Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
simbachawene si ndio anatajwa kuwa the next VP?Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene ?Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona.Mtaisha mkifanya mzaha.
Lisu alikuwa detailed, Lema sidhani kama ana credible source kama LisuKaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene ?Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona.Mtaisha mkifanya mzaha.
Nchimbisimbachawene si ndio anatajwa kuwa the next VP?
Ni suala la muda tu. Corona yupo kazini kwenye baraza la mawaziri wa hayati jiwe. Woga wao na kujikomba kipuuzi kwa jiwe sasa kutawapukutisha kwa Corona.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene ?Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona.Mtaisha mkifanya mzaha.
Mungu wa huruma atuhurumie WatanzaniaNi suala la muda tu. Corona yupo kazini kwenye baraza la mawaziri wa hayati jiwe. Woga wao na kujikomba kipuuzi kwa jiwe sasa kutawapukutisha kwa Corona.
Hata Lissu alipohoji, baadhi ya watu walimpinga hivyo tujipe muda kujua ukweli.Lisu alikuwa detailed, Lema sidhani kama ana credible source kama Lisu
Simbachawene alikuwa anazunguka na Magufuli kwenye ile ziara ya mwishoKaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene ?Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona.Mtaisha mkifanya mzaha.
Yaani watakwishaVaa via Vaa barakoa dosi ipo palepale
Alikuwepo juzi taifaSimbachawene alikuwa anazunguka na meko kwenye ile ziara ya mwisho