Yeriko nyerere atafutiwe kesi ya ugaidNi Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.
Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
Siyo wa upande ule ni mpuuzi kama siyo mpumbavuSasa nmekuelewa, wee ni Wa upande ule.
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.
Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.
View attachment 3209792
Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
godbless Lema ni kweli anafaa zaidi kuwa katibu mkuu wa chadema. lakini tundu lisu ahakikishe anambakisha kwenye sekretarieti yake bw. john mnyika, asimuache aende zake. ni mtu muhimu sana katika kumsaidia tundu lisu. kama atamteua godbless Lema kuwa katibu mkuu basi amtafutie nafasi yoyote ile bw. john mnyika ili awe karibu yake.Ni Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.
Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
aachane na visasi dhidi ya watu waliokuwa wakimpinga ndani ya chama hicho, lisu aungane na hao watu ili kukijenga chama. aachane kabisa na Mawazo ya kuwatafufia tuhuma au makosa wapinzani wake.Yeriko nyerere atafutiwe kesi ya ugaid
Ni mtumishi wa Mungu lakini hana hekima.Lema ni mtumishi wa Mungu, ameonesha uadilifu wa hali ya juu sana.
Aidha ataandika kitabu au atapunguza kidomodomoYule yeriko mengele sijui itakuaje?
lema awe katibu mkuu , naunga mkono kwa asilimia 100, tunataka ccm tuwafunge ka mdomoBaada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.
Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho
Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho
Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi
Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu
Comasava Lisu na Heche
Punguza kamdomoAidha ataandika kitabu au atapunguza kidomodomo
Hapo hakuna ubishiBaada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.
Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho
Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho
Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi
Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu
Comasava Lisu na Heche
sawa, isipokuwa asimuache john mnyika, bado anahitajika sana kwenye menejimenti ya chama hicho. amteue katika nafasi yoyote ile hapo Makao makuuBaada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.
Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho
Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho
Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi
Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu
Comasava Lisu na Heche
Maswali mazuri kwa wanaojitia ufahamuSiasa za Lissu wa sasa zipoje hizo? Seems kuna vitu mjini mtu inabidi mpaka uwe na connection ili kuweza kuviona.
Kwa hiyo hili ni jambo lisilowezekana? Kwanini usisubiri muda ili uliongee badala yake unaanza kuwatisha wanaoamini katika hili?
Utabiri...nakumbuka ulikuwa unatabiri sana kuwa MBOWE atashinda kwa kishindo
Bila shaka una mfano mzuri wa hili. Unaweza ukatukumbusha angalau tukio moja alilofanya likawatoa watu kafara ili angalau na sisi tiwe na ufahamu
Busara ni nini? Maana imeongelewa sana humu
Wote watatu watu wa kunyooka kwenye kauli na maamuzi yaolema awe katibu mkuu , naunga mkono kwa asilimia 100, tunataka ccm tuwafunge ka mdomo
Uongozi hauna uiano wa ki diniBaada ya kupatikana kwa mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye ni Tundu Lisu na John Heche sasa ni dhahiri Godbless Lema ndiye atakaye chaguliwa kuwa Katibu mkuu kukamilisha sekretarieti ya chama hicho.
Ikumbukwe kuwa Lema ni kambi Lisu na ndiye aliyekuwa msimamizi wa kura za Lisu kwenye uchaguzi wa kupatikana kwa mwenyekiti wa chama hicho
Inaonyesha timu Lisu walishajipanga mapema kuwa Lisu agombee uwenyekiti, Heche makamu mwenyekiti wakishinda Lema atateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho
Hivyo kuna kila dalili Lema kutangazwa kuwa ndiye katibu mkuu wa chama hicho kabla ya mkutano wao mkuu kwisha ili kukamilisha safu yao ya uongozi
Hapo watakuwa wametimiza utatu wao mtakatifu Lisu, Heche na Lema ndio maana Lema hakutia nia ya kuomba umakamu na kuomba wenyekiti wa kanda kwa makusudi kabisa kwa kuwa alishahaidiwa nafasi ya katibu mkuu
Comasava Lisu na Heche
Ifanywe kama mfano na wajifunze kuweka maneno ya akibaaachane na visasi dhidi ya watu waliokuwa wakimpinga ndani ya chama hicho, lisu aungane na hao watu ili kukijenga chama. aachane kabisa na Mawazo ya kuwatafufia tuhuma au makosa wapinzani wake.
Wewe umekanusha uzinzi kwa vijana mtaani kwako?Hajakanusha ujambazi wa magari.
Mwenyekiti ana mamlaka ya kuteua Sekretarieti ya chama.Ni Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.
Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
Bado hujasema saga chupa unywe1. Lisu
2.Heche
3. Lisu
Pagumu aisee! Wote wakurupukaji
Yaani siku Lema anakuwa Katibu Mkuu ndio mwanzo wa kifo cha CDM.Hakuna mtu mhuni na mpumbavu kama Lema.Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.
Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.
View attachment 3209792
Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu