Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Hivi wewe unampangiaye mwenye ujumbe jinsi ya kuufikisha ujumbe wake? Kama unataka afanye unavyotaka, basi kuwa yeye ili ufanye utakavyo. Sijui unaelewa hata?
Naweza kusema na mimi amenituma niseme wanaosema ni waongo.... Haya mambo ukiyafuatilia utaona kwamba kuna ka utapeli ndani yake...; Sababu kama amewachagua wao kwanini asinichague mimi, after all nina uhakika mengi aliyosema hayajatokea kuliko yaliyotokea
 
Mzee Pascal Mayalla anauita 'trend analysis' sio unabii....😂😂😂
 
JF sio kwa Ras Simba.
Kwani umekosea mantiki, mkuu? JF ni JF. Kila wazo linakubalika. Mtu hawezi kuacha kujifunza, kisa tu anakuogopa wewe. Come on!

Halafu, usiseme: JF sio kwa Ras Simba. Sema: JF siyo kwa Ras Simba.

Kiswahili naona kinakupinga chenga kukumbwa. Wakati ujao, jaribu sana kutumia Inglishi, labda tutakuelewa.
 
Mkuu, wewe ni nafsi yenye watu wawili, ama?

Unasema amekutuma wewe uwasagie kunguni, hapohapo unauliza kwa nini hajakuchagua wewe? Nashindwa kuelewa ni wewe au akaunti yako imedukuliwa?

BTW, kila mtu ni mjumbe wa Mungu, upende usipende. Hilo moja shika. Pili, kutolitambua hilo ni kosa lako. Shika na hilo. Usiseme tena hujaambiwa. Sawa?
 
Mambo mengine ni ya kutia aibu tu.Hivi wewe mtu akikwambia ipo siku utakufa na kweli ukaja kufa utaita huo ni utabili? Kwamba hata usipoambiwa kwamba utakufa, hujuwi kwamba ipo siku utakufa kama Mwanadamu? Kwamba kuna mwanadamu hata kufa hapa chini ya Jua? Huyo Lema yeye hata kufa? Ataishi milele?

Nimeshangaa sana kuona post yako hii ambayo sikutegemea itoke kwa mtu kama wewe.

Usipende kuandika vitu kwa hisia binafsi.
 
Unanibishia mimi?
 
Huyo ni mpiga ramli tu, kwa shughuli zake alizikuwa akizifanya zamani bado anayo database ya wataalamu lukuki.
 
Nabii uchwara mbona alishindwa kutabiri ujio wa lowassa 2015?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…