KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Umekengeuka sana.Na kuna akina na nyie mnaoyatazama maisha hapa nchini na miwani ya vyama.
Mnateseka bure!
Kuna mdau alisema Lema Kule singida ana kesi 22 za kubambikiwa.Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.
Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.
Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!
Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.
Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.
Tanzania ni nzuri!
Mkuu heri hata ungejua unayoyaongelea yalitokeaje ili uweze kujijibu mwenyewe.
Wakati mwingine kudandia hoja ambazo mtu huzijui wala hujui zinatoka wapi, unaonekana kama mfuata mdundiko hadi kule unakokwenda, mdundiko ukikoma unakuwa hujui hata ulikofikia na hujui utarudije nyumbani.
Sitetei mauaji hata kidogo lakini masuala usiyoyajua hata kuyaongelea napata kigugumizi.
Tanzania bado ni nzuri, tena sana.
Tatizo lako litaanzia pale badala ya kula asali na maziwa, wewe unataka mambo yasiyokuhusu.
Duh yani huyu kashakuwa ChiziNamhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.
Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.
Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!
Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.
Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.
Tanzania ni nzuri!
Hivi kwa fikra zako, unadhani ni wewe tu ndiyo umeishi Ulaya? Nchi gani uliishi? Ulaya pia nchi zinatofautiana kama ilivyo Afrika ambako kuna Somalia, South Africa, Botswana, Brundi, n.k.Mkuu nimekupa like maana wewe ni mpenzi wa chama na mlengo fulani.
Kuna watu hapa nchini hawana vyama na wanatoboa tu bila hata kupepesa macho.
Na kuna akina na nyie mnaoyatazama maisha hapa nchini na miwani ya vyama.
Mnateseka bure!
Sjaona mhindi akishabikia maisha ya siasa, lakini wahindi ndio kundi pekee lenye kuendesha magari ya nguvu, yakiwemo VX.
Na kwa taarifa yako, mimi ni mswahili nashabikia siasa kwa unazi tu, lakini ng'o hutaniona nimeingia siasa kichwa kichwa , biashara yangu hairuhusu.
Tatizo letu sisi waafrika ni kufikiri kutoboa ni kwenda nje na kwamba kule ni maisha kama paradiso, kula nakunywa na barabara zimetandikwa dhahabu!
Hamuelewi kuwa paradiso ni hapa hapa Tanzania.
Mimi nimeishi Ulya!
Najua maisha ya kule.
Kama huna noti wewe sawa sawa na takataka tu.
Sasa mheshimiwa Lema ukimbizi una mwisho, Mgeni siku ya kwanza, siku ya pili atapewa jembe akalime!
Simwonei wivu, namhurumia tu maana nayajua maisha ya huko.
Alirudi baada ya mtesi wake mfumo huwezi imiliki siti ya daladala utaishia kuukimbiza upepo tu na kusomwa kwenye historiaKambona alirudi hapa akabusu mchnga wa Tanzania.
Hahaha! JF raha Sana, nawaza mtu kama Dr. W. Slaa na usomi wake alikuwa anafanya kazi supermarket Sasa huyu mh. Lema si atakuwa shoe shiner au chini ya hapo?Hivi kwa fikra zako, unadhani ni wewe tu ndiyo umeishi Ulaya? Nchi gani uliishi? Ulaya pia nchi zinatofautiana kama ilivyo Afrika ambako kuna Somalia, South Africa, Botswana, Brundi, n.k.
Mimi nimeishi Canada, Australia, Chile, Ghana, Mali na Liberia. Lakini pia nimetwmbelea mataifa mengi.
Napenda kuishi nchini mwangu lakini kama nchini mwako, maisha yako yapo hatarini, nchi kama Canada, ni mahali sahihi. Ukiacha suala la kuwakosa ndugu na marafiki zako, Canada una nafasi nzuri sana ya kutengeneza maisha yako, na ukayafurahia maisha. Kwanza hawana tatizo la ukosefu wa ajira, na ukiajiriwa mshahara ni mzuri. Canada ni kati ya nchi zenye mishahara Duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa!!... mtu ambaye hajawahi kutoka nje ya Tanzania na kuishi nchi za watu kwa muda angalau zaidi ya miezi sita hadi mwaka mmoja, anaweza kuja na hoja ya kuwa Lema ameukata!....Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.
Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.
Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!
Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.
Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.
Tanzania ni nzuri!
Ukweli mchungu ambao hausemwi na wale walioko ughaibuni.Watu kama lema wanaitwa confident fools. Hapo alipofika anafikiri hatua inayofuata kwake ni kuhamia ulaya. Anafikiri kwa ujuzi na elimu yake ndogo ataweza kuishi kirahisi kama huku nyumbani. Si muda atafahamu ni lazima atoke jasho kwa kazi za surubu. Nikwambieni kazi atakazoweza kufanya lema ya maana sana ni udereva. Kama hakujipanga kimtaji na maarifa kufanya biashara na huku afrika mpeni mwaka tu hatutamsikia kwani ataweza kutwa hata kwenye gari za kuzoa taka.
Mkuu uliulizwa swali, baba yako aliolewa na nani hadi we ukazaliwa?Mhurumie mume wako,
Lema tayari ana mke na watoto.
Namuonea huruma kama Mtanzania mwenzangu.Huna hoja wewe mlamba Viatu hapo Lumumba.
Tangu lini wewe CCM ukamuonea huruma mtu wa Chadema.
Au unatimiza wajibu Buku 7 iingie.
Nchi hii ni paradiso.Hivi kwa fikra zako, unadhani ni wewe tu ndiyo umeishi Ulaya? Nchi gani uliishi? Ulaya pia nchi zinatofautiana kama ilivyo Afrika ambako kuna Somalia, South Africa, Botswana, Brundi, n.k.
Mimi nimeishi Canada, Australia, Chile, Ghana, Mali na Liberia. Lakini pia nimetwmbelea mataifa mengi.
Napenda kuishi nchini mwangu lakini kama nchini mwako, maisha yako yapo hatarini, nchi kama Canada, ni mahali sahihi. Ukiacha suala la kuwakosa ndugu na marafiki zako, Canada una nafasi nzuri sana ya kutengeneza maisha yako, na ukayafurahia maisha. Kwanza hawana tatizo la ukosefu wa ajira, na ukiajiriwa mshahara ni mzuri. Canada ni kati ya nchi zenye mishahara Duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibali cha mkazi on what basis?Sifa ya uraia kwa Lema na familia yake, imeshaigia dosari. Lissu anayejua sheria hataki kuomba ukimbizi Ubeligiji, ameomba kibali cha makazi tu maana anajua madhara ya kuwa mkimbizi.
On the basis of matibabu ya muda mrefu na some EU countries kama una kiasi fulani cha pesa, unaweza kuomba residence permit or golden visa.Kibali cha mkazi on what basis?
Mawazo ya kijinga eti Mchaga,mbona tunayo majinga majinga mengi tu hapa mjini ?mchaga ..uchaga uchaga uchaga..what is uchaga by the way..who the hell are you in Tz..foolish comment ever..we are not entertaining tribalism here in tz..No one should be regarded as superior than the rest, we are all equal..