Hana lolote, anajua kuwa Ndugai ni mgonjwa, wakati wowote atakufa.Tujiwekee kumbukumbu haya maneno aliyoandika lema...
Huenda siku tukaona aliongea kitu cha msingi..
Acha tujipe muda
Anaweza kuwa ametubu na kusamehewa dhambi zake wangapi walikuwa hawafai hata kuitwa binadamu lakini sasa ni wasafiHivi huyu mwizi wa magari siku hizi amekuwa nabii
Kwani ccm ipo Iringa ? kuna polisi tuHivi huwezi kujua kuandika? Unawezaje kutoa onyo kwa bosi wako; uandishi wako ni ukanjanja. Ati Lissu afuta CCM iringa! Rubbish
Neno la Mungu liko wazi sanaSidhani kama unaijua tafsri sahihi ya hiyo verse! Ni nani ataishi milele hapa duniani?
Watu wameshasahau ule 'unabii' juu ya 'jiwe'
sawa mkuuStress za mipango ya unafiki ndizo sumu za kumdhuru afya yake.
Watavuna walichopandaBinadamu ni wabishi sana.
Watavuna walichopanda
Anajitoa ufahamu! Mbowe amefika form six hajawahi kukataa, je anasemaje juu ya Bashite aliyepata F katika masomo 12 na leo anadai ana degree!?Division ya lema imehusika vipi hapa
Inahusiana vipi na maelezo
tayari amejibiwaDuh huyu huwa kama 'anaoteshwa' hivi, Spika usidharau hata kidogo
Haya haya, bado hayajatimia eehHuyu mjinga tu ,kama wajinga wengine.
imeshasikia PaaaaaaaaaaMANENO HUUMBA!! MUACHE HUYU MGOGO AFANYE DHARAU HALAFU SIKU MOJA ANASIKIA PAAAAAAAAA.....P IMETOKA!!!!
imeshasikia Paaaaaaaaaa
Asante nabii Lema