Una akili za kitumwa.Kama kwenda kuishi Canada ni jela, hebu Canada wakosee waje waseme watu waliochoka kukaa Tanzania waende jela Canada.
Ndani ya mwezi watanzania watakaokuwa wamebaki ni wale wanaotembelea maVX ya umma, na wafanyabishara wachache wenye vipato vikubwa.
Kisha baada ya mwaka wawaulize watanzania walioko jela huko Canada, wangapi wanataka kutoka kifungoni Canada kurudi Tanzania, uone kama kuna mtu atakubali kurudi.
ameenMwisho wa ukimbizini ni 2025 Mungu you mwema
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.
Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.
Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!
Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.
Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.
Tanzania ni nzuri!
Yaani wale nzi wa kizungu?Kama ni nzi utakuwa wale wenye rangi fulani.
Mkuu una uwezo mdogo sana kudadavua fasihi.We jamaa una akili ndogo sana.Unataka kupangia watu maisha.hii nchi ina kipi chakujivunia hadi uiite canada ni jela.
Wivu tu.Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.
Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.
Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!
Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.
Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.
Tanzania ni nzuri!
Bora kuishi utumwani kuliko kuuawaUna akili za kitumwa.
Kukaa nje muda mrefu ni mzigo mzito sana kisaikolojia.Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.
Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.
Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!
Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.
Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.
Tanzania ni nzuri!
Mi nakunywa uji hapa kwa raha zangu.Wivu tu.
Mkuu niseme tu kuwa wewe kama sio dogo basi una matatizo ya akili. Mfano wa kitoto sana huuKama kwenda kuishi Canada ni jela, hebu Canada wakosee waje waseme watu waliochoka kukaa Tanzania waende jela Canada.
Ndani ya mwezi watanzania watakaokuwa wamebaki ni wale wanaotembelea maVX ya umma, na wafanyabishara wachache wenye vipato vikubwa.
Kisha baada ya mwaka wawaulize watanzania walioko jela huko Canada, wangapi wanataka kutoka kifungoni Canada kurudi Tanzania, uone kama kuna mtu atakubali kurudi.
Mkuu hilo wengi hawalijui.Kukaa nje muda mrefu ni mzigo mzito sana kisaikolojia.
Kuna kitu peace of mond unakua nacho ukiwa ktk ardhi ya utaifa wako, kule lema kapata nyumba ya kuisho ila sio nyumbani. Same kwa lissu!
Yaani wale nzi wa kizungu?
Ni kweli kabisa, ila hatuchekani maana ww una akili za kikomunisti.Una akili za kitumwa.
Mkuu niseme tu kuwa wewe kama sio dogo basi una matatizo ya akili. Mfano wa kitoto sana huu
Namuonea huruma kama Mtanzania mwenzangu.
Tatizo nyie ngurumbili mlioishia manzese mwafikiria Kema ameukata!
Halafu?Mwisho wa ukimbizini ni 2025 Mungu you mwema
Uhuru inapatikanaHalafu?