Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Nimemshangaa sana huyu ndugu kwa kutuletea habari za lema watu wenye akili zetu timamu uanze kutuambia habari za ndoto.Labda mleta andiko yeye ndiye kaandika andiko lake baada ya kutoka usingizini au akiwa na usingiziNabii uchwara mbona alishindwa kutabiri ujio wa lowassa 2015?
Umenena ukweli kabisa.na ndicho nami nilichomjibu mleta andiko.kinachomsumbua mleta mada inaonyesha amekuwa na chuki kubwa sana na awamu hii.ukitaka kujua hilo fuatilia post na maandiko yake ya wakati wa utawala wa awamu ya Tano.Kifo Sio utabiri wa maana sana maana Kila mtu atakufa 100%
Na wewe tabiriπKwa mwenendo uliopo,
Ni Rahisi kutabiri yajayo.
Hivi unadhani akili timamu ni Kama uongo kuwa kila sehemu upo?Nimemshangaa sana huyu ndugu kwa kutuletea habari za lema watu wenye akili zetu timamu uanze kutuambia habari za ndoto.Labda mleta andiko yeye ndiye kaandika andiko lake baada ya kutoka usingizini au akiwa na usingizi
Hivi nawe kuna wakati huwa unaji hesabu kuwa mtu mwenye akili timamu, na kuwaona wengine ndio wasio kuwa na akili timamu?hiyo.Hivi mtu mwenye akili timamu
Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025π€π₯ΊLema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.
Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea
Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.
Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025
Lema ni Nosrodam wa Tanzania
PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Mbona hakutabiri yeye kushindwa chaguzi?Alitabiri arrogant will send jpm kaburini ikawa hivyo
EEEeeeeNHEEeeeeeh!ππππ
Kiingereza cha ugoko. Andika kiswahili wee Γ±gumbalo.Alitabiri arrogant will send jpm kaburini ikawa hivyo
Hapo kwenye neno TANGA weka Chadema.Wagosi waliimba hivi
'kunani palee TANGA, mbona kilo kitu kinakufa? TANGA.'
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.
Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea
Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.
Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025
Lema ni Nosrodam wa Tanzania
PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Au BABA VANGA π³Nostradamus
TANGA Kuna Mambo Kibao huyajui.Hapo kwenye neno TANGA weka Chadema.
Iko vile bandugu !Lema huzungumza fact za maisha na wala sio utabiri. Tatizo wengi wetu tunapuuza sana fact za maisha.