Pre GE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa nini mtoa mada humpendi Samia?
Huwa Naona unamsifu Magufuli kisha Makonda. Samia hujawahi.
Unatatizo la Ukabila?
Mkuu huyo ni sukuma gang, hapo alipo anaumia sana sema hana cha kufanya. Mbaya zaidi huwa haamini kama magu kashadanja na wala hatagombea tena. Umchafue, umsifie hana maajabu tena
 
Mkuu huyo ni sukuma gang, hapo alipo anaumia sana sema hana cha kufanya. Mbaya zaidi huwa haamini kama magu kashadanja na wala hatagombea tena. Umchafue, umsifie hana maajabu tena
Mwizi wa magari hatoboi Arusha
 
Mama aliona ndio mana kampelekea moto.

Jamaayenu mjeuli na mjanja mjanjatu kichwani hamnakitu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Makonda ameenda chuo cha siasa, akimaliza salama hapo atakuwa amefuzu!
 
Wakati huu kuna watu wameamua liwalo na liwe, akumbuke hawezi kutumia tena polisi kama alivyofanya enzi za shetani Magufuli!

Uchaguzi wa madiwani juzi ccm imeshinda kata zote na nyumbu mpo mkikodoa macho tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…