TAGA katika ubora wako, unapuyanga tu.Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Weka hapa cv yako tuione mkuu. Btw, ujue Lema ni mhesjimiwa mbunge wa mioyo ya wapiga kura wa Arusha mjini kwa miaka 10.Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Watu wameshasahau ule 'unabii' juu ya 'jiwe'Tujiwekee kumbukumbu haya maneno aliyoandika lema...
Huenda siku tukaona aliongea kitu cha msingi..
Acha tujipe muda
Kiranja wa 'malaika' jahanamu?Lema rudi home kumenoga mtesi wako Mungu kampangia majukumu mengine
Hahahaha ukifa unakufa tuu, mtu hafi mara mbili. Yaani anatabiri?.mfikishie salamu.
Tuambie lijua likali yupo wapi?Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Naunga mkono unabii, atubu na kuziacha dhambi zake zote, pia amshauri Raisi atoe wito wa maombi ya toba kitaifa ,ili viongozi na wananchi wote tutubie madhambi yote yaliyofanyika awamu ya tano.
Div. Four 29, alifaulu kiswahili na civic education.Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Mungu afanye yake tu, macho yetu yamechoka kuona dhuluma na kiburi
Mungu afanye yake tu, macho yetu yamechoka kuona dhuluma na kiburi
Ipo siku utakuja kuona aibu kwa hii comment yako!Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Kwani ulitaka atubu mbele ya Camera naww ukiona live? Au siku hizi kutubu ni fasion mpaka kila mtu ajue? Jaribu kufikiri kabla ya kuandika vitu visivyoeleweka...Hivi yeye dhambi ya ujambazi na wizi wa magari aliitubu lini?
Sawa sana!Duuuh, sisi sote ni binadamu pua zinaelekea ardhini, Ndugai anashida zake na mapungufu mengi ila mambo mengine yanavuka minyau (mipaka)....kila mtu atakwenda kwa muda wake tu....ila siyo kushangilia mambo kama haya