Godbless Lema acha uongo na utapeli wa kisiasa. Taifa letu halijawahi kuwa na mkimbizi kama wewe. Ulikosa Ubunge ndio ukatafuta fursa

Godbless Lema acha uongo na utapeli wa kisiasa. Taifa letu halijawahi kuwa na mkimbizi kama wewe. Ulikosa Ubunge ndio ukatafuta fursa

Alitabiri atafia madarakani kwa uonevu wa kukatilii uhai wa wengine!! Na Mungu akamchomoa roho kweli,

Katili pumzi ya mwisho akaivuta, hatimaye akaenda kuwa kiongozi wa mashetani!!
Mbona Ndugai yupo Maana naye alimtabiria kuwa atakufa?
 
Angeendelea kukalia kiti aone moto wake!!
Kwaiyo kwenye kiti ndio kulikuwa na tego.Yeye Lema alisema Ndugai hakaage mapema Maana nda si mrefu atakufa, hayo ya kuachia kiti ni yako mwenyewe, mpaka Sasahivi anakula mshahara wa mbunge na spika mstaafu.
 
Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?

Acha uzushi
👇
View attachment 2488095

Kama ingekuwa rahisi ukiwa na madeni ukasema ni mkimbizi wa kisiasa kisha uupate, mbona watanzania wengi wangekuwa wakimbizi? Au unafikiri kuna wazungu wajinga hawajui kupata ushahidi wa hatari ya usalama wako?
 
Kwaiyo kwenye kiti ndio kulikuwa na tego.Yeye Lema alisema Ndugai hakaage mapema Maana nda si mrefu atakufa, hayo ya kuachia kiti ni yako mwenyewe, mpaka Sasahivi anakula mshahara wa mbunge na spika mstaafu.

Kwenye kiti si ndo alikuwa anadhukumu haki za watu?? Sasa akishakiachia si ndo pona yake!!?

Mwacheni alelee wajukuu maana alishaona hapa naenda kuungana na shetani soon!!
 
Ila mimi najiuliza kwanini Mbowe nae maisha yake hayapo hatarini kiasi cha kukimbia nchi ili kujihifadhi kama wenzie?
Swali lako ni sawa na na wale wanaosema kama Jiwe alikuwa muuaji mbona wewe hajakuua. So wew ulitaka wanasiasa wote wakimbie ndiyo uamini. Pathetic
 
Walikuwa watabiri au majangiri waliungana kusuka mpango kabambe wa kumuondoa jiwe? Unakumbuka ile picha aliyokapost Zitto baada ya Jiwe kuletewa moshi kule Ruangwa? Zitto alimpost Samia akikagua gwaride na akaandika sasa zamu yako imefika! Kipindi hicho taarifa zilizopo mtaani kuwa jiwe kakikbizwa South Africa na yupo mahututi.

Jana hapa JF nineona nyuzi moja iliandikwa mwaka 2018, kuna jamaa alikuja kukoment kuwa 2023 hatofika, tutakuwa tayar tuna Rais mwanamke!

Kwa muunganiko huu kuna kila dalili ya shakha kuwa kuna watu waliungana kuhakikisha wanamuondoa jiwe! Na muungano huu unashirikisha vyama vyote vya siasa na wafanyabiashara wakubwa ili kulinda madhambi yao.
Kikubwa na furaha yangu mimi ni Jiwe kuondoka tu bila kujali kaondokaje. Hata angegongwa na tembo sawa tu Watanzania tungefurahia. Kama kuna mtu alihusika au corona basi mnara ujengwe kuwapa heshima
 
Kifo hakitabiriwi sababu kifo unakivaa siku unayozaliwa. Ndesamburo yuko wapi? Dada ake Lisu yuko wapi?
Kufa siyo ishu kwani kila mtu atakufa tu. Ila kufa sababu ya udhalimu wako diyo tatizo. Fikiri wewe ni kiongozi lakini unakuwa dhalimu mpaka raia wako wanakuombea mauti
 
Mbona wewe uko hai?? Au Ulikuwa hujazaliwa????
Hata Idd Amin hakuua raia wake wote lakini alikuwa muuaji tu kama Jiwe. Sukuma gang muwe mnatumia akili hata kama akili ndiyo hivyo tena
 
Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?

Acha uzushi
[emoji116]
View attachment 2488095
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa ujinga ni sifa kama ilivyo ufupi au urefu.

Hivi unadhani nchi zinaongozwa kama genge la kongoro? Kama unaamini ni rahusi kiasi hicho, na wewe tafuta hiyo fursa.

Yawezekana uelewa wako ni mdogo sana. Kwaajili ya kuongeza uelewa wako, kupata hifadhi ya ukimbizi wa kisiasi katika nchi nyingine hupitia mchakato na uchunguzi wa kina kuthibitisha kama ni kweli kubakia kwa mtu huyo katika Taifa lake kuna hatari ya kudhuriwa au kuyapoteza maisha yake kwa sababu ya msimamo wake wa kisiasa.

Kwa hiyo lazima mambo matatu yadhihirike pasipo shaka:

1) maisha ya mhusika yapo hatarini kama akibakia nchini mwake.

2) hatari yale ya kupoteza maisha inatokana na msimamo wake wa kisiasa.

3) kitisho hicho cha usalama wake kinatokana na serikali na watawala katika nchi yake.
 
Unabii uchwara.
Duniani kuna kitukimoja tu ambacho kina guarantee, nacho ni kifo.
Sasa kwanini kutabiri kitu ambacho kilamtu anajua kwamba kwa namna yoyote nilazima kitokee kwa kila kiumbe chenye uhai.
Angalau angebet mpira tungemuona anaakili kwasababu angekuwa anatabiri kitu cheye matokeo zaidi ya moja.
Sasa kulikuwa kuna haja gani ya kumfunga kama kakuambia kitu chenye uhakika? Mungu fundi kupitia corona nchi ikapona
 
Duh! Ila kifo si kila mtu atakufa inajulikana hivyo sasa hapo kipi cha kuitwa utabiri? Labda angesema atakufa vp.
Utabiri wake ulikuwa halisia kwa kuzingatia muda, na matendo.
 
Unaheshima kubwa hapa, ila some times mambo yako yanatupa tukudharau""

Jaribu kuuvaa utu wako halafu uchangie

Mh Lema ni kweli alitabiri hivyo, utabiri wake uliishia 2019 December, maana alisema hataumaliza mwaka huo, na kipindi hiko Lema alikuwa ni mbunge,

Sasa ukweli ni upi mkuu, halafu, ni lini na wewe ukaanza kufurahia adui yako afe badala ya kumwombe aish ili auone utukufu wa Mungu wako unapoinuliwa?

Mambo ya Kisasi ni juu ya Mungu, mwanadamu ukilipa kisasi unakuwa nje ya utaratibu wa Mungu" na yeyote alipaye kisasi badala ya Mungu kulipa kisasi huyo si wa Mungu' bila ya shaka wewe ni mjuvi wa Vitabu
Adui anayeua watu anatakiwa kuuliwa haraka ili asije kukuua na wewe. Ndiyo maana watu walimlilia Mola wao ili Jiwe afe asije maliza raia wote
 
Back
Top Bottom