Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni visasi!Atulie dawa imuingie, si alimtukana MO, ngoja ajibiwe kisomi zaidi
Yani unataka Simba waseme hatuchezi kisa Lissu anakuja?Simba kama inajiunga na genge la wahalifu Yanga kuwa upande wa wakandamizaji narudisha kadi, haina maana,
Mbona jana Yanga wamecheza na Ni yeye alikuwa na mkutano hapo hapo Dsm!Yani unataka Simba waseme hatuchezi kisa Lisu anakuja?
Hii ni rushwa sawa na kugawa pilau bure.Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu.
Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni baba lao Arusha.
Lema amesema haya katika ukurasa wake wa Twitter.
My take: Kwani sehemu anayoenda Lissu ni lazima shughuli zisimame?
Maendeleo hayana vyama!
Chadema ni wa kuhurumiwa tuMbona jana Yanga wamecheza na Ni yeye alikuwa na mkutano hapo hapo Dsm!
Dunia ikishazunguka kinakuja kizazi kingine bwashee!
Mbowe na Mdee ni Yanga bwashee!Ama kweli Chadema wamechanganyikiwa, kwa hiyo team iache kucheza kupisha wanasiasa?
Simba Ni club ya Mpira na jukumu lake la msingi Ni kucheza Mpira, mbona Jana Yanga walikuwa na tamasha hawajalalamika?
Mkuu demokrasia ni watu sio CCM. Upinzani wameshindwa kuwa na direction unategemea wananchi wafanyeje sasa
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Lisu ana hamu na kampeni za urais!Hata dar hizi wiki za yanga na simba zimevuruga mahudhurio,ilibidi cdm wa foresee,,hawakutakiwa kuwa na haraka,,cheki Act wanVyonyatia,,,lazima uwe mjanja😆😆
Upuuzi kwako,.wengine tunapanda hizo ndege. Kimsingi kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake...!CCM akili sifuri wamesema tuna ndege 11 na wataongeza ndege 5, CCM wana laana, watu hawana maji safi wao wanatuletea upuuzi.