mwenyewe, mpaka Sasahivi anakula mshahara wa mbunge na spika mstaafu.Angeendelea kukalia kiti aone moto wake!!
Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
👇
View attachment 2488095
Tapeli wa kisiasa. Alikimbia madeni. Dawa ya deni kulipa.Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
👇
View attachment 2488095
Kwaiyo kwenye kiti ndio kulikuwa na tego.Yeye Lema alisema Ndugai hakaage mapema Maana nda si mrefu atakufa, hayo ya kuachia kiti ni yako mwenyewe, mpaka Sasahivi anakula mshahara wa mbunge na spika mstaafu.
Ukweli mnaujua.
Awamu iliyopita ilikuwa ya WAUAJI.
Lema kuna jamaa namfahamu anamdai Lema million 48
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Swali lako ni sawa na na wale wanaosema kama Jiwe alikuwa muuaji mbona wewe hajakuua. So wew ulitaka wanasiasa wote wakimbie ndiyo uamini. PatheticIla mimi najiuliza kwanini Mbowe nae maisha yake hayapo hatarini kiasi cha kukimbia nchi ili kujihifadhi kama wenzie?
Wewe unamdai kiasi gani?Godbless Lema hana sifa hata moja ya mkimbizi wa kisiasa!
Godbless Lema ni mwanasiasa uchwara aliyekimbia madeni!
Rudi nyumbani ukabili madeni yako bwashee!
Kwani hata Iddy Amini aliua waganda wote. Na kwakuwa hakuuwa waganda wote hivyo hakuwa dictator?Mbona wewe uko hai?? Au Ulikuwa hujazaliwa????
Kikubwa na furaha yangu mimi ni Jiwe kuondoka tu bila kujali kaondokaje. Hata angegongwa na tembo sawa tu Watanzania tungefurahia. Kama kuna mtu alihusika au corona basi mnara ujengwe kuwapa heshimaWalikuwa watabiri au majangiri waliungana kusuka mpango kabambe wa kumuondoa jiwe? Unakumbuka ile picha aliyokapost Zitto baada ya Jiwe kuletewa moshi kule Ruangwa? Zitto alimpost Samia akikagua gwaride na akaandika sasa zamu yako imefika! Kipindi hicho taarifa zilizopo mtaani kuwa jiwe kakikbizwa South Africa na yupo mahututi.
Jana hapa JF nineona nyuzi moja iliandikwa mwaka 2018, kuna jamaa alikuja kukoment kuwa 2023 hatofika, tutakuwa tayar tuna Rais mwanamke!
Kwa muunganiko huu kuna kila dalili ya shakha kuwa kuna watu waliungana kuhakikisha wanamuondoa jiwe! Na muungano huu unashirikisha vyama vyote vya siasa na wafanyabiashara wakubwa ili kulinda madhambi yao.
Unajua wakati Jiwe anakufa alijificha wapiIla mimi najiuliza kwanini Mbowe nae maisha yake hayapo hatarini kiasi cha kukimbia nchi ili kujihifadhi kama wenzie?
Kufa siyo ishu kwani kila mtu atakufa tu. Ila kufa sababu ya udhalimu wako diyo tatizo. Fikiri wewe ni kiongozi lakini unakuwa dhalimu mpaka raia wako wanakuombea mautiKifo hakitabiriwi sababu kifo unakivaa siku unayozaliwa. Ndesamburo yuko wapi? Dada ake Lisu yuko wapi?
Ulitaka akae tu kizembe mumtendee yale ya Ben Saa8 au Tundu Lissu??!!!Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
👇
View attachment 2488095
Hata Idd Amin hakuua raia wake wote lakini alikuwa muuaji tu kama Jiwe. Sukuma gang muwe mnatumia akili hata kama akili ndiyo hivyo tenaMbona wewe uko hai?? Au Ulikuwa hujazaliwa????
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa ujinga ni sifa kama ilivyo ufupi au urefu.Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
[emoji116]
View attachment 2488095
Sasa kulikuwa kuna haja gani ya kumfunga kama kakuambia kitu chenye uhakika? Mungu fundi kupitia corona nchi ikaponaUnabii uchwara.
Duniani kuna kitukimoja tu ambacho kina guarantee, nacho ni kifo.
Sasa kwanini kutabiri kitu ambacho kilamtu anajua kwamba kwa namna yoyote nilazima kitokee kwa kila kiumbe chenye uhai.
Angalau angebet mpira tungemuona anaakili kwasababu angekuwa anatabiri kitu cheye matokeo zaidi ya moja.
Utabiri wake ulikuwa halisia kwa kuzingatia muda, na matendo.Duh! Ila kifo si kila mtu atakufa inajulikana hivyo sasa hapo kipi cha kuitwa utabiri? Labda angesema atakufa vp.
Adui anayeua watu anatakiwa kuuliwa haraka ili asije kukuua na wewe. Ndiyo maana watu walimlilia Mola wao ili Jiwe afe asije maliza raia woteUnaheshima kubwa hapa, ila some times mambo yako yanatupa tukudharau""
Jaribu kuuvaa utu wako halafu uchangie
Mh Lema ni kweli alitabiri hivyo, utabiri wake uliishia 2019 December, maana alisema hataumaliza mwaka huo, na kipindi hiko Lema alikuwa ni mbunge,
Sasa ukweli ni upi mkuu, halafu, ni lini na wewe ukaanza kufurahia adui yako afe badala ya kumwombe aish ili auone utukufu wa Mungu wako unapoinuliwa?
Mambo ya Kisasi ni juu ya Mungu, mwanadamu ukilipa kisasi unakuwa nje ya utaratibu wa Mungu" na yeyote alipaye kisasi badala ya Mungu kulipa kisasi huyo si wa Mungu' bila ya shaka wewe ni mjuvi wa Vitabu