Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Although hujajibu swali umeniuliza swali. The difference is mm niko ready? But utaandamana mwenyewe? Utaingia msituni mwenyewe?[emoji1][emoji1] wewe Kama mwananchi umechukua hatua gani?umeingia msituni,umeandamana au na we umeishia kupiga kelele huku JF?
Tumeshawazoea ndio maneno yao hayo. Jangwani pale watu walikuwa wanakufa kila msimu wa mvua. Serikali ikijaribu kuwahamisha propaganda ni hizohizo, "Serikali imeuza kwa muwekezaji".Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Ajikaange kwa mawese yake mwenyewe.Hii issue inaenda kuwa kubwa sana huko mbeleni unless wanaachana na huo mpango wao.
Riziwani Kikwete, Naibu Waziri wa ardhi Nyumba na makaziHii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Hakuna cha hotel hapo!!! Naona ile kauli niliyowahi kuisikia kwamba kama kuna maeneo ya hifadhi Yana rasirimali ya madini itabidi yatumike/yachimbwe [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] naona inaenda kutimiaHii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Na kama hana uhakika angenyamazaMwambie Lema aache uoga, yeye yuko Canada anaogopa kutaja jina, otherwise atakuwa mzushi.... Alipaswa kusema Mtu A anataka kujenga hoteli Ngorongoro na ushahidi huu hapa (very clear sio mapichapicha)
Nani mwenye hati milki ya uwekezaji,kimsingi hiyo sio hoja yakujadili kama atafuata taratibu za uwekezaji huko ngorongoro.Mwambie Lema aache uoga, yeye yuko Canada anaogopa kutaja jina, otherwise atakuwa mzushi.... Alipaswa kusema Mtu A anataka kujenga hoteli Ngorongoro na ushahidi huu hapa (very clear sio mapichapicha)
Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Mapinduzi ya tunisia alianzsha mtu mmoja tuAlthough hujajibu swali umeniuliza swali .The difference is mm niko ready? But utaandamana mwenyewe? Utaingia msituni mwenyewe?
Kama hamna umoja hamna power, na wanasiasa wa nchi wameshajua. Divide them hawatokuwa na nguvu.
But narudi pale pale malalamiko mpaka ini?
Huko atajenga camp sitesIna maana huyo mtu anajenga hotel katika maeneo yote yale ambayo Wamasai walikua wanaishi?
Tutumieni akili aisee
Itakuwa eneo lenyewe ndilo lililokaliwa na na wamaasai, sasa kampeni ni ya kuwatoa wamaasai ili huyo mtu ajenge hotel, siyo bure!Ndio huyu anayewatumia hawa Chawa akina Kitenge ?
Huyu mwizi wa magari kabakisha umbea tu si amtaje huyo mtu mkubwa.Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Wewe ni mfuasi wa huyo bwana tena kindaki ndaki, kwanini usimuulize huko huko twitani harafu ukaja na taarifa kamili.Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Yaaani nyie pro-Chadema mnashikiwa aikili na Chadema kwani kujenga hoteli Ngorongoro ni makosa?Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?