Godbless Lema ahoji alipo Waziri Simbachawene

Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:

Yuko wapi Waziri Simbachawene ?Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona.Mtaisha mkifanya mzaha.
Ni suala la muda tu. Corona yupo kazini kwenye baraza la mawaziri wa hayati jiwe. Woga wao na kujikomba kipuuzi kwa jiwe sasa kutawapukutisha kwa Corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…